Zumaridi asichukuliwe kimasihara, imani ni kitu kikubwa sana inahuisha na imani inaua Watanzania tuamke

Zumaridi asichukuliwe kimasihara, imani ni kitu kikubwa sana inahuisha na imani inaua Watanzania tuamke

Zumaridi yupo sahihi,thibitisha kuwa yeye siyo Mungu



NIMEKUPATIA HII UWEKE AKIBA KAMA REJEA YAKO KWA YAJAYO👇

Zumaridi ni mungu sio Mungu wala MUNGU
miungu kama huyu ilikuwako kwaajili ya watu kama wewe

MATENDO YA MITUME 19:33-35
33 Baadhi ya Wayahudi wakamshawishi mtu mmoja aliyeitwa Iskanda asimame mbele ya umati, wakamwelekeza cha kusema. Iskanda alipunga mkono wake, akijaribu kuwaeleza watu jambo.

34 Lakini watu walipoona kuwa Iskanda ni Myahudi, wote wakaanza kupiga kelele ya aina moja. Kwa masaa mawili waliendelea kusema, “Artemi, mungu mke wa Efeso ni mkuu!”

35 Ndipo karani wa mji akawashawishi watu kunyamaza. Akawaambia, “Watu wa Efeso, kila mtu anafahamu kwamba Efeso ndiyo mji unaotunza hekalu la mungu mkuu mke Artemi. Kila mtu anafahamu pia kwamba tunatunza mwamba wake mtakatifu.



1 SAMUEL 5:1-12
1 Basi Wafilisti walikuwa wamelichukua sanduku la Mungu, wakaenda nalo kutoka Eben-ezeri hata Ashdodi.
2 Wafilisti wakalichukua sanduku la Mungu, wakalitia katika nyumba ya Dagoni, wakaliweka karibu na Dagoni.
3 Na watu wa Ashdodi, walipoamka alfajiri siku ya pili, kumbe! Dagoni imeanguka chini kifudifudi, mbele ya sanduku la Bwana. Wakaitwaa Dagoni, wakaisimamisha mahali pake tena.
4 Hata walipoamka kesho yake asubuhi, kumbe! Dagoni ilikuwa imeanguka chini kifudifudi, mbele ya sanduku la Bwana; na kichwa chake Dagoni na vitanga vya mikono yake vyote viwili vimekatika, vipo vimelala kizingitini; Dagoni ikasalia kiwiliwili chake tu.
5 Kwa hiyo makuhani wa Dagoni, na mtu awaye yote aingiaye nyumbani mwa Dagoni, hawakanyagi kizingiti cha nyumba ya Dagoni huko Ashdodi, hata leo.
6 Lakini mkono wa Bwana ulikuwa mzito juu ya watu wa Ashdodi, akawaharibu, akawapiga kwa majipu, huko Ashdodi na mipakani mwake.
7 Kisha hao watu wa Ashdodi, walipoona ilivyokuwa, walisema, Hilo sanduku la Mungu wa Israeli halitakaa kwetu; kwa maana mkono wake ni mzito juu yetu, na juu ya Dagoni, mungu wetu.
8 Basi wakatuma watu waende kuwakusanya kwao mashehe wote wa Wafilisti, wakasema, Tulifanyieje sanduku la Mungu wa Israeli? Nao wakajibu, Sanduku la Mungu wa Israeli na lihamishwe liende Gathi. Wakalihamisha sanduku la Mungu wa Israeli.
9 Ikawa, walipokwisha lihamisha, mkono wa Bwana ulikuwa juu ya mji huo, kwa kuwafadhaisha sana; akawapiga watu wa mjini, wadogo kwa wakubwa, wakapatwa na majipu.
10 Basi, wakalipeleka sanduku la Mungu mpaka Ekroni. Ikawa, sanduku la Mungu lilipofika Ekroni, watu wa Ekroni walifanya kelele, wakasema, Wamelileta hilo sanduku la Mungu wa Israeli kwetu, hata kutuua sisi na watu wetu.
11 Kwa hiyo wakatuma watu waende kuwakusanya mashehe wote wa Wafilisti, wakasema, Liondoeni hilo sanduku la Mungu wa Israeli, liende tena mahali pake, ili lisituue sisi, wala watu wetu; kwa sababu kulikuwa na fadhaa kubwa sana mjini mwote; mkono wa Mungu ulikuwa mzito mno huko.
12 Na wale wasiokufa walipigwa kwa yale majipu; na kilio cha mji kikafika mbinguni.
 
