Hao Watoto ni yatima hawana Wazazi?Zumaridi anawafundisha watoto kwamba yeye ni mungu, yeye ndie msaada na ndie anayewakinga na mauti, anasema yeye ni mtawala wa dunia mzima na anayetawala vitu vyote vya duniani na mbinguni tena wake kuna uzima wa milele.
View attachment 2679921
Halafu anawaambia watoto leo atawapikia tena wali😎😎😎
Inatisha, inasikistisha..... huyu heri angebakigi kulekule jela
Imani Ina nguvu ya kuleta madhara isipodhibitiwaMungu gani huyu anakula ugali, anajiremba na mwenye lafudhi ya kanda ya ziwa? Iko hivi, serikali isimbughudhi imuache tuone mwisho wake ila asiue watu kama yule wa shakahola kenya. Huenda akawa ni mungu mtu
halafu hizo nyota akawauzie watu wengineAsiwatoe tu kafara Ikiwemo kuchukua nyota zao
Kama mpaka leo huwajui Ccm basi pole yako.CCM inahusikaje hapo?
Asiwatoe tu kafara Ikiwemo kuchukua nyota zao
halafu hizo nyota akawauzie watu wengine