pilato93
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 6,296
- 6,692
Hilo swali unaniuliza mimi tena?Ila kaolewa ili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo swali unaniuliza mimi tena?Ila kaolewa ili?
Ndio kaelewa ili azaeHilo swali unaniuliza mimi tena?
Ndio kaelewa ili azae
Atazaa tu ni suala la muda tu mkuu, walisema haolewi kaolewa sasa wanasema hazai kwani alisema hana kizazi? Wali mwengu mna mambo mlisema ni mkoboaji amewaprove wrong sasa mmehama mnasema hazaiMkuu huyo keshakata ring hawezi tena kuzaa inaonekana ujana wake alikuwa mchoyo sana, au huenda alijua maisha ni kutafuta pesa tu
Ambao Ni Wachache Sana Kukuelewa!!!Huyu kaolewa tu kufunika kombe na nafasi ya kazi aliyopo hii ni kwa waliosomea Cuba.
AmetoboaHongera zake
Wamevaa Kama Wana AngaSijui kwanini mavazi ya harusi ya waislamu huwa hayawapendezi.
Mimi sijasema ni mkoboaji nimemnukuu yeye alisema hataki kuolewa wala kuzaa na kwa age yake ana nafasi ndogo sana ya kuzaaAtazaa tu ni suala la muda tu mkuu, walisema haolewi kaolewa sasa wanasema hazai kwani alisema hana kizazi? Wali mwengu mna mambo mlisema ni mkoboaji amewaprove wrong sasa mmehama mnasema hazai
Sawa mkuu,Mimi sijasema ni mkoboaji nimemnukuu yeye alisema hataki kuolewa wala kuzaa na kwa age yake ana nafasi ndogo sana ya kuzaa
KabisaAmetoboa
Akale Raha Duniani
Mtoto wa Kilala, aka Ngh'wana Kilala.
Self hateNa sisi huku Kagera tuna majina ya akina Fumbuka. Kweli majina ya kibantu tunaingiliana.
Sema wabongo ni ma hater kinoma. Unapata aina ya roho za watz kwa kusoma comments.
Miroho mibaya kama mangozi yetu ya kinyaninyani🐒
KijebaAtakuwa na umri mkubwa sana
kuchagua na alipokua anapatamani kapapata ,mana muoaji hajatajwa shughuli ila zuhura katajwa kazi yakeZuhura kumbe alikuwa hajaolewa bado, mbona kama kachelewa sana eeh
Uyo nkwabi ni nan wasifu wake
Nadhani huyu ni baba wa yule muandishi wa Daily News na muwakilishi wa Reuters.Anaitwa Fumbuka Ng'wanakilala. Rip mzee!
Hakuna kuchelewa wala kuwahi, kila mtu anafanya mambo yake kwa muda wake.Zuhura kumbe alikuwa hajaolewa bado, mbona kama kachelewa sana eeh