Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

ATCL inasmemekana imefikisja rasm baada ya ndege 3 kukamatwa Kwa SBB ya madeni wakati ndege zingine zikiwa mabovu..hivyo kuasabaisha safari nyingi kufutwa bila kutoa taarifa Kwa wateja.Hapa...
5 Reactions
45 Replies
3K Views
Kesho wafanya biashara wa Lushoto mjini kugoma. Inadaiwa hamlashauri imepandisha kodi ya pango za fremu kutoka laki 200000 hadi laki 600000.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kuna tetesi kwamba NHC Shirika La Nyumba wameanza kuwapa notisi ya kuhama majumba na fremu ya biashara jijini Dar Es Salaam kupisha nyumba hizi kubomolewa na kujengwa upya. Kwa yeyote mwenye...
3 Reactions
65 Replies
5K Views
Viongozi kadhaa wa Kigoma kuwa jiji umefikia hatua nzuri na labda kutangazwa mapema kuliko watu wengi wanavyodhani. Group la viongozi la WhatsApp linalopush hii agenda limesema Mambo yameiva...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari zenu wote wanajamii Forum wenzangu. Napenda kuwasilisha mshangao wangu kwenu,katika hii awamu ya sita nimeshuhudia kuwepo na kudaiwa pesa kila siku ambazo Waalimu uagiza wanafunzi kwenda...
10 Reactions
143 Replies
5K Views
Habari wana Jamvi, Mimi ni mfuatiliaji mzuri wa sekta au tasnia ya usafiri wa anga kwa ndani ya nchi na kimataifa. Siku ya jana tarehe 21/04/2022 shirika la ndege la Tanzania lilikua na ndege...
9 Reactions
47 Replies
4K Views
Kuna tetesi kuwa majina ya form four wamechaguliwa kujiunga na vyuo vya afya. Majina hayo niangalie kwenye link ipi? Saidia maskini
0 Reactions
0 Replies
538 Views
Wakuu, sijui kama mmegundua, kuna kaupepo ka Homa za ajabu ajabu kanaendelea mitaani na watu wanaumwa sio kidogo wengine wanadai hadi kupoteza ndugu wanaowajua kutokana na homa hizi lakini cha...
10 Reactions
73 Replies
7K Views
Nimepenyezewa taarifa kuwa Rais mstaafu Jakaya Kikwete amelazimika kukatisha ziara yake Korea Kusini ili kuja kuhudhuria msiba wa aliyekuwa Waziri wake wa Mambo ya Nje ndugu Bernard Membe...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
Nimetumiwa ujumbe na mtu anayedai amesafiri na binti yangu leo na gari imepata ajali maeneo ya Babati na kwamba majeruhi wamepelekwa hospitali ya Dareda. Nampigia simu mhusika hapokei tena...
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Hali ya kiafya ya Waziri Mkuu mstaafu, Edward Ngoyai Lowassa, inaelezwa kuwa ya kutoridhisha katika siku za karibuni na kwamba sasa “anapigania uhai wake”, Gazeti la Dunia linaweza kuthibitisha...
9 Reactions
34 Replies
4K Views
Kama ambavyo tumekua tukiendelea kufichua namna ambavyo uongozi wa CWT unatafutwa kwa mbinu chafu na namna baadhi ya watu walivyokihujumu chama, leo tunamleta kwenu Joseph Misalaba Mgombea wa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tanzania imeondolewa katika mradi wa kimataifa unaohusu mambo ya nishaji endelevu (sustainable energy management) sababu ikiwa ni matatizo ambayo wafadhiri wa mradi wanaona watapambana nayo...
11 Reactions
66 Replies
7K Views
Kusema ukweli kwa hili TCRA mnatuchanganya! Inaonesha hamjajipanga! Usumbufu umekuwa mwingi mno! Tulisajili kwa majina mara ya kwanza mwaka 2002~2005, mkasema ni batili mkasema zoezi lirudiwe...
38 Reactions
110 Replies
13K Views
Baada ya kutafutwa Sheikh Alhad na kumweleza tuhuma mbalimbali zilizoelekezwa kwake, ikiwemo kupendelewa na Mufti Zubeir kutokana na ukaribu wao wa kifamilia, kuingilia majukumu ya Baraza la...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
TCU imetoa third edition ambayo imekuja na mabadiliko mengi. Moja ya hayo ni kubadili kigezo cha kufundisha kuwa 3.5 kwa undergraduate badala ya 3.8 kwa vyuo vya serikali kama ilivyokua awali...
13 Reactions
414 Replies
60K Views
Ziko taarifa kwamba, wafanyabiashara wakubwa wa madawa ya kulevya ‘unga’ nchini wamekuwa wakimiminika mkoani Lindi kwa lengo la kumnasua gerezani, mtuhumiwa wa biashara hiyo, Ali Khatibu Haji...
1 Reactions
19 Replies
7K Views
Habari ndio hiyo. Hili jambo watu wa benki kitengo cha mikopo wanalijua, watumishi wa hazina wanalijua. Kazi iendelee. Hizi ni tetesi nilizozipata kwa mmoja wa wanufaika wa 90%.
0 Reactions
10 Replies
980 Views
Back
Top Bottom