Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

United Nations Plz there is no way you can witness the allarming bad condition of Tanzania gvt employees because they are threatened to be killed if not taken to unknown!! plz UN intervin this...
0 Reactions
1 Replies
701 Views
Maana naona taharuki kwenye grup moja wapo WhatsApp, picha na video zikionesha huu mwanga mfano wa moto, huku hao wadada katika video wakisema kimeanguka, moto unawaka lakini hapateketei huku...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Baada ya kelele za akina Sugu na wabunge wenzake wa upinzani kuhusu nyongeza ya mishahara ya wafanyakazi wa uma hatimae JIWE amekubali kubadili "gea" angani...Ikumbukwe kuwa hakukuwa na fungu au...
2 Reactions
21 Replies
41K Views
Baada ya wawekezaji wa kigeni kuzingua juu ya ukwepaji wa kodi na utoroshaji wa rasilimali kama makinikia serikali ya Rwanda inatarajia kuja kuwekeza Tanzania katika sekta ya madini Ni jambo jema...
3 Reactions
178 Replies
19K Views
Salary out naona wametoa mapema tutumie kwa makini
0 Reactions
3 Replies
757 Views
Natanguliza salamu zangu na shukran kwa ndugu jamaa na marafi ndani ya hili jahazi, ni muda mrefu nimejarb sana kuweza kujiunga pamoja nanyi ila sio mgeni sana nilikuw nikpta 2 na kuzisoma post...
1 Reactions
2 Replies
800 Views
Wakuuuu poleni na majukum,Mimi ni mwalimu wa shule ya msingi halimashauri fulani hapa nnchini. Wakuuu Mimi nina shahada ya elimu ya watu wazima na maendeleo ya jamiii(Bachelor Degree in Adult...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Amiri jeshi mkuu mh John Joseph pombe magufuli Mkuu wa majeshi jenerali mabeho Wakuu waandamizi Makao mkuu ngome upanga Wakuu wa kamandi zote Wapiganaji wetu wote wa ndani na nje salaam...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hawa jamaa wanaishi karne ya ngapi sijui. Sijui wamerogwa? Wako rigid. Hawaendani na muda. Ofisi ya Utawala ni ya hovyo, yafanya kazi kwa mazoea. Ukipata ajira leo, utasota sana hadi uingie...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Mahakama imeingia kwenye kashfa nzito, Inasemekana Jaji Mmoja mmoja mabye pia mke wake ni jaji, walikuwa na kiwanja walichonunua kwa laki 3 huko kinyerezi mwaka 2007 na sasa wakati mahakama ya...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Naandika ujumbe huu nikiwa mwenye masikitiko kutokana na uamuzi wa chuo kikuu dodoma kuhitaji kitambulisho cha taifa,leseni ya udereva au kadi ya mpiga kura ili uchukue cheti. Binafsi sina hivyo...
1 Reactions
17 Replies
4K Views
Nimekuwa nasema kila siku hapa kwamba mali nyingi zinazopita ufukweni pale hazilipi kifuta jasho kama inavyopaswa, Magari hayo ya Bwana Edigaran Masako wa ofisi ya makusanyo kifuta Jasho (OMKJ)...
46 Reactions
107 Replies
21K Views
Kuna taarifa zisizo rasmi kwamba kutokana na ujenzi wa miradi mikubwa mikubwa hapa Tanzania na miradi hiyo ikiwa chini ya wachina basi inasadikika jamaa hawa kutoka Asia wameamua kufanya yao ili...
7 Reactions
81 Replies
9K Views
Tarehe 16/03/2019 Waziri mwenye dhamana ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo la Makazi Mhe William Lukuvi alizindua zoezi maalumu ya kutambua Kila kipande Cha Ardhi katika Mkoa wa Dar es salaam na kutoa...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
  • Closed
Hii Habari nimekutana nayo Twitter, na mtoa Mada amesema Kama anaongopa basi ATC wakanushe! Chanzo ni kutolipwa pesa yao jamaa wakaamua ku-cancell. Tukiacha mihemko, hili linawezekana kurusha...
4 Reactions
110 Replies
9K Views
Juzi asubuhi wakati nipo maeneo ya Kibamba Chama Jijini Dar,huku watu/abiria wakisubiri daladala kuelekea maeneo mbalimbali ya Jiji kwa mihangaiko yao,baadhi tulikuwa kijiweni kwa shughuli zetu za...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Ndugu watanzania tuishinikize ccm na serikali yake kuanzisha mchakato wa katiba mpya kwa hiari na kwa muda huu ambapo bado kuna kizazi cha waoga! Ccm na serikali yake wasisubiri uoga uwatoke...
0 Reactions
3 Replies
949 Views
Wakuu naomba kujua hizi channels zinapatikana king'amuzi gani hapa Tz 1. i24news 2. Press TV 3. RT tv
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kama Kichwa kinavyoelewa Huyu Jamaa Animba nyimbo za injili zamani alikuwa ni rasta sasa nimesikia kwamba amefariki naombeni habari wenye uhakika Anaitwa Prince Amosi
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Back
Top Bottom