Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Kampuni za Azam zimeendelea kufanya mapinduzi ya uwekezaji kwa kuanza kuwekeza katika Usafirishaji Wa anga kwa kutegemewa hivi punde kushusha ndege 15 kwa ajili ya shughuli za usafirishaji kutoka...
13 Reactions
156 Replies
27K Views
Happy new year 2020 wanaJF Kwa kitendo hiki kama ni kweli kulingana na nilivyosikia, basi nchi yetu imefikia pabaya Msanii wa Hip hop Roma Mkatoliki baada ya kutoa ule wimbo wake "Naitwa roma"...
18 Reactions
67 Replies
16K Views
Naombeni kujua Bei za maharage ngara Naambiwa Bei poa sana je ni kweli? Nmeambiwa 700/kg Ila hakusema maharage yapi madogo au makubwa alieko NGARA nahtaji msaada
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Na Mwandishi Wetu Mamia ya Watanzania wamepinga upotoshaji wa mwandishi wa habari aliyegeuka mwanaharakati, mwanasiasa na zaidi wakala wa mabeberu, Ansbert Ngumrumo, ambaye kazi yake kubwa ni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna tetesi kuwa kikao cha dharura kimeitishwa mjini Dodoma kinachowakutanisha wakuu wote wa vyuo vikuu nchini. Hatua ya kuitia kikao hicho imetokana na hali mbaya ya wahitimu wa vyuo vikuu...
13 Reactions
131 Replies
15K Views
Wakuu habari za asubuhi? Nimesikia tetesi kwamba lile fao la kujitoa lililokuwa limezuiliwa awali kwamba hadi mwanachama afikishe miaka 55 ndipo anaruhusiwa kwenda kuchukua fao lake Wakuu hapa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari za weekend? Nina info za uhakika kabisa kutoka vyanzo vya kuaminika kabisa kabisa kwamba Mkulima kamalizwa na malipo yalikamilishwa Jumanne iliyopita, na ni madai yake yote na safari hii...
27 Reactions
147 Replies
15K Views
Waswahili wanasema safari moja huongeza nyingine.Hicho ndo kimenitokea Mimi. Nikiwa katika safari yangu ya kufanya utafiti uchawi uganga na ulozi nimejikuta napata interest ya kuandika kuhusu...
10 Reactions
110 Replies
29K Views
Wanafunzi waliomaliza mitihani yao kidato cha nne Alliance Schools zaidi ya 200, wanatakiwa kuchanga 100,000/-TZS ili kushiriki mahafali ya kidato cha nne 2019. Iwapo kila mwanafunzi atatoa pesa...
7 Reactions
92 Replies
7K Views
Wazima humu naomba kupata taarifa zenye uhakika kuhusu kisopwa huko Dar ama iko pwani sina uhakika sana,nasikia wanajeshi wanavunja na kubomoa nyumba za watu watoke kwenye maeneo yao ,ambayo kwa...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Habari zenu waungwana,Mie imenitokea kama wiki tatu sasa sikio langu kutosikia vizuri,Yaani linasikia ila ni kwa mbali sana,Nimeenda hospitali wamenipatia dawa aina ya Boric Acid lakini mpaka sasa...
0 Reactions
5 Replies
14K Views
Mji wa Zanzibar ambao pia ni nchi isiyo jitegemea , imekuwa kivutio kikuu cha utalii Africa na Duniani. Fumba iliyopo kusini mwa Zanzibar, njia panda Dimani ilikuwa na uoto wa Asili , mikoko...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Taarifa kutoka mkoani Songwe zinaeleza kuwa Mwenyekiti wa UVCCM kata ya Maporomoko, na kiongozi wa Green guard wilaya ya Momba wamefariki kwa ajali baada ya kugongwa na gari wakiwa kwenye...
3 Reactions
24 Replies
4K Views
Tamthilia ya Mbowe kuendelea muda si mrefu, leo Okt 6, 2019 anafanya press kuituhumu Serikali na CCM vinavihujumu vyama vya Upinzani katika uchaguzi wa S/mtaa. Hii ni hadaa na anataka kutafta...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kiukweli midude ya standard gauge inapita mtaani kwetu yani nikiona ile migari imeandikwa yapi merkez nafuraaaaahiii acheni tu Magufuli Ni chuma Cha pua vijana mnaoishi reli inapopita acheni...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari wanajamvi? Kuna habari zinadai kuna mlipuko wa moto maeneo ya Songas Somanga. Inadaiwa wafanyakazi wote wamekimbia eneo hilo. Inadaiwa kuna mungurumo mkubwa unaosikika zaidi ya kilomita 10...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Taarifa za kunyapia nyapia nilizopata ni kuwa uenda Tanzania ikanunua ndege kubwa zaidi ya Dreamliner 787-8 ambayo ilipokelewa mwaka jana na Mh Rais Magufuli, Tetesi zinadai kuwa ndege ijayo aina...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Nawasihi tu wadau wapambanaji wa kisiasa na wakereketwa au mashabiki wa mambo ya siasa. Hii VAR ya kudaka faulo zote za mitandaoni, na kwenye vifaaa vya mawasiliano inafanya kazi kwelikweli...
18 Reactions
59 Replies
9K Views
Huwa ni mara chache naunga mkono hatua za Magufuli lakini kwa hili la kununua ndege niliona kwamba ni mkakati ambao unaweza kuwa na manufaa kwa Tanzania. Nilikumbuka matatizo tuliyopata baada ya...
4 Reactions
56 Replies
7K Views
Back
Top Bottom