Zumaridi anawafundisha watoto kwamba yeye ni mungu, yeye ndie msaada na ndie anayewakinga na mauti, anasema yeye ni mtawala wa dunia mzima na anayetawala vitu vyote vya duniani na mbinguni tena wake kuna uzima wa milele.
Niambie dini gani imani gani haisemi hivyo ?
Iwe Wakristu, Waislamu, Hindus au Babu zetu na mizimu..., Ukiamua uondoe au upinge Imani pinga zote huwezi kumzuia mmoja wakati wewe unafanya kitu kilekile

Dini zote ni indoctrination
Halafu anawaambia watoto leo atawapikia tena wali😎😎😎

Inatisha, inasikistisha..... huyu heri angebakigi kulekule jela
Atleast huyu anawashibisha watoto matumbo yao kuliko wengine akili zao zinatekwa na bado mifuko inanyofolewa (ingawa am sure na huyu mifukoni mwa watu anaingia pia)
 
Anajiita mungu chini ya jua,ndivyo anavyiamini yeye mana hata wewe unaamini hivyo unvyoamini tukiomba proof ya mungu unayemuamini utabaki kujikanyagakanyaga tu.
 
Hao Watoto ni yatima hawana Wazazi?

By the way hizo ni project za Ccm kuspin akili za watu kila linapotokea jambo kubwa la kitaifa kuwahamisha watu kwenye mjadala.
we ndio fala kabisa huna hana akili kidogo. CCM inaingiaje hapo ndio maana hata miaka 100 hamtakaa muongoze kwa akili hizo
 
Wacha kwanza tumalize ya DP World. Ndo urithi wa vizazi vya sasa na vijavyo ati.

Huyu mama D anajua anachofanya. Ni wazi yeye na Zumaridi wana Imani tofauti sana ila wako Team moja. Jezi wanayovaa ni ya aina moja.



Jela ni nyumba ya mafunzo. Alipita, kajifunza, kahitimu, amerudi kazini.
 
Zumaridi anawafundisha watoto kwamba yeye ni mungu, yeye ndie msaada na ndie anayewakinga na mauti, anasema yeye ni mtawala wa dunia mzima na anayetawala vitu vyote vya duniani na mbinguni tena wake kuna uzima wa milele.

View attachment 2679921


Halafu anawaambia watoto leo atawapikia tena wali😎😎😎

Inatisha, inasikistisha..... huyu heri angebakigi kulekule jela
We unachoogopa Ni Nini?
 
Zumaridi anawafundisha watoto kwamba yeye ni mungu, yeye ndie msaada na ndie anayewakinga na mauti, anasema yeye ni mtawala wa dunia mzima na anayetawala vitu vyote vya duniani na mbinguni tena wake kuna uzima wa milele.

View attachment 2679921


Halafu anawaambia watoto leo atawapikia tena wali[emoji41][emoji41][emoji41]

Inatisha, inasikistisha..... huyu heri angebakigi kulekule jela
Dini ni kile unacho kiamini ..... mfano zamani wazee wetu waliabudu chini ya miti mikubwa wakaomba mvua na zika nyesha ..... kuna watu wana abidu wanyama kama ng'ombe ..... mwache mtu na imani yake kibaya asivunje sheria za nchi na taratibu zilizo wekwa au kama una agenda nyingine sema
 
ila Zumaridi likijipiga makeup linakuwa bonge la goma, ngoja nitembeleetembelee mwanza labda naweza kuliotea... mnaolijua mnipe code zake Ijumaa na jmosi niwe mwanza.
 
Hao watoto kinachowaponza ni tamaa za wazazi wao kula wali na nyama za bure
 
Back
Top Bottom