International Forum

News and Stories from rest of the World

JF Prefixes:

Vita ya makampuni ya mitandao kati ya USA na CHINA inaelekea kutamu. Baada ya Hukumu ya kuifunga TIKTOK huko marekani hatimaye followers wa Tiktok wanahama kwa mamilionj na kujiunga na app...
3 Reactions
2 Replies
503 Views
Katika kuendeleza kufungua nchi. Waandishi wa TBC1 wapo Washington tayari Kwa ajili ya kuripoti MATOKEO ya uchaguzi Mkuu nchini humo.
11 Reactions
68 Replies
3K Views
1. Watanzania tujifunze kujivunia kwetu japo sisemi sisi Ni Bora kabisa Ila tunajitahidi 2. Binafsi, nimetembelea miji kadhaa Afrika (Kigali, Nairobi, Kampala, Bujumbura, Johannesburg, Durban...
22 Reactions
96 Replies
5K Views
Wadau hamjamboni nyote? Yametokea hayo Tehran muda mfupi uliopita Jaji mmoja alofariki alikuwa maarufu kuhukumu kesi zilizohusisha wapinzani wa Serikali ya Iran Hadi sasa hakuna taarifa yeyote...
1 Reactions
6 Replies
547 Views
Mnamo October 26,2024 Israel ilifanya shambulizi la kulipiza kisasi dhidi ya Iran,katika shambulio hilo Israel ilitumia anga la Iraq kulitekeleza huku ndege chache aina ya F 35 zikipenya anga la...
6 Reactions
18 Replies
1K Views
Israel's Cabinet approves a deal for a ceasefire in Gaza and the release of dozens of hostages https://www.yahoo.com/news/israels-security-cabinet-convenes-approve-094746734.html
2 Reactions
9 Replies
386 Views
Mwanaume mmoja Raia wa Nchini Uturuki anayefahamika kwa jina la Mehmet Bilal C, amepata dola milioni 2.5 ambazo ni sawa na bilioni 6.3 za Kitanzania ndani ya miezi mitano kwa kuuza maji feki ya...
4 Reactions
24 Replies
1K Views
Elon anaonekana anaendeshwa na chuki kali, ubaguzi wa rangi, na hofu dhidi ya makundi fulani. Ukweli kwake ni yale tu anayoyakubali, na chochote kinacasichokikubali kwake ni uongo. Hapendi...
9 Reactions
53 Replies
2K Views
Wadau hamjamboni nyote? Jisomeeni wenyewe hapo chini kwa kimombo: The following is the text of the hostage-ceasefire agreement reached between Israel and Hamas on January 15, 2025 Appendix I...
2 Reactions
0 Replies
348 Views
Wadau hamjamboni nyote? Mwongozo wizara ya afya Israel kwa mateka watakaoachiwa Watapimwa magonjwa ya zinaa Wanawake watapimwa mimba Watapimwa ugonjwa wa Refeeding Syndrome Watakaa hospital sio...
0 Reactions
9 Replies
601 Views
Kuna huyu rais wa Iran ni mtu anaye penda kuvaa suti lakini cha kushangaza huwa havai tai. Yaani huwa ana vaa kama mshikaji fulani tu ,kiitifaki ikoje hii?
0 Reactions
9 Replies
818 Views
Wakuu, Leo Januari 17, 2025, Mahakama ya Pakistan imemhukumu Waziri Mkuu wa zamani, Imran Khan, kifungo cha miaka 14 jela na mkewe, Bushra Bibi, kifungo cha miaka 7, kwa tuhuma za matumizi mabaya...
0 Reactions
7 Replies
435 Views
China, Israel, and Myanmar emerged as the world’s three worst offenders in another record-setting year for journalists jailed because of their work, the Committee to Protect Journalists’ 2024...
0 Reactions
5 Replies
252 Views
Wadau hamjamboni nyote? Itamar ben gvir ni waziri wa usalama Israel na Kiongozi wa chama cha Otzma Yehudit Anapinga makubaliano kusitisha vita na Hamas akidai Hamas watanufaika zaidi kwani...
2 Reactions
6 Replies
397 Views
Muda mfupi ujao tunatarajia Tangazo rasmi la kusitisha mapigano huko Palestina na Israel baada ya majadiliano ya muda mrefu waziri mkuu mkorofi wa Israel amekubali kukubaliana na matakwa ya Hamas...
4 Reactions
30 Replies
719 Views
Boss wa Meta na mmiliki wa Facebook, Instagram, Thread na WhatsApp bwana Mark Zuckerberg amesema kampuni ya Apple haina ubunifu wowote kwa zaidi ya miaka 20 baada ya Steve Jobs kuvumbua Iphone...
19 Reactions
133 Replies
4K Views
Mwaka 2025 kama una mpango wa kusafiri nje ya nchi na kusafisha macho basi Cape Town imetajwa kama mji namba 1 kwa ubora kutembelea 2025. Jarida maarufu la Time Out limeorodhesha miji 50 bora...
4 Reactions
23 Replies
906 Views
Rwanda imedai Kugundua Mafuta kwenye bonde la Ziwa Kivu. https://x.com/BusInsiderSSA/status/1879804070409732449?t=0tHfcniqFTurH5qTGiJpqw&s=19 My Take Rwanda Yenye Uchumi Mkubwa itakuwa Tishio...
1 Reactions
18 Replies
880 Views
Wadau hamjamboni nyote? Baraza la mawaziri la Israel hakuna kuidhinisha makubaliono kusitisha vita hadi Hamas wakubaliane na kutimiza vipengele vyote vya mkataba husika Suala la kuachiwa...
4 Reactions
52 Replies
1K Views
Mungu hawezi kuwaangamiza waisraeli kwa makosa na ushetani wa natanyahu
9 Reactions
96 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…