Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Kuna taarifa mpya kwamba eneo la hifadhi ya Ngorongoro, inatakiwa kubadilishwa iwe kitalu cha uwindaji. Inadaiwa kuwa Mwarabu wa Loliondo anamwaga fedha kuhakikisha anapewa eneo hilo, hususan...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Nimeonana na mwanadada mmoja aliyeajiliwa hospitli ya serikali, idara ya afya akasema wamerudishwa nyumbani kwa vile serikali haina fedha ya kuwalipa kwa sasa. Je taarifa hii ni kweli?
8 Reactions
47 Replies
5K Views
Kuna tetesi zinadai kwamba yule jamaa aliyetumwa na bashite kumtolea bastora Nnape Nnauye Ndio huyo hapo nyuma ya viongozi wa Chadema wkt wanapelekwa mahakamani. Kwanini yuko hapo ? Yeye ni nani...
69 Reactions
358 Replies
57K Views
Mwanadada Twaiba classic amekiri kutapeliwa na mwanadada Khadija Naif zaidi ya Tsh milioni mia sita. Wawili hawa walikutana Instagram na kuwa marafiki Twaiba hakuwa na hofu nae. Alimuambia...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Naomba mwenye taarifa,atwambie Mbezi high school Kuna nini? Hii shule iko Dar Es Salaam kwa Yusufu. Tetesi zinadai kwamba walimu baadhi wa shule hiyo wamewageuza wanafunzi wachumba na wake zao...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Tajiri anayelia kama ng’ombe naye kasema ili nafsi yake iwe huru kuanzia sasa ataanika kila kitu. Mambo ndio yameanza hivi itajulikana tu mbivu na mbichi. Ameahidi kutaja waliosuka mpango mzima...
38 Reactions
117 Replies
9K Views
Waziri wa Afya wa Kenya amethibitisha kuwa kuna meli yenye shehena ya Radioactive imepita Kenya na inaelekea Tanzania. Je serikali ya Tanzania inataarifa ya meli hiyo? ==== Kenya secures...
5 Reactions
79 Replies
7K Views
Haka kaugonjwa kamekolea kweli kweli... Wizara ya Afya itoe tamko sasa.
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari zenu ndugu zanguni wa Jamii forum,Nina tv yangu nyumbani aina ya Sing sung inchi 21 lakin nashangaa tangu juzi tv yangu haionyeshi kabisa ila kitaa cha kuonyesha on kinawaka je tatizo lake...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Habari za mchana Wadau! Kuna tetesi kuwa Hospitali ya Rufaa ya kanda ya Mkoa wa Mbeya maarufu kama "Rufaa" imeuzuia Mwili wa Marehemu Eliezer Solomon Njole kutolewa Mochwari. Sababu inaonekana...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Kuna tetemeko dogo limepiga Leo kigoma wilaya ya buhigwe alfajiri
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Asee wakuu kumbe kuna watu wana jax sana hii nchi. Nimeona huko Twitter kuwa huu ni usajili wa mabus 20 mapya ya Abood. Tutafute hela wakuu.
40 Reactions
545 Replies
58K Views
Hii ndio habari iliyoko mtandaoni kwa sasa kuhusu lile tawi jipya liliofunguliwa hivi karibuni huko maeneno fulani ambapo japo mwanzo ni mgumu,lakini mwanzo huo unaonekana si dalili njema hata...
11 Reactions
146 Replies
18K Views
Nimepata Taarifa kutoka kwa familia moja ambao wameoa huko Mkoani Arusha zikisema walipata msiba wa Mkwe zaidi ya wiki Sasa lakini mazishi hayajafanyika kwa sababu Hospitali inadai haitotoa mwili...
1 Reactions
44 Replies
5K Views
Wanabodi Kama isomavyo "tetesi", nikiwa mazingira ya butimba chuoni leo kwa usafiri wa bodaboda, nimetaarifiwa kwamba wakati wanachuo wakiwa mchaka mchaka alfajiri, baadhi yao wamegongwa na...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nimesikia Milio ya risasi maeneo ya Moroco kama mara nne hivi nipo maeneo ya shoppers hapa at this moment nasikia ving'ora shida ni nini wadau? Usalama upo Kweli?
3 Reactions
39 Replies
5K Views
Waziri wetu mvaa skafu inadaiwa amekalia kuti kavu, muda wowote ataaga mashindano na kutuachia wizara yetu.. Ahsanteni...
11 Reactions
64 Replies
6K Views
Ukiogopa sana lawama, hutaishi kuyafurahia maisha yako. Kumbuka, kuishi ni mara moja tu hapa duniani, na kuishi ni lawama. Lawama ni kwa walio hai, sifa ni kwa marehemu.Weekend ya lawama sana hii.
2 Reactions
8 Replies
731 Views
Back
Top Bottom