A. Mambo mawili ya kupima mara kwa mara:
(1) Msukumo wa damu(presha)
(2) Sukari kwenye damu
B. Mambo sita ya kupunguza kabisa kwenye chakula chako:
(1) Chumvi
(2) Sukari
(3) Vyakula vya makopo...
Mwaka jana miezi kama hii walitutembelea maofisa wa bank ya CRDB tawi la Livingston na kutushauri kutuongezea mtaji kwa kutupa mikopo, sisi wafanyabiashara wa hali ya chini tulichangamkia fursa...
HAYA SIMU ZIITE WALIONUNA MOYO UPATE MOTO WAWATAFUTE WENYEWE NA WAFANYE VILE WEWE UNATAKA CHEMSHA MAJI YACHEMKEE CHUKUA KARATASI ANDIKA JINA LA MTU UNAETAKA AKUTAFUTE MARA SABA KWENYE KARATASI...
โMikutano hii tunayoiona ni namna Rais alivyoamua kutekeleza Diplomasia na Rais alisema anataka kuifungua nchi na moja ya namna ya kuifungua nchi ni pamoja na mikutano hii. Na mikutano mikubwa...
Brela
BRELA Niwaite Hapa Tuongee:
Kuna katabia kenu ambapo mteja akipiga simu ambayo inahusisha Tatizo la kimfumo Agents wenu wanamwambia kwamba wanamuunga na watu wa Tekniko au sijui ndo IT...
Jeshi la polisi mkoa wa Mwanza limefanikiwa kudhibiti maandamano ya wanachama wa chama cha Demokrasia na Maendeleo - CHADEMA yaliyokuwa yamepangwa kufanyika siku ya leo katika maeneo mbalimbali ya...
Kamati ya ulinzi na usalama mkoani Mwanza imekanusha tuhuma za kuhusika katika kutoweka kwa Katibu wa Baraza la Vijana wa Chadema (Bavicha) Mkoa wa Mwanza, Amani Manengelo ambaye inadaiwa...
Serikali imeipatia hospital ya Dkt Samia Suluhu Hassan iliyopo wilayani Muheza kiasi cha sh. 2,570,164,000 fedha kuendeleza ujenzi wa hospitali hiyo pamoja na ununuzi wa vifaa tiba.
Akikabidhi...
Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Mboni Mhita, amezifariji familia mbili zilizopoteza watoto wanne, wakati wakiogelea kwenye bwawa lililokuwa likitumika katika ujenzi.
Tukio hilo limetokea Februari 15...
BUHONGWA KAMA JANGWANI
Wakazi wa Buhongwa jijini Mwanza hatuna maji ya uhakika. Kutoka vyanzo visivyo rasmi inasadikika wafanyakazi wa idara ya maji wana miradi yao ya kuuza maji ambapo hukata...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali imedhamiria kumaliza matatizo ya kiafya wanayokabiliana nayo Wananchi wanaoishi katika Visiwa...
Nina fanya kazi kazi katika Mgodi wa Magesa Gold mine uliopo Nyamatagata wilaya ya Geita mkoani Geita.
Changamoto iliyopo ni kwamba; tuna zaidi ya miezi mitatu (3) hatujapata mishahara, mgodi...
Tumebakia kuwa wapiga kelele. Tukiomba rehema za Mungu huku tunatamani maisha ya wale tunaona hawamfai Mungu.
Maana, ilibidi imani zetu thabiti ndio zitukumboe na haya majanga yetu coz haina...
Uongozi wa Kampuni ya China Tanzania Security umetoa ufafanuzi kuhusu madai ya Mwanachana wa JamiiForums.com aliyeandika kuwa wafanyakazi wa ofisi hiyo ambao ni Walinzi wanaosimamia Vituo kadhaa...
๐๐๐๐ฎ๐ป๐ฎ ๐ป๐ฎ ๐บ๐๐ฎ๐ป๐๐ฎ๐ป๐ถ๐ฎ ๐ฎ๐น๐ถ๐๐ฒ๐ฏ๐ฎ๐ฑ๐ถ๐น๐ถ ๐ฏ๐ฒ๐๐ฟ๐ถ ๐๐ฎ ๐น๐ฎ๐ฝ๐๐ผ๐ฝ ๐ธ๐๐๐ฎ ๐๐บ๐ฒ๐บ๐ฒ
Tanzania tunaweza bhana โ
Kuna na mvumbuzi kutoka Tanzania anaitwa Gibson kawaga aliyebadili betri mbovu za laptop zilizotupwa kuwa...