Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

BREAKING NEWS NYUMBA YA MALISSA GJ IMEVAMIWA MUDA HUU NA WATU WASIOJULIKANA. Wako hapo mpk muda huu wakilazimisha milango ifunguliwe hili waingie ndani Msaada tafadhali _______ Update Habari...
5 Reactions
187 Replies
8K Views
Kuna kanisa moja nilihudhuria ibada yao wanakuambia kuna sadaka ya kujimaliza yaani utoe hela zote ulizonazo ili uweze kugusa moyo wa Mungu huku wewe ukirudi home kwa mguu/ kupata muujiza wa...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Katika kile ambacho kinazungumziwa na "Wanasheria" sasa wazungu kuletwa Kulinda mali na wafanyakazi(wazungu) wa Accacia Kwa udadisi mfupi niliyofanya baada ya Accacia kutoa matamshi haya, "We...
3 Reactions
84 Replies
8K Views
Watanzania wenzangu, Nimefurahishwa na wazo lililotolewa Bukoba kuwa, itaanzishwa shule maalum ili kumuenzi Ruge Mutahaba. Tangu alipopumzishwa ndugu yetu Ruge Mutahaba, watu wengi wametoa...
4 Reactions
6 Replies
2K Views
We mwanadamu jaribu kujiuliza Ungekuwa Mungu ni nani ungemsiikiza? Polisi wa doria au kibaka ndani ya giza? Je ni nani angepokea miujiza? Mlevi wa gongo au mama anayeuza? Yote tisa ungemponya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuna nyongo Kali inajengeka kati ya Polisi na Mwananchi Japo hutusaidia sana katika usalama wa nchi kwa baadhi ya sehem ila...... Mwisho wa uzi
6 Reactions
30 Replies
2K Views
Habarini wadau Kama kichwa cha habari kinavyojieleza kwa utafiti nilioufanya ndani ya takribani miaka kumi kwenye maeneo tofauti tofauti niliyopita, kutembelea na baadhi vya sehemu ya watu wa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Naomba ufafanuzi kwa wajuvi tafadhali; Nasikia tetesi kwamba ukiwa na pesa ndefu kwenye Akaunti au Akaunti ikitumiwa (ikiingiziwa)au kupokea pesa ndefu mathalani kuanzia 15milion nakuendelea...
7 Reactions
119 Replies
16K Views
Nimetafakari Sana namna ccm inavyohujumu upinzani inavyowafanya wapinzani kuwatesa kuwabambikia kesi kuwauwa nk Natoa rai siku mkishika madaraka upinzani muwapimie ccm kipimo kilekile...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Wadau habari, Moja kwa moja kwenye maada, serikali mara kwa mara imekua ikiongelea kuhusu ujenzi wa bomba la mafuta kutoka nchini Uganda, lakin mpaka sasa hivi haijulikani kama washaanza kazi ya...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Wadau nimekaa na kupitia trends nyingi zinazoitia sintofaham taswira ya rais wetu nimegundua kwamba akikaa kimya anapendwa zaidi akiongea anatibua naomba wanaompangia ratiba ya matukio ya public...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba kujua 1.Safe za hela zinafananaje picha plz 2.Ramani za mabenki zinafanana Kama zinavyofanana zahanati za afya na nyumba za walimu 3.mbona bank manager hajifichi anaonekana wazi 4.Sare...
2 Reactions
46 Replies
5K Views
Nina ushahidi wa nje na ndani kwamba maofisa wa idara hizi wakimaliza utumishi wao WA umma japo huwa hawastahafu wakimaliza utumishi wao kwenye idara wanaajiriwa kwa mikataba na mashirika ya...
1 Reactions
49 Replies
7K Views
Kuna prof mmoja wa Kenya wengi mnamjua kwa mbwembwe za kingereza chake Huyu jamaa mwanzoni alijizolea sifa nyingi Sana Tanzania kwa namna anavyoongea kingereza chake na ile intonation yake...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Rejeeni mada tajwa hapo juu.Wiki iliyokwisha nilimsikia afisa usalama mmoja wa barabarani akidai kuwa sasa wanakuja na operation tajwa hapo juu. Swali langu kwa wadau je, operation hiyo...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Comrades kwann uzi unaomuhusu bernad membe na zito kabwe ambao umo humu umefungwa una nini cha ajabu mpk wameupiga pini Ukiuklik yanakuja Yale maneno ya kuudhi zaidi jf ooooooooops...
0 Reactions
5 Replies
836 Views
Bila kupoteza muda mh rais shirika la bima la taifa linatapeli wananchi kwa makusudi Soma mfano huu! Wanakuja wanakuambia weka bima ya elimu na hata wanadiriki kusema Kama unataka kufunga ndoa...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
ndugu wana jf Mimi binafsi siamini hata kidogo tathmini ya ccm na serikali yake eti kwa miaka mitatu ya jpm viwanda 3000+ vimejengwa yani uhesabu moja mpk elfu tatu ni maviwanda tu Hapana hili...
1 Reactions
2 Replies
874 Views
ndugu wana jf wanasiasa wetu wanatuambia kwamba kwa kipindi cha miaka mitatu toka awamu ya tano imeingia madarakani viwanda 3000+ vimejengwa Naomba tutumie uzi huu kuvitaja popote ulipo hata...
0 Reactions
0 Replies
988 Views
Naomba kufahamishwa vituo vya luninga radio na magazeti yanayomilikiwa na ccm na serikali je yana/yametangaza ushindi wa Felix tshisekedi kwamaana nyingine je wametangaza juu ya ushindi wa...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Back
Top Bottom