Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Hatimaye serikali yasitisha usajili wanoah katika biashara. Huu usafiri unasaidia sana vijijini, umerahisisha maendeleo na mambo mengine , figusu katika nchi yetu haziishi, hatimaye wamesitisha...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimepata email ya tangazo kutoka mtandao wa 123tanzania ukielezea kuwa Hotel ya Starlight inauzwa kwa dau la USD 3,500,000. Kwa mdau mwenye hela achangamkie tenda hiyo.
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Juzijuzi Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba alipohojiwa alisema hivi karibuni watamwaga pesa nyingi mtaani. Sasa badala ya pesa kumwaga sasa hata za kulipa watu zinakosekana. Taarifa zilizopo ni...
8 Reactions
75 Replies
6K Views
Kuna hizi tetesi nimezikuta mahali kuwa huenda tozo za maiamala zilikuwa sababu ya yule dogo kuwaua hawa jamaa zetu kwa kuwatwanga risasi
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari za muda huu wanaJF! Bila kupoteza muda kuna tetesi kuwa Vodacom hawasajili tena laini mpya za uwakala wa M-Pesa. Mwenye taarifa tafadhali atueleze nini kimetokea huko.
3 Reactions
10 Replies
4K Views
Kuweka record sawa! Vile viwanja vilivyokuwa haviuziki kwa sababu ya migogoro utawala wa jpm, sasa vimeanza kuwa dili tena awamu ya sita!. Double allocation imeanza kurudi tena! Nashauri Inchi...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Ninatuma Uzi huu, kuijulisha serikali ya Tanzania kuwa Hali za wananchi ni mbaya kiafya huko Moshi mjini na Kilimanjaro Kwa ujumla. Wanaozaliwa ni wachache kuliko wanaofariki Kwa siku moja. Hali...
13 Reactions
54 Replies
8K Views
Halo Huyu jamaa ni kijana wa nigeria aliyekuwa akiishi Dubai miji kama Abu Dabi ndio viunga vyake vya kujitanua. Alitrend sana na kisa kikubwa kutrend kwake ni yeye mwenyewe kuwa mtu wa kupenda...
3 Reactions
65 Replies
9K Views
Je, ni kweli kwamba baada ya kufanya majaribio kwa watu waligundua kwamba mtu anatakiwa achanjwe mara 2 ndio awe na kinga tosha, ila baada ya utafiti sasa wamebadilika tena, wanasema unatakiwa...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Wakuu, Kwa niliyayona jana na juzi sitasalimia naenda moja kwa moja kwenye maandiko yangu. Nilisafiri kwenda kijijini mara moja kwenda kutafuta mazao kwani wakulima nikafika kijiji kimoja...
9 Reactions
72 Replies
6K Views
Wakati wa uongozi wa aliyekua DG wa NSSF William ERIO NSSF ilijaa matumizi mabaya ya fedha za shirika mpaka kufikia kumlipa mfanyakazi sh milioni 26 za UHAMISHO akitoka makao makuu Posta...
26 Reactions
108 Replies
16K Views
Wakuu salama Kuna habari kuwa kule zanzibar kuna msiba mzito Embu walioko huko watujuze kama hizi taarifa nizakweli
0 Reactions
35 Replies
5K Views
Kuna wizi unaendelea siku ya 3 Leo kivuko cha busisi Mwanza. Wananchi wanalipia huduma ya Choo bila receipt wala machine siku ya 3 sasa. Watu wanatoa km sadaka kanisani. Nimejaribu kuuliza kwanini...
4 Reactions
10 Replies
1K Views
Saalam? Zipo tetesi kuwa manispaa ya Morogoro inataka kujenga uzio (ukuta) kufanya ivo no kuwanyima wananchi fursa ya kuongeza kuipato Chao kwa kuitumia soko hilo. Kama ni kweli viongozi wa...
0 Reactions
4 Replies
804 Views
Come.to think of it. Asilimia kubwa ya watu wanao jiingiza katika ujasiriamali WA kukusanya makopo na chupa za plastiki na kisha kwenda kuziuza viwandani huwa wanaishia kuwa wehu kabisa na...
32 Reactions
139 Replies
16K Views
Yapo Mambo mengi kumhusu shetani ambayo mimi nimekuwa Mgumu kuamini ni kuhusu shetani majini yote kuogopa Nguruwe, unakuta Mtu anasimulie Habari zake huhusu kukutana na wWachawi au majini lakini...
4 Reactions
32 Replies
5K Views
Habar Population au idadi ya watu ni suala pevu na lenye mashiko Linaipa nchi -bargaining power kwenye soko la dunia -fulsa ya biashara -nguvu ya jeshi kwakua na millitary man power -kupata...
1 Reactions
37 Replies
5K Views
Je ni kweli taasisi hii ya umma itaanza kuunda ndege 2018? kama ndio juhudi hizi zinapaswa kuungwa mkono maana zitapunguza gharama za kuagiza ndege toka nje **WAFUATAO WASIWEPO KWENYE KUUNDA...
2 Reactions
56 Replies
12K Views
Kama panavyosomeka hapo leo nikiwa katika harakati zangu za mizunguko huko mjini nilitembelea sehemu yenye maduka ya simu nilishangaa kukuta kila duka limepanga simu za Tecno, Itel, pamoja na...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Walioko huko Morogoro Turiani wilaya ya Mvomero watuthibitishie hii taarifa ya wafanyakazi wa hospitali hiyo wapatao 60 wamepunguzwa kazini. Poleni sana ukiwa mfanyakazi unaisoma namba...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Back
Top Bottom