Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Habari wana JF tutakiane usiku mwema na tusisahau kumwombå Mungu mwenyezi atupatie ulinzi usiku huu
0 Reactions
0 Replies
570 Views
Toka jana hii shillingi yetu inaporomoka ipo sasa shs 2300 kwa dola. Je tutafika, tutachomoka? Na jana nchini Kenya nimesikia shirika moja kubwa la fedha likitangaza chumi nyingi za East Afrika...
0 Reactions
0 Replies
788 Views
Wakati Mh Rais Magufuli anataka kusogeza huduma kwa wananchi kwa kuwahudumia kwa ukaribu zaidi wilayani Tarura wakala wa barabara vijijini wanapanga kulipa watumishi wake wahamie ofisi za mkoa...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari za Leo wakuu. Kuna habari nimezisikia kuhusu gharama za kujifungua kwa wamama wajawazito. Hapo awali mama mjazito anapofikia wakati wa kujifungua anatakiwa awe na vifaa tu vya kujifungulia...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wahitimu wa kidato cha sita mwaweza tuma maombi kwa fani za Mechanica Engineering(Rukwa campus) Computer Engineering, architecture na Business administration(accounts and Finance, Human...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Gari la mafuta linawaka moto muda huu maeneo ya karibu na Morogoro, Gari nyingi sana zimekwama kutokana na madereva kuogopa yaliyotokea miezi miwili nyuma.
1 Reactions
48 Replies
7K Views
Ninahisi matumizi holela ya kemikali kama zebaki na nyinginezo zile za kusafishia madini migodini au zinazo tumiwa na wachimbaji wadogo wadogo wa madini, inawezekana hizo ndiyo huchafua mazingira...
14 Reactions
28 Replies
5K Views
Mtangazi na kiongozi wa Radio Free Africa bwana Cyprian Musiba ameamua kuacha kazi kutokana na issue ya maadili mara baada ya mahojiano ya Rc Makonda. Kupitia ukurasa wake wa insta amebainisha hayo.
23 Reactions
64 Replies
19K Views
Wakuu! Heshima kwenu Kyela tetesi nilizo nazo ni barua rasmi kutangaza oparation mpunguti. Barua itakayomfikia mkurugenzi huyo inataka halmashauri kugharamia Askari kwa chakula na malazi mpaka...
0 Reactions
59 Replies
6K Views
Habari zenu jamani,Muda huu kuna kiwanda cha Pamba kinawaka Moto cha Sunflag kilichopo Arusha kinateketea na moto
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Msolovea Gasto Kikuji kutoka Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) akiweka usawa na kupima eneo kabla ya kuanza kwa ujenzi wa Daraja la Chuma (Mabey Bridge) lililopo Mto Kihansi katika...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kesho nasafir kwenda Sumbawanga kutokea hapa dodoma Naomba kufahamu nipande basi gan la semi luxury ili niaipoteze nauli yangu kwenye basi zenye karaha
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Kampuni ya kuzalisha umeme ya Symbion nayo imefungua kesi ya madai. Inaidai serikali dola milioni 561. Ile ndege inayotaka kuanza safari za London itakuwa hatarini kukamatiwa huko. Serikali...
7 Reactions
8 Replies
1K Views
Duru za ndani ya chama kikuu Cha upinzani zinadokeza kuwa hadi sasa vigogo kumi na Saba wa chama Tawala wameonyesha nia ya kuachana na chama hicho na kujiunga upinzani. Inaelezwa kuwa kwa vipindi...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Tulio wengi tunaumwa gojwa hatari DEMENTIA.Dementia is a broad category of brain diseases that cause a long-term and often gradual decrease in the ability to think and remember that is severe...
1 Reactions
3 Replies
638 Views
Habari zenu,Nimepata taarifa toka kwa jamaa,asema Kuna jezi mpya za wanna njano zinashushwa godown muda huu chang'ombe opposite na ICD ya Azam karibu na Sokota,ushushaji bado...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Wakuu Kuna tetesi nimezipata kwamba startimes wataanza kuonyesha EPL siku 11 zijazo Baada ya kupata hiyo tetesi nimeamua kutembelea page yao ndani ya facebook na nikakuta wameandika kwamba bado...
1 Reactions
111 Replies
15K Views
Wakati JPM anaingia madarakani alikuta miradi kibao iliyoanzishwa na Kikwete ikasimama kutokana na ukosefu wa hela. Baadhi ya miradi hiyo ni: Nyerere Terminal III, Hospitali ya Muloganzila, mradi...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuna tetesi nimezipata toka kwa Mdau mmoja akiniambia kwamba kuna mpango wa kuchukua km 10 toka ferry upande wa Kigamboni kwa ajili ya kupanua bandari ya Dar es Salaam ili kuwezesha ujenzi wa zone...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Vijana wenu wa usajili (freelencer) wanalalamika na ahadi zenu za uongo za kuwapa vifaa vya usajili 'scaner' Sasa ni mwezi wa tatu huku Tigo vijana wenu wakitumia vifaa vya Vodacom kukamilisha...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom