Zumaridi asichukuliwe kimasihara, imani ni kitu kikubwa sana inahuisha na imani inaua Watanzania tuamke

Zumaridi asichukuliwe kimasihara, imani ni kitu kikubwa sana inahuisha na imani inaua Watanzania tuamke

Kwani ana tofauti gani na kuhani wako mkuu?
Hata hapa sisi kuna tunaokushangaa kwa kusali kwa kuhani Musa kama ambavyo wewe unawashangaa waumini wa zumaridi. Sioni tofauti ya zumaridi na akina masanja na wengine wengi tu.
Na ana tofauti gani na wale wanaosema kila kitu katoa raisi?

Mwenyewe unaona umeandikaaaaa
Kumbe hata wewe mwenyewe huelewi umeandika nini🤣
 
Zumaridi anawafundisha watoto kwamba yeye ni mungu, yeye ndie msaada na ndie anayewakinga na mauti, anasema yeye ni mtawala wa dunia mzima na anayetawala vitu vyote vya duniani na mbinguni tena wake kuna uzima wa milele.

View attachment 2679921


Halafu anawaambia watoto leo atawapikia tena wali😎😎😎

Inatisha, inasikistisha..... huyu heri angebakigi kulekule jela

Zamani watu kama hao tulikuwa tunawaita "MENTO" .

Madaktari mtibieni huyo Zumaridi ana matatizo ya Afya ya akili ,Mental Health is real.
 
La DP WORLD Unataka kulimalizaje☺, labda uweke wazi kama inafaa tushirikiane
Ndugu yangu wewe hujaona juhudi? Tumeanza na Kitila kwanza tuone kama atatuvusha.......hahaha
 
We endelea kumwamini mungu wako wakike ambae anabanduliwa

1 WAFALME 11:33
kwa sababu wameniacha mimi wakaabudu Ashtorethi, mungu mke wa Wasidoni, na Kemoshi, mungu wa Wamoabi, na Milkomu, mungu wa wana wa Amoni wala hawakuenda katika njia zangu, kutenda mema machoni pangu, kuzishika sheria zangu na hukumu zangu, kama Daudi baba yake.
 
1 WAFALME 11:33
kwa sababu wameniacha mimi wakaabudu Ashtorethi, mungu mke wa Wasidoni, na Kemoshi, mungu wa Wamoabi, na Milkomu, mungu wa wana wa Amoni wala hawakuenda katika njia zangu, kutenda mema machoni pangu, kuzishika sheria zangu na hukumu zangu, kama Daudi baba yake.
We baki na Mungu wako huko,mbona ye Zumaridi hawaingillii!?

We pambana na Mungu acha nao wenzako wamwabudu Zumaridi,uhuruu wa kuanudu uheshimiwe pande zote
 
Kwan hamna umoja wa wakristo wamshtaki kwa anachokifanya huyu mama jaman huku ni kumdhihaki Mungu kabisaa jamani.!!!?????
 
Back
Top Bottom