mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
- Thread starter
- #81
Dini ni kile unacho kiamini ..... mfano zamani wazee wetu waliabudu chini ya miti mikubwa wakaomba mvua na zika nyesha ..... kuna watu wana abidu wanyama kama ng'ombe ..... mwache mtu na imani yake kibaya asivunje sheria za nchi na taratibu zilizo wekwa au kama una agenda nyingine sema
Wewe unaamini kwamba zumaridi ndio anakulinda ili usife!???