mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Zumaridi anawafundisha watoto kwamba yeye ni mungu, yeye ndie msaada na ndie anayewakinga na mauti, anasema yeye ni mtawala wa dunia mzima na anayetawala vitu vyote vya duniani na mbinguni tena wake kuna uzima wa milele.
Halafu anawaambia watoto leo atawapikia tena wali😎😎😎
Inatisha, inasikistisha..... huyu heri angebakigi kulekule jela
Halafu anawaambia watoto leo atawapikia tena wali😎😎😎
Inatisha, inasikistisha..... huyu heri angebakigi kulekule jela