mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
- Thread starter
- #41
Kwani ana tofauti gani na kuhani wako mkuu?
Hata hapa sisi kuna tunaokushangaa kwa kusali kwa kuhani Musa kama ambavyo wewe unawashangaa waumini wa zumaridi. Sioni tofauti ya zumaridi na akina masanja na wengine wengi tu.
Na ana tofauti gani na wale wanaosema kila kitu katoa raisi?
Mwenyewe unaona umeandikaaaaa
Kumbe hata wewe mwenyewe huelewi umeandika nini🤣