Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Anonymous (79c7)
Wakuu, Nane-Nane ya Mwaka huu imegubwikwa na ufisadi wa hali ya juu hususani katikamaandalizi yake. Hii yangu inakuja kama muendelezo wa kile amba ho kiliwekwa wazi kwamba kuna vyoo viwili tu...
4 Reactions
23 Replies
1K Views
Marehemu alifariki akiwa ktk ajali ya Gari. Kwa mujibu wa ataarifa zilizosambaa mitandaoni aliokena aakiwa katika gari la Kifahari aina ya Jeep. Gari lile pekee linakosti milioni zaidi ya 100...
7 Reactions
20 Replies
766 Views
Asili ya Mtanzania ni chuki. Mtanzania nadhani ni mtu kaumbwa na roho mbaya sana ya kichawi, kwa sababu. 1. Anafurahia Anguko la binadamu mwenzake iwe ulikuwa na mali ukafilisika hapo atafurahi...
83 Reactions
262 Replies
13K Views
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imeeleza wazi kuwa imejipanga kutatua kwa wakati malalamiko ya kikodi kutoka kwa wananchi wanaokutana na changamoto mbalimbali, ambapo imewataka kufika kwenye...
1 Reactions
5 Replies
408 Views
Nilidhan atakua mtu wa haki na mfata sheria na mkemea maovu ila kawa tofauti sana, ni kama vile hajari kabisa hali za wananchi. Zile 4R zake madhan ni kwa ajiri ya CCM na CDM na si vinginevyo...
6 Reactions
14 Replies
637 Views
Shikamoooo mama popotee ulipoo Tumewiwaaa kuwaombaaaa mtusaidie jaman watu wa arusha moshiii tupateee na sie sgr Mungu awabariki sanaaa sanaa kwa hili
5 Reactions
11 Replies
521 Views
Katibu Mkuu wa Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (Taboa), Priscus John amedai rushwa barabarani kwa wakaguzi wote wa magari ni ya kiwango cha kutisha. Amesema wanaopokea wanaonekana kuwa ni...
0 Reactions
0 Replies
255 Views
Ili urudi ulipo toka lazima ukubali kwamba umeshuka na uwe tayari kuishi maisha ya chini ambayo yanaendana na budget yako iLi pesa unazozipata uweze kusave upate mtaji uanze kurudi kwenye mfumo...
4 Reactions
2 Replies
355 Views
Leo nikiwa nasikiliza kipindi cha michezo katika redio ya East Africa, kuna jamaa akatuma ujumbe kuhusiana na mechi ya simba na yanga huku akiandika ujumbe ambao ulisomwa na ndugu mtangazaji...
11 Reactions
29 Replies
1K Views
Wakuu habar..! Kwa umri wangu ninastahili kuitwa mzee, maana Nina zaidi ya miongo mitano tangu kuzaliwa kwangu, Kila ninapokaa huwa nnaikumbuka sana nguo yangu niliyowah kuivaa miongo kadhaa...
18 Reactions
95 Replies
9K Views
Ukiona rais anayeingia madarkani anasema atakomesha wizi huyi ni mwongo wala ukweli haumo ndani yake. Hata Mungu amesharuhusu wizi pale aliposema mwenye nacho ataongezewa na asiyenacho hata kile...
4 Reactions
30 Replies
749 Views
Yaani GENTAMYCINE niwe Rais tena wa nchi kama ya Puerto Rico ambayo najua kuwa Kwanza ina Wajinga na Wapumbavu wengi, Washamba wengi, Masikini ndiyo hawahesabiki, Maisha ya Wananchi wangu kuwa ni...
9 Reactions
39 Replies
1K Views
Kupitia ukurasa wao wa X, Jeshi la Polisi Tanzania, wametoa ufafanuzi juu ya taarifa inayosambaa kuhusu binti aliyefanyiwa ukatili Yombo kuwa amekufa, na kusema taarifa hiyo ni uzushi usiokuwa na...
2 Reactions
75 Replies
5K Views
Kuna kazi ambazo kuna umri ukifika ni lazima uiache kila kazi na umri wake. Mfano mpira wa miguu mara nyingi ni mwisho miaka 38 Kuna kazi ambazo ni lazima utaicha mapema na kwenda kutafuta kazi...
8 Reactions
14 Replies
539 Views
Andika namba kwenye comments. Namba ambayo itatoa ufafanuzi halisi ya majibu ya swali lililoandikwa kwenye kichwa cha uzi huu. 1: Kuongezeka upotoshaji katika dini 2: Kuongezeka kwa hali ngumu...
0 Reactions
5 Replies
336 Views
Leo nimekaa sehemu nikaona kundi la wachina, nikajiuliza hivi hawa jamaa huwa hawaoti ndevu au wananyoa kilasiku. Ni utaratibu wao wa kiasili kukaa bila ndevu au hawapendi tu, maana binafsi...
6 Reactions
35 Replies
950 Views
Step into the thrilling world of "The Money Maze," where everyday people face their financial fears head-on. Watch as contestants navigate a larger-than-life labyrinth filled with challenges that...
0 Reactions
0 Replies
160 Views
Wandugu kwanini hao samaki wa baharini hawafiki huku mikoani. Huku sijawahi ona bucha linauza samaki wa baharini. Labda vibua kidogo. Ingekuwa poa sana na sisi tupate dagaa mchele tupige na ugali...
22 Reactions
98 Replies
15K Views
Back
Top Bottom