Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Chanjo za COVID-19 ziko salama kwa watu wengi wenye umri wa miaka 18 na zaidi, na hata wale wenye changamoto za kiafya kama vile shinikizo la damu, ugonjwa wa kisukari, pumu, magonjwa ya mapafu...
0 Reactions
1 Replies
927 Views
Nahisi viongozi wetu wana usahaulifu au uelewa usiolingana na wananchi wa nchi hii. Viongozi wa dini wamepinga matumizi ya kondomu miaka yote, lakini hatujawahi sikia serikali ikiagiza wakamatwe...
10 Reactions
58 Replies
4K Views
KIFO ni fumbo. Hutamsoma tena Mwalimu Alex Kashasha kwenye kolamu yake aliyokuwa akiandika kwenye ukurasa wa 12 wa Mwanaspoti kila Jumamosi. Kifo kimemchukua, atazikwa Dar es Salaam Jumatatu...
8 Reactions
61 Replies
7K Views
Dar es Salaam ni kama imebeba picha ya Tanzania nzima wakati fulani ni kama pilot (case study) katika mikoa mingine. Mkuu wa mkoa wa DSM alitangaza siku ya leo kuwa kutakua na chanjo ya UVIKO-19...
5 Reactions
104 Replies
9K Views
Kama tujuavyo janga la Corona linavyo shika kasi. Hata hvyo serikali yetu kwa kushindwa kufunga mipaka inaongeza muingiliano hivyo ni kweli watanzania tumeuvaa. Kwamimi binafsi na mwezi wa pili na...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Leo katika kanisa la ufufuo na uzima Askofu Gwajima asema watu wasiingilie imani ya kanisa lake, amesema kuwa kiimani wakristo na hata waislamu wanaamini pombe ni dhambi na mahubiri hutolewa...
1 Reactions
31 Replies
3K Views
Bwana Yesu aliye mponya na apewe sifa. Askofu Gwajima leo ataongoza ibada katika kanisa la ufufuo na uzima kabla hajaelekea bungeni Dodoma ambako kesho atahojiwa na kamati ya maadili ya bunge...
15 Reactions
151 Replies
13K Views
“Kuna Mwanangu (Goodluck Gozbert) aliimba ‘hauwezi kushindana na Mwanadamu mwenye kinywa’, mwenye kinywa atasema tu anayotaka kusema lakini ukweli utabaki palepale, chanjo hizi za Covid-19...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Huu ni ushauri tu, unaweza chukua au kupuuza Kama uko hiv nenda kapate chanjo ya corona haraka 1. Umekaribia kustaafu 2. Una madeni mengi sana unayoshindwa kuyalipa 3. Mwenye uzito...
4 Reactions
22 Replies
2K Views
Wakuu habari, samahan kuuliza si ujinga na kama ni ujinga basi ukinipa jibu utakuwa umenipunguzia ujinga. Tunashauriwa kunawa mikono kwa maji tiririka. Iman yangu naamini tukinawa virus...
3 Reactions
37 Replies
3K Views
https://covid.2gis.ae/advice?utm_source=online&utm_medium=mapcontrol&utm_campaign=firsttry
0 Reactions
2 Replies
876 Views
Habari zenu wana JF Natumai mambo yanaenda vizuri ukizingatia leo ni siku ya mapumziko kwa wengi wetu. Niende moja kwa moja kwenye mada, tar 16 mwez huu siku ya j3 nilifanya booking online...
15 Reactions
98 Replies
9K Views
Yapo mengi yamesemwa kuhusu usalama Chanjo za Corona, tunaendela kushuhudia hata watu wasio na ujuzi wowote wa tiba na sayansi ya madawa wakiwa mstari wa mbele kuonyesha madhara ya chanjo. Lakini...
1 Reactions
2 Replies
723 Views
Wakati dunia bado inahangaika na janga la corona au UVIKO19, nasi tumeona tutoe mchango wetu kwa wanaotafuta riziki kupitia biashara zao hususan wale wanaofuata bidhaa zao huko China, Uingereza...
1 Reactions
6 Replies
752 Views
Naomba niwasalimie kwa jina Yesu aliye hai. Naomba kushare na nyie naamini itawasaidia Watanzania wenzangu. Mimi ni moja wapo wa watumishi wa afya na nimekuwa nikuwahudumia watu mbali mbali...
8 Reactions
15 Replies
2K Views
Leo kwenye mkutano huko Malawi alipoenda mama yetu raisi wetu amesema lengo ni wananchi wote wachanjwe. Sasa najiuliza ni ndani ya huu mwezi mama alisema chanjo ni hiari anayetaka atachanja na...
8 Reactions
50 Replies
5K Views
Najaribu ku "connect dot in order to get a big picture" kuhusu promotion za kwenda kupokea chanjo ya Covid19!! Nimesikia mwakani kuna mpango wa kutumia sarafu ya Afrika Mashariki kama Euro...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Nikiwa napitia mada mbali mbali hapa JF, kuhusu chanjo ya covid, nimekuwa nikisoma comments mbali mbali za wadau, juu ya hii chanjo ya covid19. Wapo wanao pinga chanjo, na wapo wanaotaka chanjo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Leo Jumatano, serikali ya Marekani inatarajia kutangaza kuanza kutoa chanjo ya pili kwa wale waliopata chanjo ya J&J ama ya tatu kwa waliopata chanjo zingine za kukabiliana na covid 19 kwa watu...
9 Reactions
74 Replies
7K Views
Mkurugenzi wa shirika la afya Duniani kanda ya Afrika amezikosoa vikali nchi tajiri kwa kutoa chanjo ya tatu kwa watu ambao tayari wameshapatiwa chanjo hizo dhidi ya maambukizi ya virusi vya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom