Katibu Mkuu Utumishi ametoa maelekezo kuhusu Watumishi wa Umma wanaoshiriki katika mchakato wa kugombea nyadhifa za kisiasa kwamba:-
1. Mishahara yao itaendelea kusimamishwa kwa mwezi Agosti pia...
Tabia ya kufunga funga Magari na kudai Tshs 50,000 hii hapa, jisomee.
Kwa wapenzi wa sheria, kuna kesi tamu hapa ya Vigu Trading Co. Ltd dhidi ya TANROADS, Yono, Inland Transporters Ltd...
Hali si shwari katika mradi wa SGR unaojengwa na Mkandarasi Yapi Merkez kutoka Uturuki kutokana na mgomo ulioanza leo wa Wakandarasi wa Kitanzania kusimamisha Construction equipments, Tipper...
Habari wana JF,
Kama swali linavouliza?
Ni kweli raia wa hizi nchi Saba Tanzania, Kenya, Uganda, Sudan Kusini, Rwanda na Burundi wanatamani EAC (UMOJA WA AFRIKA MASHARIKI) kuwa nchi moja ya...
Habari za jioni wakuu, huku mtaani kwetu kuna kishindo kikubwa kimesikika kiasi wananchi kupata TAHARUKI na kutoka nje. Kuna watu wamesema wameona moto juu kama kimondo kimedondoka na wengine...
Wale wapenzi wa bar maarufu Tabata Bima Junction mtakua mashahidi, hii bar imefungwa zaidi ya miezi 3. Awali watu wengi walidhani labda ni sababu ya Corona lakini sio kweli.
Mmiliki wa Forty...
Kuna habari za chini chini kutoka chanzo cha kuaminika kuwa, SMILE COMMUNICATIONS TANZANIA ipo taabani sana kifedha, na lolote BAYA laweza tokea muda wowote kuanzia sasa.... CFO wao (NABIL)...
Kuna watu watauliza; Je; mlalamikaji Ni Nani?
Kesi inayohusu "Public interest" Inayoonesha Kuna uharifu ambao unaweza kutafsiriwa tofauti na jamii lazima Jeshi la polisi lifanye kazi yake...
Mfano wewe Ni jinsia ya kiume (Me) ukaenda kutoa pesa kwa wakala halafu jina lionekane mtoaji aliyetoa ni jinsia ya kike (KE)! Utaratibu wa Sasa hutakiwi kupewa pesa hiyo vinginevyo Ikitokea iwe...
Taarifa hizi nimezipata kwa rafiki wa karibu aliyeko SUA.
Sijawa na uhakika wa kutosha kuhusu chanzo hiki cha habari . Imenitia Uchungu kwa vile hawa walikuwa watu maarufu kitaaluma na waliotoa...
Tumesikia kauli mbalimbali za viongozi na Rais wetu kuhusu UFUNGUZI WA primary and secondary school
Kwa wale mlioko karibu na connection, Serikali ikitangaza tarehe tu, mtuwekee taarifa hapa
Pia...
Rais Pierre Nkurunziza
Wapiga kura nchini Burundi wameunga mkono mabadiliko ya katiba ambayo yatamruhusu Rais wa nchi hiyo kusalia madarakani hadi mwaka 2034.
Kwa mujibu wa matokeo ya kura za...
Tunao chukizwa na huu mfumo mpya wa kupanga foleni kupanda gari za mwendo kasi, naomba tujuane..
Maana tunapoteza sana mda kwenye foleni, na gari zenye ni chache sanaaa.
Huwa napoteza si chini...
Wakati huu ambapo vyuo na shule zimefungwa kwa muda kama sehemu ya tahadhari dhidi ya CORONA kuna Halmashauri zimetoa agizo walimu wote wawe wanaenda kusaini kazini kila siku asubuhi na kurudi...
Inafakamika kila baada ya miaka kadhaa kutokana na njia ya mwezi angani kuna wakati mwezi kupita karibu sana na na Dunia. Hali hiyo ya mwezi kupita karibu na Dunia ndiyo inayoitwa mwezi mpevu sana...
Police wameongezwa maradufu chato why? Wananchi wa chato kwanini hawaruhusiwi kutoka nje hasa usiku? Mchana hawaruhusiwi kutoka bila kuvaa barakoa why?
Wageni kutoka mikoa mingine now...
Chato wameweka simple lockdown ukiingia au ukitoka lazima upimwe Corona
Yaani chato ukaguzi unafanyika kila wakati watu wanapimwa kila waingiapo ndani ya hicho kijiji ambacho ni kama mkoa wenye...
Watumishi wa umma wanaingia mwaka wa nne bilabila kavkav hivi hiki walichofanyiwa watumishi wa umma wangefanyiwa jw au policcm hali ingekuwa hivihivi?
funzo: mwambie mapema mwanao aliyefomu wani...
"Dar es Salaam lazima kuwe na wagonjwa wengi na vifo vingi kutokana statistically kuna Population kubwa".Hii kauli ni ya Mamlaka
Ukweli huogopesha lakini bora usemwe,Corona maeneo ya Dar es...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.