Zuhura Yunus aolewa na Fumbuka Ng’wanakilala

Zuhura Yunus aolewa na Fumbuka Ng’wanakilala

Mkuu huyo keshakata ring hawezi tena kuzaa inaonekana ujana wake alikuwa mchoyo sana, au huenda alijua maisha ni kutafuta pesa tu
Atazaa tu ni suala la muda tu mkuu, walisema haolewi kaolewa sasa wanasema hazai kwani alisema hana kizazi? Wali mwengu mna mambo mlisema ni mkoboaji amewaprove wrong sasa mmehama mnasema hazai
 
Atazaa tu ni suala la muda tu mkuu, walisema haolewi kaolewa sasa wanasema hazai kwani alisema hana kizazi? Wali mwengu mna mambo mlisema ni mkoboaji amewaprove wrong sasa mmehama mnasema hazai
Mimi sijasema ni mkoboaji nimemnukuu yeye alisema hataki kuolewa wala kuzaa na kwa age yake ana nafasi ndogo sana ya kuzaa
 
Back
Top Bottom