Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Ni bwana Oezeama kama sikosei. Mwamba huyo ni Mchungaji lakini 2019 alikamatwa kwa tuhuma za kukutwa na zaidi ya kilo 20 za unga wa cocaine na pamoja naye pia walikamatwa wazungu wawili aliokutwa...
13 Reactions
61 Replies
5K Views
Habari za mapumziko, Inasemekana walioiba Silaha kwenye ofisi za TAKUKURU huko Handeni ni maafisa TAKUKURU wenyewe. Chanzo chetu kutoka Handeni kinasema maafisa hao wakishirikiana na watu wa...
9 Reactions
50 Replies
3K Views
Kuna tetesi nimepewa na mtu wangu wa huko wizarani kuwa kuna bei mpya ya units kuanzia january Bei itapanda kutoka Tsh 357 kwa unit bei ya sasa hadi kufika 511 kulingana na nilivyoambiwa Halafu...
30 Reactions
130 Replies
9K Views
Kama hii ni kweli, na behewa zenyewe ndiyo hizi tunaambiwa ni refubished siyo mpya, basi kuna harufu ya upigaji ama TRC wamepigwa na muuzaji.
4 Reactions
37 Replies
4K Views
Agro Eco Energy alijiondoa kwenye mradi wa sukari wa Bagamoyo 2015, huyu aliyeikamata ndege yetu ni nani? Mwigulu Nchemba tunahitaji majibu hapa. Kwa mujibu wa gazeti la The Guardian la tarehe 21...
10 Reactions
25 Replies
2K Views
Kuanzia November 16; taarifa za watumiaji hao zimevuja na zinauzwa mtandaoni. Taarifa hizi zikiwemo namba za simu, majina (kwa wanaoweka majina yao kwenye akaunti zao) na profile picture...
1 Reactions
11 Replies
793 Views
Katika kuunga mkono mafanikio shirika la ndege la Qantas (Australia), wamekusudia kuanza safari za Sydney -Zanzibar kupitia Kilimanjaro ili kukuza utalii na Uchumi wa buluu.
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Baadhi ya Wananchi wa Kijiji cha Manchali Kilichopo Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma, wametoa wito kwa Watanzania hasa wa Vijijini, kutumia vyema akiba ya chakula waliyonayo, ikiwemo kuwa...
0 Reactions
0 Replies
312 Views
Hivi ndivyo jinsi ajali ya ndege ya Precion Air ilivyotokea: "Ndege ilikua ikiongozwa na ruban mmoja hivi anaitwa Rubanga mwingne jina lake sijalifahamu vizuri. Tatizo ililopata mpaka ndege...
37 Reactions
149 Replies
18K Views
DAR ES SALAAM: Kampuni ya JESHI SUMA JKT inayomiliki walinzi Dar es salaam na mikoani, imelalamikiwa na watu mbalimbali kuhusu rushwa. Walinzi wa kampuni hiyo hasa wa UTUMISHI-DAR ES SALAAM, pale...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Bado kidonda cha Kalyinda hakijapona kwa Watanzania wengi, Tayari kuna tetesi na dalili zote za kipigo kizito kwa Watanzania wengine waliojiunga kwenye mchongo Pacha wa Kalyinda uitwao Bestei...
3 Reactions
20 Replies
3K Views
Kwa tuliokulia mikoa mingine mkoa wa Kilimanjaro tulikuwa tukiusikia Kwa redio na kuhisi ni Ulaya ndogo, hata wenyeji wa Mkoa huo tulipokutana nao jijini Dsm tuliona ni watu waliostaarabika sana...
5 Reactions
36 Replies
3K Views
Wakuu Kuna dada ana mji wake na gesti maeneo ya karibu na mizani ya pale njia ya tegeta, Ananiambia kuanzia pale mbuyuni upande wa kulia yanapopaki maroli kwenye eneo la Rupia,na nyumba zote za...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Zipo tetesi Kwaya hii maarufu inajiandaa kukwea pipa mpaka London kufuatia mwaliko ili kuwafariji wafiwa huko! Tunashukuru IEBC kwa kutupaisha kimataifa
16 Reactions
58 Replies
5K Views
Kumekucha. Yasemekana wale wababe wasiojua mipaka ya kazi yao, tayari yamewakuta: Habari hii kwa sasa inazunguka kama moto wa nyika. Hii ni kumhusu yule dogo aliyewekwa mtu kati, hadi...
17 Reactions
69 Replies
6K Views
Baadhi ya wilaya wanaoenda kujiandikisha kupata kunufaika na pembejeo wanaambiwa wawe na laini ya Voda na wanatakiwa kupiga picha. Mh wWaziri wa Kilimo tunaomba ufafanuzi upya kuhusu utaratibu...
0 Reactions
1 Replies
330 Views
Tarehe 18 mwezi huu kuna mabadiliko mapya ya vifurushi yatafanyika. Hiyo ni kwa mujibu wa jumbe za kampuni husiko walizotuma. Kikubwa tulichokuwa tunaumia watumia mabando ya kwenye simu ni kwa...
5 Reactions
44 Replies
4K Views
Sherehe za wafanyakazi (Mei mosi) zinasimamiwa na vyama vya wafanyakazi zikiratibiwa na TUCTA. Sherehe za wafanyabiashara sabasaba zinaratibiwa na TANTRED NA TCCIA. Sherehe za wakulima (wakulima...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Mh Kinana kakerwa na Trafiki huenda alipita hii njia kutokea Njiapanda hadi Arusha wanajipanga hivi. Njiapanda - 4 Uchira - 4 Kawawa - 8 Mjohoroni - 2 Kiboriloni - 6 Changbay - 5 Kibosho - 4 na...
52 Reactions
103 Replies
8K Views
Back
Top Bottom