Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Pole sana Fanton Mahal, i feel for you buddy. Pole kwa kuwa muhanga wa matokeo ya kizazi cha feminism, malezi ya ovyo ya watoto wa kike, sera mbovu zinazojali hisia za mwanamke peke yake...
0 Reactions
2 Replies
120 Views
Huyu alikuwa ni mwanajeshi mstaafu tena wa rank za juu. Ni wapi ni mtu aliyekuwa amekamilika kwenye medani za kivita hasa mbinu za kujilinda self defence tactics na ndio maana hata utekwaji wake...
17 Reactions
98 Replies
7K Views
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) imetoa taarifa kuhusu uendeshaji wa mradi wa mabasi yaendayo Haraka (BRT) jijini Dar es Salaam na kubaini tija ndogo katika...
1 Reactions
30 Replies
864 Views
  • Redirect
Anonymous
Yaani sio halmashauri ya Kilosa tu tunateseka kwakweli, na ilitakiwa tupewe pesa ya kujikimu ndio twende kazini huko na sio halmashauri moja ni zote tunateseka na hapa mishahara yote hatujapewa...
0 Reactions
Replies
Views
Habari Wana JF,mambo yanazidi kuwa magumu!Wanancnhi wa wilaya ya Uyui,wamelalamikia madada poa ambao hupitapita kutafuta wateja huku wakiwa wamevaa nguo zisizo na Heshima. Pia wameonyesha wasiwasi...
2 Reactions
38 Replies
816 Views
  • Redirect
Tuwachambue kwa hoja thabiti na uwezo wao. Nani anafaa kukuongoza wewe kama mtanzania kwa miaka mitano ijayo? Mh. Raisi Samia Suluhu Hassan ameshapitishwa kama mgombea rasmi wa nafasi ya Uraisi...
0 Reactions
Replies
Views
Salamu kwa mkeo ,kwangu sio kipaumbele . Nawasalimu wote wanaonijua na wanaonipenda ,endeleeni kufurahia na kufanya yapendezayo moyo wenu . Kwaheri watanzania ,kwaheri marafiki ,kwaheri ma_ex...
4 Reactions
17 Replies
309 Views
  • Redirect
Wanabodi Habari... Hivi Mnamfatilia John Heche Kweli...??? Nimeambiwa anahutubia huko Tarime muda huu.. Tunaomba mwenye updates atuwekee..
1 Reactions
Replies
Views
Anonymous
Ajira mpya kada ya afya halmashauri nyingi hatujapokea fedha za kujikimu toka November 2024. Tunaishi mazingira magumu kutokana na kukosa fedha hizo za kuanzia maisha. Tumetumia gharama kubwa...
3 Reactions
2 Replies
322 Views
Ilifahamika na kuonekana bayana tangu mwanzo, kwamba kiongozi mpya wa chadema hana maono wala mipango madhubuti ya kuendesha chama kwa mipango mikakati maalumu ya kiuchumi na kujitegemea kama...
4 Reactions
42 Replies
1K Views
Mambo yanabadilika Kwa Kasi sana ila Ujamaa ulikuwa na Faida zake Mtu kama Lucas Mwashambwa angekuwa Dereva wa Trekta la Kijiji na kama angesogea hapa Mjini basi City Council wangemuajiri pale...
5 Reactions
6 Replies
146 Views
Mifumo hii ya cash less kwa maana ya kulipa bila kutoa hela ndio mradi wa dunia ya kisasa ila kwa hapa naona kama watu wanaikwepa chukulia tu lipa kwa namba Wengi ukienda anakwambia sina namba...
0 Reactions
27 Replies
443 Views
Eti wakuu, alipokuja makamu wa Rais wa Marekani si mnakumbuka jinsi barabara zilivyofungwa na watanzania kupata bughudha ya usafiri pamoja na adha nyingine. Nilitegemea Jeshi la Polisi wangetoa...
11 Reactions
62 Replies
1K Views
Serikali kupitia ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na serikali za mitaa - TAMISEMI (Afya) imeahidi kuchangia zaidi ya Milioni 600 hadi kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa kituo cha Afya cha Ukumbi...
0 Reactions
0 Replies
106 Views
LADIES: 1: Dada's Urembo na style 2: Toto's group ujauzito hadi malezi 3: Msusi online matunzo na style za nywele 4: Aunty Mwajuma kungwi na ushauri 5: alex udaku 24hrs WANAUME SASA😂😂 1: Buza wa...
12 Reactions
43 Replies
1K Views
Jeshi la Polisi nchini linaendelea kuchukua tahadhari katika kuzuia uhalifu unaovuka mipaka ukiwemo uhalifu wa mitandao na ugaidi ambapo kupitia ushirikiano wa Tanzania na India wamekubaliana...
2 Reactions
0 Replies
109 Views
Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Godfrey Chongolo amewataka vijana wa bodaboda kujiepusha kutumiwa katika uhalifu wa mpakani hususan uvushaji wa bidhaa za magendo. Akizungumza na kikundi cha...
0 Reactions
0 Replies
52 Views
Ni ukweli ulio wazi kwamba wazazi wanao somesha watoto wao Ems za private shule ya msingi na private schools shule za sekondari wanachukia Sana kuona watoto waliosoma Kayumba kuanzia la kwanza...
6 Reactions
51 Replies
1K Views
Wadau hamjamboni nyote? Kama wewe hauna imani na mwanakondoo wa Mungu basi tambua kuwa pepo haikuhusu Tafakuri ya kina kwa wenye hekima za kipekee Muwe na siku njema Ufunuo wa Yohana 21:27 7...
0 Reactions
15 Replies
226 Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…