Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry William Silaa (Mb), ameelekeza kuwa ifikapo tarehe 12 Mei 2025, saa 6 usiku, ujenzi wa minara ya mawasiliano vijijini uwe umekamilika na...
0 Reactions
1 Replies
58 Views
Utangulizi Kwa miongo mingi, Tanzania imekuwa soko kubwa la nguo za mitumba, kiasi kwamba viwanda vya ndani vya nguo vimeshindwa kustawi. Ingawa biashara hii imewanufaisha baadhi ya wananchi kwa...
5 Reactions
21 Replies
333 Views
Wakati Dunia inaposonga kati ya Jua na Mwezi, basi Leo tutaweza kushuhudia Tukio la Kushangaza La Mwezi kubadilika na kuwa Rangi Nyekundu (kivuli kikubwa cha rangi Nyekundu). Siku ya Leo Usiku...
1 Reactions
8 Replies
286 Views
Nchi kama China walifanikiwa kuliona hili na kulidhibiti mapema kwa jinsi wawezavyo, katika ulimwengu wa sasa tunashuudia mengi sana, zelensky alipogomea kugawa maliasili zake, basi, marekani kwa...
1 Reactions
1 Replies
44 Views
Siku moja wakiwa wamekaa pamoja, mume pamoja na mke wake, mume akamwambia mke wake... "Mke wangu, nimewakumbuka sana ndugu zangu (kaka zangu, dada zangu na hata baba na mama). Tujumuike pamoja na...
3 Reactions
16 Replies
451 Views
Ikiwa serikali imefanya utafiti wa kina kuwa tatizo la ajira litaweza kuondolewa na ujuzi wa VETA basi Haina budi kuwawezesha vijana Hawa wanaohitimu elimu ya juu kwenye ada na mitaji ili...
0 Reactions
3 Replies
60 Views
Imetokea Jana Kinondoni. Picha linaanza wiki moja iliyo pita jamaa alienda kuweka simu zake mbili ( Smart phones) kwenye kibanda cha mchajisha simu, kisha akaenda zake pale Garden ( Mkwajuni)...
12 Reactions
42 Replies
1K Views
Nina wiki sasa hapa Morogoro mjini, cha kushangaza umeme unakatika kila siku,sio asubuhi,mchana au usiku. Nimeongea na wenyeji wanasema wameshajizoelea hizi shida. Tunamuomba Waziri mwenye...
0 Reactions
5 Replies
108 Views
Kuna wadau waliomba kujua toafuti ya M-wekeza, ipi bora , n.k Nitaeleza kwa ufupi kwa wale wanaohitaji kupata hivyo visenti basi wanufaike. UMILIKI UTT AIMS nishirika la umma M-wekeza ni mradi wa...
2 Reactions
5 Replies
179 Views
Wanawake wenu wanaharibika. Watoto wenu wanapotea. Na si kwa sababu yao pekee—bali kwa sababu nyinyi mmejigeuza watu wa hovyo! Mmekaa kimya mkiona kila kitu kinaporomoka, mnaigiza kutoona...
4 Reactions
15 Replies
228 Views
Kwa Afrika zipo Rwanda, Ghana, Burkina Faso, Mali na Malawi.
2 Reactions
29 Replies
471 Views
wilaya ya kahama kuwa na vyanzo vya mapato na madini lakini kama naona makao makuu ya mkoa yana lazimisha shinyanga kuwa yenye kila kitu kizuri kuanzia barabara za ndani mataa ya barabara wakati...
0 Reactions
1 Replies
94 Views
Chadema siyo taasisi ya kidinini bali ni chama cha kisiasa! Chama cha kisiasa kina sera na itikadi! Kuna vijana hapo chadema wanajiona wameshaota masharubu kiasi cha kuzarau uongozi wa chama...
1 Reactions
16 Replies
293 Views
Huenda ni malezi niliyokulia maana sikuwahi kabisa kumuona mzee wangu akivaa sare na mama yangu. Ziwe sare za kanisani ama popote pale kwakweli sijawahi Ona hadi sasa wana zaidi ya miaka80...
14 Reactions
82 Replies
1K Views
Tanzania na Japan kupitia Shirika lake la Maendeleo (JICA), zimetiliana saini mkataba wa msaada wa Yen za Japan bilioni 1.527 sawa na shilingi bilioni 27.3 kwa ajili ya kuboresha sekta ya afya...
2 Reactions
16 Replies
147 Views
Shule ya Msingi Kibisi iliyopo Wilayani Rungwe Mkoani Mbeya haipo katika hali ya kuridhisha kutokana na baadhi ya majengo yake yanayotumiwa na Wanafunzi kuwa chakavu sana. Nimepita katika shule...
5 Reactions
26 Replies
370 Views
  • Redirect
Kuna hatari moja kubwa sana naiona inakuja Tanzania. Rwanda na Uganda zinajiimarisha sana kwenye maeneo ya Teknolojia ya kivita na Intelejensia. Hivi karibuni Rwanda amesaini mkataba wa...
9 Reactions
Replies
Views
Karibuni kwenye mada. Nawiwa kuilinganisha na kushindanisha mji wa Kahama na Njombe au Mafinga. Je, ni mji gani mzuri na una future kubwa kifursa kuliko mwenzie in terms of maendeleo na ukuaji...
36 Reactions
20K Replies
848K Views
Wakuu, Mwezi january ndo huo unapamba moto, baada ya mapambano makali ya mwaka jana na bata la desemba, sasa narudi ulimwengu wa vita ni vita Mura. Kifupi liwalo na liwe nikipata nipate, nikikosa...
55 Reactions
212 Replies
6K Views
Back
Top Bottom