Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Covid-19 ni janga ambalo ni hatari kwa watu katika jamii, lakini ni hatari zaidi kwa watu wenye mahitaji maalumu kutokana na hali walizonazo kuwafanywa washinde kutekeleza mambo muhimu ili...
0 Reactions
0 Replies
861 Views
Hadi ninavyo andika hapa hakuna hata mbuga moja ya kusini Inayofanya Covid sample collection Halafu unasikia Mtu anasema eti tuna promote mbuga za kusini watalii waende huko Mbuga hizo ni; 1...
1 Reactions
0 Replies
996 Views
Ugonjwa wa covid 19 au uviko unaenea kwa kasi nchini.wizara ya afya utadhani haipo.hakuna jitihada zozote zinazofanywa na wizara hii kuhamasisha wananchi kujikinga na huu ugonjwa wa corona...
8 Reactions
79 Replies
6K Views
SERIKALI imezindua mpango wa jamii shirikishi na harakishi wa chanjo dhidi ya UVIKO-19 wenye mambo 10 ikiwamo kuwapo kwa chanjo tembezi (mobile vaccination site) na kuwafuata wananchi walio tayari...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Shirika la Kuhudumia Watoto Duniani (UNICEF) linasema kuwa watoto wanapaswa kufahamu kinachoendelea kuhusu Chanjo ya COVID-19 na ni muhimu wapewe majibu ya kirafiki Kama mzazi ana hofu kuwa...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Are you vaccinated Mr President? New York wants proof, U.N. chief cannot enforce By Michelle Nichols and Mary Milliken United Nations Secretary-General Antonio Guterres gestures during an...
0 Reactions
0 Replies
526 Views
Wataalamu wa Afya wa kituo cha kudhibiti na kupambana na Magonjwa cha Marekani (CDC) na wale wa Shirika la Afya Duniani (WHO) wanahimiza umma kuzingatia na kufuata masharti ya matumizi ya chanjo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimetembelea sehemu nyingi za starehe na maeneo mengi ya biashara watu wamejazana na wengine kutovaa barakoa mbaya zaidi wengine walikuwa wakibishana Yanga na Simba jinsi Manara alivyotoka Simba...
3 Reactions
18 Replies
3K Views
Wataalamu wa afya kutoka Shirika la Afya Duniani wanashauri watu kutochanjwa ikiwa bado wanaugua au wana dalili za Covid-19. Jambo hili linajidhihirisha katika majadiliano kati ya Vismita Gupta...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nicki Minaj alizua dhoruba ya media ya kijamii Jumatatu usiku baada ya yeye kutuma twiti juu ya kusita kwa binamu yake kupata chanjo dhidi ya coronavirus, akitoa maoni kadhaa kwamba alikuwa...
0 Reactions
2 Replies
913 Views
Kuna watu wengi wanapona kwa kutumia dawa za hospitalini pamoja na mitishamba kwa gharama ndogo (ya kawaida) lakini dawa hizi hazisisitizwi popote, yaani dunia imeamua kwenda na chanjo badala ya...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Yuko sahihi Au hayuko sahihi Ni wewe na mimi kuamua. Yeye anakupa first hand experience. Na kwa upendo wake anasema, Kwa wale ambao hamjachukua hatua kama aliyochukua yeye, STAND YOUR GROUND...
1 Reactions
0 Replies
634 Views
Shirika la Kuhudumia Watoto Duniani (UNICEF) linasema ni vyema watu wazima wakawa na taarifa sahihi kabla ya kuzungumza kuhusu chanjo ya COVID-19 na watoto Inashauriwa pia kusikiliza maoni na...
0 Reactions
0 Replies
870 Views
Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema Serikali inaandaa utaratibu wa wiki ya uchanjaji ambayo inatarajiwa kuanza mwishoni mwa mwezi Septemba au mwanzoni mwa mwezi Oktoba. Msigwa...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Kwa hali ninavyoiona ya hii Korona kuondoka na watu, kuna siku watanzania watapanga foleni za kilomita kadhaa ili wapate chanjo. Nilienda kupata chanjo siku ya jumanne. Nilikuwa niko peke yangu...
10 Reactions
181 Replies
10K Views
Shirika la Afya Duniani (WHO) linashauri kuwa matumizi ya barakoa kwa watoto wa umri wowote walio na shida ya ukuaji wa akili au mwili, upumuaji na matatizo mengine maalum ya kiafya hayapaswi kuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ninachofahamu kwa uhakika wa 100% ni kwamba janga hutiliwa mkazo endapo tu kuna manufaa yanapatikana kwa kupitia Janga hilo, iwe ni magonjwa, matetemeko, mafuriko nk. - Mfano kwa magonjwa, ukiona...
3 Reactions
33 Replies
3K Views
Ni muhimu na ni haki kwa kila anayechanjwa kuwa na kadi maalumu inayotambulika na kumthibitisha kuwa amchanjwa. Unashauriwa kuitunza na kuihifadhi kadi hiyo kwa sababu inakuwa na taarifa zako...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Je, unatumia dawa za kupunguza maumivu kabla ya chanjo ili kuepusha athari (side effects) zake? Shirika la Afya Duniani (WHO) linaonya kuwa inaweza kupunguza ufanisi wa chanjo. WHO inasema kuwa...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa nchini Marekani (CDC) imesema kuwa ikiwa unajaribu kupata ujamzito sasa au baadaye, unaweza tu kupata chanjo ya COVID-19 inayopatikana katika eneo lako kwani...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom