Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Ninawajulisha tuuuu,mpita njia wenu. CC:- Afisa Elimu Kata (Limemshinda au kajiongeza) Afisa Elimu Wilaya (Hasomeki,vikaoni haendagi) Afisa Elimu Mkoa (anajua mambo saafi kwa wa chini yake)...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
  • Closed
Kuna tukio linaendelea Lindi katika shule ya Lucas Malia ya wanafunzi wa kike. Wanafunzi wamechelewa kuripoti na walimu wamekataa kuwapokea tangu Jumapili ya Julai 9, 2023 hali iliyowafanya usiku...
3 Reactions
39 Replies
3K Views
Taa za Kituo cha Daladala cha Mbezi Luis maarufu kwa jina la Mbezi Mwisho haziwaki na hali ya Giza imetawala eneo hilo na hivyo kuhatarisha Usalama wa mali na abiria wenyewe. Mpishano wa magari...
0 Reactions
6 Replies
930 Views
Wakuu, Hii ni hospitali ya Amana, Kivule. Vyombo vya kuhudumia wagonjwa na kufanyia upasuaji vinasafishwa kwa maji ya baridi ya bomba bila hata kufuata taratibu sahihi za kuvitakasa. Huu ni...
8 Reactions
24 Replies
4K Views
Anonymous
Hii inapelekewa na uwepo wa kitu kichoitwa "post internship examinations" Baraza la madakitari Tanganyika limeandaa utaratibu wa kufanyisha mitihani ya kusajili madakitari tangu mwaka 2021...
8 Reactions
51 Replies
8K Views
Habari wakuu Niende moja kwa moja kwenye mada...nimekutana na kijana mmoja akawa ananisimulia kuhusu unyanyasaji anaopitia mwanamke hyu kutoka familia za kijijini ukweli inasikitisha sana, kisa...
2 Reactions
6 Replies
401 Views
Naishi kanda ya kaskazin huku huduma za afya ni nzuri kwa wateja wa bima kwakuwa watu walioelimika ni wengi ( watu wanatambua haki zao). Kuna ndugu yangu anapata huduma katika hospital ya walaya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kijana mmoja aliejulikana kwa jina la Israel Daudi, amefariki dunia baada ya kupigwa risasi 3 na askari Polisi kwa kile kinachodaiwa kuwa ni kuachia ng'ombe kuingia shambani. Tukio hilo limetokea...
8 Reactions
41 Replies
6K Views
Siku za hivi karibuni hawa watu wa mabasi yaendayo Kasi(UDART) Wameanza wizi wa wazi wazi. Ukienda kukatq ticket halafu ukatoa hela kubwa zaidi ya gharama ya ticket yako wanakuambia uwaongezee...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Baadhi ya wananchi wa Jiji la Arusha wamesikitishwa na upendeleo unaofanywa na TASAF kwa kuwapatia vijana wenye nguvu na wenye kujiweza pesa badala ya wahitaji wa mfuko huo ambao ni wazee...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Hawa viongozi ni wala rushwa wakubwa wanasababisha wakazi wa eneo lile tuteseke kwa harufu kali sana wakati wa usiku inayotokana na mabaki ya kuku. Iko hivi... Nyuma ya kituo cha daladala cha...
0 Reactions
0 Replies
918 Views
Ndugu zangu Watanzania serikali yetu ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania inapaswa kutambua kwamba katika majeshi ambayo ni shida na mateso kwa Watanzania hususani wenye vyombo vya usafiri Jeshi la...
0 Reactions
1 Replies
472 Views
Nashauri Rais WA TEC, Padri Gervais Nyaisonga, ambaye pia alishawahi kuwa Mkuu wa Shule ya Pandahill wamuondoe Mwalimu huyu katika hii shule ya Pandahill. Amehusishwa na upotevu wa Mwanafunzi wa...
5 Reactions
36 Replies
2K Views
Kumekuwa na sintofahamu ya matukio ya wizi uliokithiri maeneo ya Ipuli hapa mtaani Mrenda Mkoani Tabora, matukio ambayo yanayofanywa na watu ambao bila shaka ni vibaka kulingana na aina ya wizi...
1 Reactions
6 Replies
992 Views
Kwa kweli inasikitisha mno, Mwanafunzi Naomba wana JF muisikilize audio hii kwa umakini pia vyombo vya serkali vinavyohusika vichukue hatua. ========== UPDATES... Ester Noah Mwanyilu...
5 Reactions
115 Replies
21K Views
Nilikuwa kikazi mkoani MOROGORO, nikapita kwa ndungu yangu mafiga iasee, wananchi wa Morogoro municipal wana shida ya maji balaa. Hasa kipindi hiki cha kuelekea maonyesho ya 88 Hali inakuwa mbaya...
8 Reactions
119 Replies
5K Views
Ni Binti wa umri wa miaka 11 ambae yupo darasa la tano. Binti huyu pamoja na umri wake mdogo lakini ameeathirika sana kisaikolojia kutokana na kutumika kingono kutoka kwa vijana wenye umri...
4 Reactions
11 Replies
2K Views
Wizara iangalie upya mtindo wa viboko mashuleni, waalimu wamekuwa wanapiga viboko mashuleni mpaka basi. Kuna shule moja ipo Kaliua inaitwa Kapuya Sekondari, ina piga viboko balaaa. Mwanangu...
5 Reactions
50 Replies
2K Views
Hii ni SACCOS iliyoundwa na wafanyakazi wa mashirika ya Posta na TTCL. Inasemekana kuwa uongozi wa hii SACCOS umekuwa na matumizi mabaya ya fedha sambamba na wizi na ubadhirifu mkubwa kiasi kwamba...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Najitokeza hapa kulalamikia usafirishaji wa bangi unaofanywa na vijana wa boda boda licha ya kwamba ni kinyume kusafirisha lakini imekuwa hatari kwa wakazi na wanafunzi wanaotumia hii barabara...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Back
Top Bottom