Zumaridi asichukuliwe kimasihara, imani ni kitu kikubwa sana inahuisha na imani inaua Watanzania tuamke

Zumaridi asichukuliwe kimasihara, imani ni kitu kikubwa sana inahuisha na imani inaua Watanzania tuamke

Zumaridi anawafundisha watoto kwamba yeye ni mungu, yeye ndie msaada na ndie anayewakinga na mauti, anasema yeye ni mtawala wa dunia mzima na anayetawala vitu vyote vya duniani na mbinguni tena wake kuna uzima wa milele.

View attachment 2679921


Halafu anawaambia watoto leo atawapikia tena wali[emoji41][emoji41][emoji41]

Inatisha, inasikistisha..... huyu heri angebakigi kulekule jela

Nawewe wafundishe ukitaka kwani umezuiwa,mana hizi imani ni mind controller hakuna ushahidi wa uhakika juu ya uwepo wa huyo mungu mnayempigania na kumtetea
 
Back
Top Bottom