Habari wakuu,
Mimi nina eneo langu kibaha ,maeneo ya serikali ya mtaa viziwaziwa shuleni,, Ukubwa wa eneo ni nusu hekta..
Shida niliyonayo ni kwamba ,,nimekuta TANESCO KIBAHA wamepitisha wire...
Mimi nilifanya mafunzo ya internship nikiwa kama daktari katika hospitali ya Lugalo kuanzia Nov 2021 mpaka Nov 2022. Hospital ina utaratibu wa kulipa call allowances kwa madaktari na nurses...
Najiuliza swali kubwa Sana. Hivi inteligensia ya Polisi wa Tanzania ni Kwa CHADEMA tu?. Yani CHADEMA ndio pekee wanaomulikwa na polisi?
Binti anabakwa na vijana Sita na polisi hawajui mpaka Video...
Changamoto ya uhaba wa mashine za kuchakata Mkonge (korona) inayowakabili wakulima katika maeneo yao inatarajiwa kuwa historia hatua itakayochochea ongezeko la uzalishaji wa zao hilo.
Hatua hiyo...
Historia ya Jeshi la Wananchi la Tanzania (JWTZ)
Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) lilianzishwa rasmi tarehe 1 Septemba 1964, baada ya kuundwa kwa Muungano wa Tanganyika Rifles (TR) na vikosi...
Safari ya kutafuta furaha ya Kweli.
RATANJI TATA: Bilionea wa India Ratanji Tata alipoulizwa na mtangazaji wa redio katika mahojiano ya simu:
Bwana, unakumbuka nini ulipopata furaha zaidi...
Jamani ukipiga Airtel kwenda matandao mwingien yeyote yaani hamuwezi kusilizana,sijui kwanini Airtel huduma zimaenza kuwa mbovu hivi?TCRA mmemchukua hatua zipi?
Mtu tajiri wa Kiarabu alikwenda kusoma Ujerumani.
Baada ya mwezi wa masomo, alimwandikia baba yake barua akimwambia:
“Baba, Berlin ni jiji lenye kupendeza sana, na watu wananihurumia sana...
Katika ulimwengu wa leo hakuna mtu anayeweza kujitenga na vifaa vya kielektroniki. Watu wengi wanaamini kuwa vifaa vya umeme wanavyotumia vinaweza kuwasaidia kufanya kazi zao vizuri na huu ni...
Wadau hamjamboni nyote?
Kwa mujibu wa Biblia wapo Manabii na Mitume wengi walokuwa na mahusiano na wajakazi au masuria hadi kuzaa nao huku wengineo wakiamua kuoa zaidi ya mke mmoja!
Siwezi...
Kwa wale mnaokaa huko mjipangee ujenzi unaoendeleea wameshauri wafunge upande mmoja.
Upande mwingine mtaelekezwa jinsi ya kupita na magari yenu.
Ushauri ni kama hamna umuhimu wa kwenda na gari...
Dunia inawazungu wachina kwa jamii zao, wahindi kwa jamii zao, waarabu kwa jamii zao walatino kwa jamii zao na sisi weusi kwa jamii zetu.
Wakuu wazungu tangu waliposhika kijiti wanaushawishi...
Hellow JF.
Hii inaweza kuwa mwendelezo wa makala zangu za hapa na pale japo sijazipangalia katika mtiririko sahihi kwasababu ninaishi ninachokiandika.
Nataka nikukumbushe kitu, najua wajua...
Nimeona clip ikisambaa mitandaoni inayomwonyesha aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam mheshimiwa Paul Makonda akimtuhumu mmoja wa aliyewahi kuwa msaidizi wake kuwa alikua akichukua gari na...
Vita vya pili ya dunia viliisha 1939-1945.
Mwaka huohuo wa 1945 ikaanzishwa "THE EAST AFRICA WELFARE MUSLIM SOCIETY".
Wako wanaosema kuwa miongoni mwa wachangiaji wakubwa wa MAWAZO NA KIFEDHA wa...
Watafiti walihitimisha kuwa utafiti huo "unaunga mkono wazo kwamba homoni za ngono za kiume hupunguza maisha ya wanaume".
Muhtasari
• Wanaume waliohasiwa waliishi muda mrefu zaidi kuliko "wenzao...
Habari zenu wanajukwaa
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu kwa kipindi cha hivi karibuni jamii imemuwezesha sana mtoto wa kike na kumsahau kabisa mtoto wa kiume je sisi kma jamii tunafanyeje...
Wakuu mnapigaje hapo.
Hamjatekwa tu na wasiojulikana ( uvccm )
Kuna sehemu nilinunua eneo heka 1 lengo likiwa n kuweka mradi wa mifugo mbuzi. Wakati naendelea na ujenzi wa mabanda kuna mama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.