Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

  • Closed
Katika hali ya kushangaza kabisa baada ya tukio zima la kutia aibu kama siyo pia la kusikitisha ambalo lilifanywa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Christian Makonda ( siyo jina lake halisi )...
13 Reactions
183 Replies
17K Views
  • Closed
Za Jumapili wadau! Imevuja; Toka ndani ya viunga vya Magogoni ni kuwa Rais kamuita Mkuu wa Mkoa wa Dsm kwa mazungumzo/mahojiano. Haijajulikana wazi sababu hasa ya kuitwa kwake, more news to...
24 Reactions
332 Replies
41K Views
Serikali imefanya maamuzi ya kupeleka madaktari zaidi 500 waliomaliza masomo na internship lwakaajiliwe kenya kwa kuwa serikali haina uwezo kuajili kwa sasa na si kwa sababu hatuna maitaji...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari zenu wadau, Kuna habari inasambaa kuwa, kuna maafisa wa mgodi wa GGM walienda kula maisha huko Rubondo siku ya jana Jumamosi, bahati mbaya wakiwa wanaendelea kutumia vinywaji vyao,mmoja...
1 Reactions
27 Replies
7K Views
Igweeeee....... Kuna jamaa mmoja amesema kuwa yeye amepata dili la kuuza nywele za binadamu nchini Kenya. Nywele hizo hutumika kutengenezea viti vya ndege... Kwani husaidia viti kutobonyea...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Nimechokwa na kila kosa kukutana na neno BASHITE. Ukweli dunia na Tanzania hawapendi MTU afanyae mambo mazuri na yenye kuleta tija katika vizazi vijavyo. Kuna mantiki gani kumwona Makonda Leo...
0 Reactions
1 Replies
672 Views
Nimekaa nikachunguza,nimegundua asilimia kubwa ya madereva wa boda boda DSM wanatumia BOXER,ambazo ni pikipiki za hali yajuu na zenye mvuto. Ni adimu kukuta hizo aina nyingine za pikipiki...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wana jamvi!iko hivi takribani wiki mbili zimepita toka wakurugenzi wa halmashauri za tanga kufanya kazi ya kuhamisha watumishi wa kada ya ualimu kutoka mijini kupelekwa vijijini,ishu ya...
3 Reactions
13 Replies
3K Views
Mwaonaje kazi za mawaziri hasa kwa kipindi hiki cha Magufuli. Maana naona kama wahusika ni watatu tu kama si wanne kiutendaji.
0 Reactions
0 Replies
952 Views
Ndo hivyo ni tetesi yaweza kuwa kweli au sio kweli
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Naomba mwenye mawasiliano yoyote ya ubalozi wa Israel ayaweke hapa
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakazi wa kigoma hasa kata za kibirizi ,kikungu,gungu mwanga na mwandiga, wapigwa marufuk ya kutumia maji ya bwawa LA katosho kwa hofu ya kutiwa sumu@chanzo azam TV habar
0 Reactions
5 Replies
2K Views
  • Closed
KWA TAARIFA ZILIZO VUJA KUHUSU SALARY KWA MWEZI JULY 2016 TGTS A1-546,000 TGTS B1-694, 000 TGTSC1-782,500 TGTS D1-939,000 TGTS E1-1,319,000 TGTS F1-1,653,000 TGTSG1-1,970,000...
10 Reactions
255 Replies
112K Views
Wakati makonda mkuu wetu wa mkoa alipotangaza vita vya Ngada au sembe au madawa ya kulevya nadhan wengi hamkumuelewa Ila baada ya hotuba ya JPM Leo wakati akiwaapisha viongozi mbali mbali ikulu...
0 Reactions
0 Replies
752 Views
Kuna taarifa za kuaminika kutoka vyanzo mbalimbali vya kuaminika kuwa. Walimu ambao ndio wasimamizi wakuu wa mitihani ya taifa wamekuwa wakikopwa posho zao za usimamizi kwa miaka miwili sasa yaani...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna taarifa kutoka liwale mkoani lindi wamekumbwa na balaa la njaa, mpaka wanashindia mizizi poli, chanzo azam tv lakini mpaka sasa kitengo cha maafa kutoka of is I ya waziri mkuu...
2 Reactions
75 Replies
7K Views
WARAKA MAALUM WA KUJIVUA UUMINI NA USHIRIKI NDANI YA KANISA KATOLIKI LA ROMA. UTANGULIZI. Tumsifu Yesu Kristu na Bwana Yesu Atukuzwe sana. Naanza kujivua Ukatoliki kwa Kutumia KATIBA ya NCHI...
8 Reactions
209 Replies
29K Views
naomba kuuliza kuhusu story ya mvua wadau nasikia wajenzi wa barabara wana utaalamu waku fukuza mvua kwa kuipiga mabomu hii imekaaje kitaalamu kama mitambo wanayoitumia ni vilipuzi je ...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ndg wana jf urais ni taasisi sio magufuli jpm anachokisema ujue ni tamko halali lililofanyiwa uchambuzi yeye kama binadamu anakosea ila kama taasisi yaweza kosea pia ila kunakuwa na credibility...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Taarifa za uhakika zilizotoka kwa vyanzo ndani ya NSSf zinasema shirika hilo tangu mwezi Desemba mwaka 2015 limewatimua wafanyakazi kadhaa kwa makosa mbalimbali yakiwemo ya kutungwa. Hadi sasa...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Back
Top Bottom