Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Nyepesi nyepesi; Nimepata taarifa kuwa jana jumatatu makampuni yote ya simu yanayotoa huduma hapa nchini kuwa wamekaa na kujadili jinsi ya kutatua changamoto na kufidia hasara kwa watumiaji wa...
25 Reactions
129 Replies
7K Views
Habari wana jamvi. Naomba kuwasilisha mada hii kuviomba vyama vya Upinzani vipaze sauti kuhusu utaratibu mbovu ambao kwa sasa Halmashauri nyingi Nchini wanafanya kutoa mikopo kwa kigezo cha kuwa...
5 Reactions
23 Replies
2K Views
Balozi kazi yake ni kutetea raia zake lakni ubalozi wetu wa Tanzania uliopo Uturuki haufanyi kazi hii badala yake umekuwa ukishirikiana na jeshi la polisi la Uturuki kuwaondosha watanzania nchini...
8 Reactions
94 Replies
4K Views
Maafisa elimu mkoa, mpaka Wilaya hawana majibu, Wakurugenzi wa Halmashauri hawana majibu, wakuu wa mikoa mpaka wilaya hawana majibu, makatibu tawala hawana majibu, wabunge hawana majibu, zaidi ya...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
Mwanaume mmoja anayejulikana kwa jina la Marwa Menganyi mkazi wa Kijiji cha Keroti wilaya ya Tarime mkoani Mara anadaiwa kumuua mtoto wake, Celine Marwa, mwenye umri wa miezi minne kwa kumbana...
17 Reactions
120 Replies
4K Views
Kwa taarifa za kuaminika kutoka Kagera wilaya Karagwe inasema watu wengi wenye asili ya Rwanda wananyanganywa vitambulisho hata kama watoto wamezaliwa hapa na wazazi wao wamezaliwa hapa nchini...
0 Reactions
3 Replies
631 Views
Hivi karibu kuna nyuzi nyingi za watu kukata tamaa na kutaka kujiua, kuacha au kuachika katika mahusiano ya me na ke, biashara kugoma, kukosa kazi ya kufanya, kuchukiwa na ndugu jamaa na marafiki...
4 Reactions
12 Replies
531 Views
"We have been caught in a shootout at Kilimanjaro International Airpot. We have no idea what it is all about. It was quite a firefight. Stopped now but staff are nowhere to be seen."
4 Reactions
36 Replies
3K Views
Hizi ni tetesi zilifika hivi punde kwamba wafanyakazi katika shule maarufu huko Tabata Dar es Salaam kugoma muda wowote kuanzia sasa hali inayotishia kuhatarisha zoezi linaloendlea la mitihani ya...
6 Reactions
64 Replies
7K Views
Kufuatia operesheni ya kukamata plate number za 3D, habari kutoka vyanzo visivyotaka vitambulike ni kuwa, camera za polisi zile maarafu kwa kuwakamata wadaiwa sugu wa traffic fines! Zinashindwa...
4 Reactions
14 Replies
3K Views
Habarini wana jamvi, natumaini mko poa sana. Leo katika mishe zangu ikaingia sms ya tozo, ikiwa na jina la PAYROLL LEDGER FEE na baadaye ikaja na ya VAT. Sasa nikapiga simu kwa bank husika kujua...
0 Reactions
1 Replies
444 Views
Kama Uzi unavyojieleza. Chama Cha walimu Tanzania (CWT), kimeanzishwa zaidi ya miaka 40 iliyopita. Ninaomba wanachama wa CWT waeleze faida za CWT Kwa wanachama wao ambao ni walimu Pili ninaomba...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Habari za jioni. Walimu kadhaa waliohamishwa wakiwemo walimu wa Parakuyo primary school ambao shule yao imetwaliwa na mamlaka ya Handeni Mji kutokana na mabadiliko ya kimipaka yaliyomalizwa tangu...
0 Reactions
9 Replies
744 Views
Ole wako unayenunua simu ya kiganjani kwa mtu badala ya dukani. Wengi wanatambia simu za mkopo na wanaoshindwa kumaliza mkopo baadhi yao hujitoa akili kwa kuziuza na kutokomea. Makampuni ya simu...
10 Reactions
36 Replies
5K Views
Wakuu mpo poa? Kwa habari za ndani kabisa kutoka Azama Media, zinadai Mtangazaji Salim Kikeke wa BBC ameomba kustaafu. Lengo lake kuu ni kurejea Tanzania kufanya kazi na Azam Media.
18 Reactions
64 Replies
7K Views
Nimesikia tetesi za kampuni ya mabasi ya Abood kuanzisha safari mpya za mkoa wa Kagera. Naomba mwenye taarifa juu ya tetesi hizi anifahamishe. Safari zitaanza lini?
4 Reactions
44 Replies
5K Views
Kuna tetesi kwamba kuna uwezekano mkubwa wa walimu walioajiriwa 2014 na 15 mwisho wa mwezi wa kumi na mbili watakuta mabadiliko kwenye mishahara Yao kutokana na kupanda vyeo. Je, kuna ukweli wowote?
1 Reactions
13 Replies
908 Views
MFANYABIASHARA Happy Mboya (38) aliyefariki dunia katika hospitali ya Mwananyamala, Jumapili, Desemba 16 na kupangwa kusafirishwa jana kwenda Moshi kwa mazishi leo, mwili wake umezuiwa kutoka...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Tunaishi ndani ya dunia iliyo ndani ya begi dogo mno ni kiasi cha mistake ndogo tu tunaiacha dunia, twende pamoja.... Fununu kuhusu sanduku hilo... Sanduku hili ndilo inaloitwa black Box ama...
0 Reactions
2 Replies
651 Views
Kuna taarifa za kwamba BODI ya MIKOPO inaanza kuingia mtaani. Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu inataka kushirikiana na serikali za mitaa kuwatafuta watu wasio na ajira rasmi na walikuwa wanufaida wa...
8 Reactions
59 Replies
5K Views
Back
Top Bottom