Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Kumekucha. Ni neno pekee utakaloweza kulitumia kwa sasa. Yule mfalme wa biashara zote, Said salim Bakhresa anaingia barabarani rasmi muda sio mrefu. Anaanza na Dar hadi Arusha, Dar hadi Dodoma na...
15 Reactions
57 Replies
3K Views
Mlnakumbuka ya Brazili 2023? Walivyofanya sherehe ya kumtukuza Shetani? Kesho kutwa yake Mungu afutilia mbali kamji kote . Vipi kuhusu walomtukana Mungu...
4 Reactions
19 Replies
818 Views
Zilipita wiki 2 Hadi 3 ndipo yakatangazwa mafunzo ya walimu kwa ajili ya kuuanza mtaala mpya! Walimu wengi hawakuhudhuria sababu walikuwa likizo (waliyoipata kisheria kabisa kwenye ess)...
0 Reactions
0 Replies
278 Views
Nimehudhuria harusi ya jamaa yangu hadi muda huu saa 5 hatujala, Kwenye kuomba mchango wanapiga simu hadi kero, tukihidhuria harusi tule japo kuku, mnatupa viporo usiku saa 7 Wapo wanatuomba...
50 Reactions
103 Replies
3K Views
MSOMI NI NANI AU NI MTU WA NAMNA GANI Na: Comred Mbwana Allyamtu. Hivi karibuni nilikuwa na mjadala mzito na na makomled wenzangu kuhusiana na dhana nzima ya mtu kujiita kuwa ni msomi.Chan zo...
3 Reactions
1 Replies
4K Views
Siku za hivi karibuni tumeona Biashara ya kujiuza ikiendelea kukua siku hadi siku na sababu zikiwa ni nyingi Mimi kwa utafiti wangu mdogo nimezipata zifuatazo kupitia dada zetu waliopo kwenye...
2 Reactions
19 Replies
965 Views
TUZIFAHAMU FAMILIA 13 ZA ILLUMINATI ZINAZOIENDESHA DUNIA NA MAISHA YA BINADAMU KATIKA NYANJA ZOTE. Kwa nini ni muhimu kuzifahamu familia 13 za illuminati? Katika kitabu kinachoitwa"Holy blood...
8 Reactions
105 Replies
13K Views
Mheshimiwa waziri wa elimu. Kama ilivyokawaida kwa kila shule ya bweni lazima pawepo na matron ambaye majukumu yake makuu; 1. Kutunza nidhamu bwenini 2. Usalama wa wasichana na mengineyo. Shule...
1 Reactions
2 Replies
279 Views
Kama una mdogo wako wa kike awe makini aache tamaa ya mambo ambayo hana uwezo nayo, kwa sababu mabinti wengi wanaingia kwenye vishawishi vya kutembea na wanaume walio wazidi umri (Sugar dads) ili...
16 Reactions
129 Replies
4K Views
Habari za wakati ndugu zangu! Mimi ni Mkazi wa Dar es Salaam na nianze kwa kuipongeza sana Serikali kwa kuendelea na ujenzi wa miundombinu kurahisisha usafiri japo sio kwa maeneo mengi. Leo...
1 Reactions
3 Replies
326 Views
Nimekaa mahali hapa kuna redio ya kanisa moja la Arusha inanguruma. Kama kawaida ya hawa wahubiri mada kuu ni utoaji. Nilishasema habari za fungu la kumi si mafundisho ya kikristo. Hata hao...
7 Reactions
74 Replies
2K Views
Wizi wa mfukoni umeliza sana watu mjini kwenye msongamo, daladala n.k Watu wameibiwa hela, simu n. K Zingatia yafuatayo 1. Jiadhari na mtu anayekufatilia Labda uko mjini unamuona mtu mpya...
2 Reactions
7 Replies
302 Views
Mimi binafsi sioni kabisa kinachofanyika katika ujenzi wa barabara ya mwendo kasi kwa phase hii ya njia ya tegeta posta na kipande cha ubungo tofauti kabisa na ujenzi wa njia ya Morogoro road au...
0 Reactions
1 Replies
317 Views
Utawasikia kwenye mialiko yao redioni, kwenye TV na vipeperushi watangaza mialiko uende kwenye makusanyiko yao wanasema hakuna kiingilio, kiingilio ni bure! Ukifika huko unahubiriwa habari za...
27 Reactions
99 Replies
2K Views
Wataalam wa UTT nipo acc ya ukwasi Kwa maelezo, niliambiwa ni siku mbili za kazi mpunga unakuwa ushasoma leo ni wiki. Hadi napata wasiwasi
1 Reactions
25 Replies
1K Views
Hakuna time travel Huo ni mpango wa shetani, dhamila ni ile ile anataka tusahau kitu kinaitwa kufa ili azidi kupromosheni harakati zake za kumpinga mungu Achana na hao kuna hawa wanaomini hii...
0 Reactions
1 Replies
127 Views
Habari za leo wakuu, Moja kwa moja kwenye mada, pesa za kujikimu kwa waajiriwa wapya zimefika wilayani ileje yapata wiki mbili Sasa, hili lilithibitishwa na katibu ofisini ya DMO kupitia kundi...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Hivi ukiingia kwenye dating apps, unatafuta mapenzi au unatafuta maumivu? Watu wengi wanajaribu bahati yao huko, na wengine wanajikuta wakipoteza muda huku wakichanganywa na maswipe right na swipe...
4 Reactions
60 Replies
2K Views
Usafiri wa anga nchini Tanzania ni usafiri ghali na wa gharama ya juu hadi kufikirisha ukilinganisha na mataifa mengine yakihusisha na safari kutoka bara moja hadi bara jingine. Usafiri wa anga...
85 Reactions
214 Replies
8K Views
Ushauri wangu kwa serikali 1. Wizara ya Nishati, EWURA na TANESCO. ( A ) Kwa kuwa ripoti zao zinaonyesha umeme uliopo ni mwingi kuliko mahitaji basi ni rai yangu washushe bei ya kuingizia umeme...
0 Reactions
0 Replies
55 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…