Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

1. Wanafunz wa kidato cha tano wanauliza kuwa tangu waanze form one mpaka walimaliza Form Four hawajawahi kuona Yanga unachukia ubingwa!! Weng wao wanashaur ishuke daraja,je mnawaambia nn Hawa...
3 Reactions
69 Replies
3K Views
Mpaka naogopa Mimi sasa, mechi ya Azam vs Biashara United ilichezwa wakati Simba Iko kwenye majukumu ya kimataifa. Kesho Simba inacheza na Biashara United. Leo Azam tv inafanya marudio ya mechi...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Yule kocha asiye na vyeti aliyeajiriwa kwa bahati mbaya na Simba na baadaye kumtimua baada ya kumstukia , Amefungashiwa virago na timu ya Taifa ya Mauritania iliyomsitiri kwa muda . Da Rosa...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Billionaire wa Misri, Loufty Mansour ameonyesha nia ya kuinunua Chelsea Football Club. Hii ni baada ya mmiliki wa sasa wa klabu hiyo, Billionaire wa Urusi Roman Abramovich kuthibitisha nia yake ya...
5 Reactions
8 Replies
1K Views
Baada ya sintofahamu ya siku chache katika umiliki wa mali zote ambazo zinamilikiwa na tajiri wa Kirusi zilizo nje ya Urusi, tajiri huyu aliamua kwanza kujiweka pembeni kabla ya jana kutangaza...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
MTIBWA SC WATOKA MAFICHONI, WADAI YANGA HAWAJAWALIPA PESA YA MSHERI "Yalifanyika makubaliano ya pande mbili tukiamini Yanga ni watu wazima na watatelekeza mkataba unavyosema, lakini mpaka sasa...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Kwenye hili sakata la Mtibwa Sugar na madai yao juu ya Msheri kwa Yanga... Sakata lilianza jana jioni kwenye sports Court PAUL MKAI akiwa na GEORGE AMBANGILE(Mchambuzi Bora kwa sasa)...ikiwa...
5 Reactions
14 Replies
3K Views
Baada ya China kupata nafasi ya kuwa mwenyeji wa Michezo ya Olimpiki ya Walemavu ya Majira ya Baridi ya Beijing, michezo ya majira ya baridi ya walemavu imeendelezwa kwa kasi nchini China. Katika...
1 Reactions
2 Replies
625 Views
Mwishoni mwa 2021 wanaharakati wa A-Town walianzisha WhatsApp group iitwayo "MAPINDUZI YA RIADHA TANZANIA" group hilo limejaa vichwa vikali vyenye ujasiri mkubwa wa kuhoji na kuchalenji. Pamoja...
3 Reactions
5 Replies
835 Views
Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na mchakato wa mabadiliko katika uendeshaji wa vilabu vya Simba na Yanga. Miongoni mwao mabadiliko hayo ni umiliki wa vilabu hivyo. Ni jambo zuri na la kupongezwa...
0 Reactions
1 Replies
982 Views
Mtingisheni huyo huyo Rais wa TFF Wallace Karia ( ambaye nilikuwa namheshimu ) lakini sasa nimeanza Kumdharau ila siyo Sisi Werevu SC (Simba SC) kwani hakuna mtakachokipata Kwetu. Tunajua kuwa...
4 Reactions
24 Replies
2K Views
Mwenye taarifa kamil antoe was was Ikiwezekana antajie na muda wa mech il njiandae
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Toka raundi ya pili imeanza, Yanga ameambulia point 7 kati ya 18 katika michezo 6 ambayo wamekwishacheza. Simba tunaomba msitutanie kwenye hili, sisi Yanga tunakwama wapi jamaniiiii?
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Kwa Barcelona ya saiz na mipango na maufundi ambayo mkufunzi wa tikitak, Xavi aliyoyaleta kwenye kikosi, naiona Barcelona ya Guardiola inakuja.
6 Reactions
17 Replies
2K Views
Desemba mwishoni mwaka jana, Klabu ya Yanga ilimtambulisha kipa Abdultwalib Hamidu Mshery kuwa imemsajili kutoka Mtibwa Sugar kuwa mchezaji wao. Mshery akaingia na kufanikiwa kufanya kweli...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
FIFA na UEFA wamepiga ban vilabu na timu ya taifa ya Urusi kushiriki mashindano yao. Je, hatua kama hii ni sahihi kwa chombo cha kimataifa kinachohubiri neutrality kama FIFA? Mbona hawakuiban...
5 Reactions
10 Replies
751 Views
Kuna wachezaji mashuhuri ambao hawajawahi kushinda Uefa Champions League (UCL). Mfano wao ni kama Buffon, Zlatan, Ronaldo De Lima, Michael Ballack, Michael Owen nk Halafu kuna wachezaji ambao si...
4 Reactions
31 Replies
5K Views
Nakubaliana kwamba huwezi uwe na ma-striker aina ya Boko, Kagere, na Mugaru, halafu tena utake kuchukua klabu bingwa au shirikisho. Huko ni kujenga gorofa wakati huna pesa. Lakini hutafanya hivyo...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Kutana na Bwana Keppa aliyeingia dakika ya 119 akichukua nafasi ya Mendy ili akadake Penalties. Mwisho wa mechi amefungwa Penalt zote 11 na akapaisha Penalt ya mwisho[emoji16]
7 Reactions
18 Replies
1K Views
Msimu huu kuna wachezaji wamekiwasha hasa, viwango vyao vimetakata mno japo hawachezi timu kubwa kama Liverpool, Man City, Man Utd, Arsenal, Spurs na Chelsea. Leo tuwataje wachezaji tunaowakubali...
5 Reactions
63 Replies
4K Views
Back
Top Bottom