Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Wanabodi,nimepewa story na mtu wa karibu na marehemu kuwa huenda kilichosababisha jamaa kujiua ni pamoja na misukosuko ya ndoa yake. Inasemekana marehemu alikuwa akiishi vizuri tu na mke wake na...
32 Reactions
197 Replies
36K Views
Habari, Hawa jamaa, wanatoa kozi zisizo sajiliwa, kuna magumashi. Kuna jamaa, alisoma post graduate ya M&E, baadaye akaambiwa haitambuliki Ukizingatia umesha poteza muda na pesa, tuweni makini...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
  • Closed
Kwa hali inavyoendelea quarantine nchi nzima inakuja.. Inawezekana viongozi wamekubali ushauri na kijifunza toka kwa walioathirika kabla Ni wazi muingiliano wa watu ndio kichokoo kikubwa cha...
31 Reactions
611 Replies
56K Views
Wakuu habari na poleni na majukumu. Kwa heshima na taadhima naomba mwenye kujua utaratibu utakaoniwezesha kupata nyumba ya kupanga ya nhc ndani ya Dar es salaam kwa gharama ya kitanzania, nyumba...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Salaam wanabodi..... Niende moja kwa moja kwenye Maada ya swali hili,Kiwanda kipya cha sigara Kingolwira Morogoro kilitoa nafasi za kazi tangu mwaka jana mwezi wa nane. Pamoja na ukimya wote ule...
3 Reactions
54 Replies
16K Views
Mahakama ya Hakimu Wilaya na na hakimu Mkazi kinondoni imekuwa ikitajwa kwa rushwa za hali ya juu huku mbinu zitumiwazo zikiwazidi kete maafisa wa PCCB na TISS. Mahakama hiyo ambayo imeongezewa...
5 Reactions
6 Replies
2K Views
Ikifika wiki ijayo kuanzia Jumatatu nitafafanua kwa kina zaidi. Kuna taarifa kwamba mmiliki wa gazeti 'Mbongo' amekuwa kwenye majadiliano na makubaliano ya mwisho wiki hii (sijui ya lazima au...
3 Reactions
21 Replies
3K Views
Kuna ufisadi mkubwa unaendelea wakala wa mwendokasi ambao unahusisha wanaojiita wataalam wa tehama, iko hivi kuna mfumo unaandaliwa wa ukusanyaji nauli kwa njia ya kielektroniki ambao kwa sasa...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Takribani mwezi mmoja na ushee umepita tangu Yanga Omary awekwe ndichi. Kama ilivyo ada ya wazee wa Tanga na vitongoji vyake kijana wa mji anapopatwa na matatizo bila kujali ameyaita mwenyewe au...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Ni wakati sasa wa serikali kutunga sheria rafiki kwa bodaboda wanaofanya kazi maeneo ya mjini kwa kuwatambua na kuwapa utambulisho maalumu ili kuondoa hadha ya kusumbuliwa na askari polisi na...
2 Reactions
2 Replies
687 Views
Kwa habari nilizozipata, leo hii 13/11/2020 zinaeleza kwamba Ofisi Kuu za Kanisa la KKKT (DKMS-KKKT) zilizopo Tanga katika wilaya ya Lushoto zinatarajiwa kufunguliwa tena Ufunguzi huo utafanywa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Nimearifiwa na mmoja wa wahanga kuwa katika kijiji cha Kitaya kilichopo katika Halmashauri ya Nanyamba huko Mtwara kuna hali tete inaendelea huko. Kijiji kimevamiwa na watu wenye risasi za moto...
55 Reactions
212 Replies
78K Views
Habari wakuu, Nimeona habari(conspiracy) inayosema raisi wa Nigeria Buhari amefariki na aliyepo sasa si yeye ni mtu anaefanana nae (clone ) ambae ni raia wa Sudan aitwae jubril . Je kisheria...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
  • Closed
Ndugu zangu watanzania naandika thread hii Kwa uchungu Sana na Kwa nasikitika makubwa Ila Sito penda andika Kwa undani kutokana na unyeti wa hili Jambo na Kwa bahati mbaya uwenda Kwa uchungu...
3 Reactions
0 Replies
717 Views
Katika hali isiyo ya kawaida inasemekana Jeshi la Polisi limelala usingizi wa PONO [samaki huyu hulala usingizi wiki mbili mfulilizo kwenye matumbawe]. Hali hiyo imekuja baada ya uwepo wa...
2 Reactions
107 Replies
18K Views
Habari wakuu, Kuna taarifa za moto kuwaka katika hifadhi ya mlima Kilimanjaro muda huu, gari la kuzima moto limefika eneo la tukio lakini hawajafanikiwa kuuzima. Inasemekana moto unawaka karibu...
1 Reactions
28 Replies
4K Views
Kwa kifupi sana, anasema tumepigwa kwenye ununuzi wa Madege yetu, anasema tumepigwa parefu! Anawaomba Donors wajitoe kutusaidia! Kwa wale wavivu wa kusoma ndio summary hii hapa! Swali, je ni...
3 Reactions
24 Replies
3K Views
Hapa ndipo unagundua vyombo vya habari kutaja tanzania kama watakosa yote.habari ya bbc swahili Iliyotoka hipo tofauti na hii ya cnn. Kwa nini wanapenda kutuonea hawa
1 Reactions
3 Replies
892 Views
Tangu juma lililopita nimekuwa nikifuatilia passport yangu idara ya uhamiaji Dar es Salaam, iliyopo ndini ya ofisi za Mambo ya Ndani ya Nchi. Napewa jibu rahisi sana na afisa aliyekaa nje ya...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
  • Closed
Habari za muda wakuu? Napata habari mbaya na malalamiko kutoka kwa mwanafunzi ambaye anasoma kidato cha tano shule ya sekondari Kazima mkoani Tabora, kuwa kuna unyanyasaji wa hali ya juu. Moja...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Back
Top Bottom