Uislamu sio dini ya ajabu wa ajabu ni huyo mpuuzi.Haka kadada niliposikia kwamba kamekataa deal la billions kutoka kampuni ya bia kwa sababu dini yake airuhusu,!nilishangaa sana huu unafiki,yaani uislam wake unaruhusu aimbe mashairi yenye matusi,ila kugusa bia haukubali!
Uislam dini moja ya ajabu sana,
Uislam umehalamisha kuimba muziki,
Mzee usipoeleweka na hii basi ni kusudi za watu tu!Hana unafiki wowote,pengine wewe mkuu umetafsiri vibaya.
Sasa hapa alichokifanya yeye wewe umeufanya ndio uislamu jambo ambalo mtu mwenye mawazo mazuri hatakiwi kufanya.
Uislamu hauruhusu matusi wala hauruhusu pombe kuinadi ama kunywa.
Zuchu yupo sahihi na wala sio mnafiki
Kwenye Dini aau imani unaweza kuwa ni rahisi kwako kufanya dhambi moja lakini dhambi ingine ikawa ngumu kwako kufanya.
Mfano mtu anaweza kuwa analewa lakini ukimuambia kula nguruwe hataki kabisa,yani anajizuwia kula nguruwe lakini hawezi kujizuia kunywa pombe.
Sasa huwezi kumuambia kwamba kwa kuwa unalewa basi kula na nguruwe tu,huo utakuwa ni ufahamu wa wa chini.
Kuacha kwake tangazo la pombe ni jambo zuri kwa sababu kumempunguzia madhambi ambayo angepata kwa kuitangaza kwake.
Zichu kwa hili asibezwe(kama ni kweli) na kama kaacha kwa sababu hyo Mungu anampa thawabu licha ya kuwa ni muimbaji muovu.
Dini ya ajabu kwa hili hili la zuchu kukataa huku na kukubi kule au ni dini ya ajabu kwa mambo mengine tukiachia jambo hili mkuu ?
Zipi hizo?Una sifa zote Za wimbo
Vina,Mahadhi etc.Zipi hizo?
DHAMBI KANAFANYA KUIMBA MATUSI ILA KANAONA NI SAHIHI.. KAMPUNI ZA POMBE ZIKIMFUATA KWA MATANGAZO NDIO ANAONA NI USHETWANI ILA MATUSI EWALAAAI'm highly disappointed in her. She is too young to be this stupid.. It is too early..
Wakati mwingine najiuliza WCB wana mikataba na nguvu gani... Wanaimba matusi lakini bado wanasurvive.
Hovyo kabisa...
....kula kichwa hadi mkia... naipaka mate naifanyeje sijui...
Takataka kabisa
Naona ni kama shairi, na wanaghani si kuimbaVina,Mahadhi etc.
We huoni wakiwa wanasoma Quran wanaimba
Ni sawa na watu wanakula channel O([emoji2539]) lakini kiti moto wanakwambia ni haramu.Haka kadada niliposikia kwamba kamekataa deal la billions kutoka kampuni ya bia kwa sababu dini yake airuhusu,!nilishangaa sana huu unafiki,yaani uislam wake unaruhusu aimbe mashairi yenye matusi,ila kugusa bia haukubali!
Uislam dini moja ya ajabu sana,
Uislam umehalamisha kuimba muziki,
Fact.wanaoenda kula bata na kuspend hela sio walokole, ni walevi wapenda ngono na wapenda anasa, kwahio lazima uwaimbie kitu kitakachokonga nyoyo zao ili upate show umek money.
inasikitisha ila ndo biashara ilivyo.. huwezi kuuza mabwanga nyakati hizi za vimodo ukatarajia kufanikiwa na biashara yako ya nguo.
To a normal human being what you see as CHAOS AND CONFUSION, it is AN OPPORTUNITY TO A BUSINESSMAN.. thats why China made friendship with Taliban, because they saw an opportunity to grow economically, but all you see is CHAOS AND CONFUSION.
Poteto potatoNaona ni kama shairi, na wanaghani si kuimba
Upo sahihi ila kuutangazia ulimwengu kwamba hutafanya kitu fulani kwa sababu ya dini,harafu wakati huo huo unafanya kingine ambacho pia dini yako inakataza,hapo Kuna walakini acha yote ambayo unafanya hadharani ambayo dini yako inakataza,aache muziki,Nawe pia acha unafiki! Hata wewe inawezekana yapo mambo unayoacha kwa kuona ni dhambi kwa mujibu wa imani yako lakini haimaanish hutendi dhambi zingine. Hata hao viongozi wa dini na wenyewe huwa wanajiepusha na dhambi hii na kufanya dhambi ile! Yeye amechagua kutotenda dhambi ya kutangaza vileo!!
Soma hiyo dokomenti,uone unafiki wa dini yakoUajabu wa uislamu uko wapi?
Una matatizo ya akili.Soma hiyo dokomenti,uone unafiki wa dini yako
Dini inaweza Kuwa Na unafiki.Una matatizo ya akili.
Dini toka lini ikawa na unafki.
Kama unafki ni wa hao wanaoifuata hiyo dini lakini si dini.
Na kuhusu kuwepo kwa wanafki miongoni mwa waislamu wala si jambo geni hata enzi za mtume walikuwepo na wataendelea kuwepo.
Labda kama una chuki zako binafsi na uislamu.
Siyo dini yake ni majini/mapepo yake hayaruhusu bia. Kama ingekuwa ni dini asingeimba mziki wa kidunia asingevaa nusu uchi wala asingeimba uzinziHaka kadada niliposikia kwamba kamekataa deal la billions kutoka kampuni ya bia kwa sababu dini yake airuhusu,!nilishangaa sana huu unafiki,yaani uislam wake unaruhusu aimbe mashairi yenye matusi,ila kugusa bia haukubali!
Uislam dini moja ya ajabu sana,
Uislam umehalamisha kuimba muziki,
Mbona alikataa dili la TBL kuwa linakinzana na dini Yake ?
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Kwani wale Mungu aliwateketeza kwa Moto na maji kilikuwa kizazi gani?