Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Kituo kikubwa cha kubadilisha magari na abiria cha MAKUMBUSHO kilichopo Kijitonyama kwa sasa ni kama mtoto yatima. Kituo hiki kilijengwa baada ya kile cha Mwenge kuvunjwa. Kituo hiki kina njia...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau hili nikweli au madagasca wanatuzuga kuwa wamepata dawa ya corona
0 Reactions
65 Replies
8K Views
Mshahara wa mwezi huu vp jamani watoto wanahitajika kurudi toka mashuleni kwa likizo ya dharura.
5 Reactions
159 Replies
21K Views
Huku dunia nzima tukiwa na hali ya taadhari na mipango mbali mbali kupambana na janga hili la virus vya corona kuna nchi moja ya mbali huko kiongozi wa taifa hilo anaonekana na wengi kua hajali...
8 Reactions
43 Replies
5K Views
Kuna tetesi ya kwamba 5g network imeleta madhara makubwa, na Hilo suala la 5g zaidi ya mwaka wataalamu waliomba lichunguzwe kwanza kwa madhara kwa mwanadamu na viumbe. Vipi madhara yake 5g...
4 Reactions
46 Replies
7K Views
Katika hali isiyokuwa ya kawaida na ambayo Mheshimiwa Magufuli hajajulishwa ni kampuni isiyo rasmi inayomilikiwa na mtu mmoja, kutoka Dodoma mwenye mke kutoka Kigoma akishirikiana na watu wa...
0 Reactions
2 Replies
913 Views
UKITAKA KUMFICHA MWAFRIKA MWEKEE UJUMBE KWENYE KITABU Hii ni makala nimeiona kwenye status ya mtu whatsapp nikaamua kujioa uafrika na kuisoma. Kama utaisoma njoo ulete mrejesho tu au uulize...
2 Reactions
53 Replies
7K Views
Wakuu, Serikali imepiga marufuku daladala kusimamisha na kujaza abiria, taratibu ambao haukuzoeleka sana haswa kwa jiji la Dar. Mimi nikiwa mmoja wa wamiliki wa daladala hizi naishauri Serikali...
24 Reactions
135 Replies
15K Views
Wakuu naona wenzetu kabla mambo hayajawa magumu sana wameamua kusimamisha baadhi ya huduma kwa kuhofia maambukizi mapya ya virus vya corvod19. Tanzania ina la kujifunza hapa, Kenya nao upande wa...
0 Reactions
0 Replies
933 Views
Ukiwa unakimbizwa na mbwa wewe rusha mifupa nyuma tu,wakiwa bize kugombea ww tayari unachanja mbuga. Hii ni moja ya mbinu mpya kabisa ambazo ni ngumu kujulikana na kila mtu. Lengo la US ni...
1 Reactions
36 Replies
4K Views
Kwako waziri wa Afya Ummy Mwalimu, pole na majukumu ya kazi. Kuna tetesi nimezipata kutoka kwa nesi mmoja ambaye hakupenda kutaja kituo chake cha kazi akielezea namna hali ambavyo imekuwa mbaya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimeona niwaulize wale Malaya kwa mujibu wa nyerere wale wanaohama vyama kuunga mkono juhudi je? Mnamkumbuka Ben rabiu saanane? Asubuhi njema!!!
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Unaweza kujiuliza how comes Professor mzima anamuita mtoto wake jina " Mwisho" ilhali jina lenyewe laonekana kuwa limebeba maana ambayo si nzuri sana ( Laweza kuwa na maana nzuri pia kwamba Mwisho...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Wanamaendeleo habari za leo Leo naomba kuchangia mada na nyinyi kuhusu hawa ndugu zetu wanaojipatia kula yao ya kila siku na kuendesha familia kwa kutupeleka maeneo mbalimbali ya jiji. Mwanzoni...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Katika kufuatilia chimbuko la kisa cha Afisa biashara aliyeonekana akichana kitabu cha Qur'an! Moja mwananchi ambaye hakutaka jina lake litajwe; Amesema Aliwahi kufungiwa biashara yake changa na...
4 Reactions
102 Replies
16K Views
Nimepatata fununu hizi muda si mrefu kupitia makada wawili tofauti lakini bado nazifanyia kazi kujua usahihi na uharaka wake. Mmoja wa watoa taarifa amesema huenda zoezi hili likaendeshwa kimya...
4 Reactions
33 Replies
4K Views
01.👉 Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school. 02.👉 Wale waliokuwa wa pili, wanachukua MBA na LLB na kuja kuwa Mameneja wa wanafunzi walioshika nafasi...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Uchina na dunia kwa ujumla inahaha kupata tiba na chanjo ya kirusi cha Corona, kirusi hicho kimetokana na ulaji wa supu ya popo. Kwa wazoefu na walaji kupeana uzoefu jinsi ya kumuandaa huyu popo...
1 Reactions
103 Replies
15K Views
Wadau habari za asubuhi wadau! Dar pia kuna viashiria vya kuvamiwa na nzige, naomba serikali ifanye utafiti wake vizuri, kuepusha hili balaa la nzige lililoanzia nchini kenya na sasa kuonekana...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Lazima kila mwananchi asajiliwe! Kuna watu wana namba ya NIDA lakini usajili umegoma. Alama ya vidole ni utaratibu wa kuscan Fingerprints kwenye mifumo ya utambuzi! Kuna baadhi ya watu ambao...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom