Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Yaani wameshakudharau kwa kukuletea Kipa Mwenzako Msheli ambayo Kwako bado ni Kinda na hata hakufikii Kiuzoefu halafu muda mwingi huwa hudaki na leo wasivyo na hata na aibu wakata ukawabebe katika...
8 Reactions
7 Replies
1K Views
Bernard Morrison (Amezaliwa 20 May 1993) Ni Mchezaji maarufu wa Ghana anaechezea timu ya Simba SC kwenye Ligi ya Vodacom Premier Bernard Morrison Personal information Club information...
0 Reactions
2 Replies
852 Views
  • Closed
Kuna tetesi kuwa AzamTv hawana haki ya kuonyesha michuano ya Afcon 2022 itakyofanyika mapema mwakani! Kama ni kweli basi, AzamTv watakuwa wamefeli pakubwa sana, maana wanashindwa kuonesha...
3 Reactions
137 Replies
12K Views
Ni Mtanzania mwenye Asili ya Mbeya kule Tukuyu. Anaitwa Pope Ousmane Mwalusakho. Sema kule Senegal wakamwita Sakho. Ukimtizama ana Unyakyusa Flani hivi mwingi sana. Ni Mnyakyusa wa Tukuyu ndiyo...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Nina uhakika leo wachambuzi wengi walio kwenye pay roll ya timu la mchongo wanashindwa kupumua hasa jioni hii baada ya timu yao kung'olewa. Sasa tunavyowajua inabidi msubiri mechi ya usiku ili...
5 Reactions
2 Replies
667 Views
Hawa jamaa mpira wanaucheza. Wana aina yao ya mpira ambayo inabaki kuwa yao. Naona toka amekuja huyu coach kama wameanza kukaa sawa. Simba wana cheza mpira mzuri wa kuvutia. Lakini naamini sisi...
6 Reactions
5 Replies
940 Views
Kama wewe ni mdau wa soka na sio shabiki wa mipira basi utaniunga mkono kwa hili. Mpira wanaocheza yanga unatisha. Imagine aneyeingia sub ni Moto kuliko anayetoka (kitaa tunaeema "linatoka jini...
6 Reactions
148 Replies
8K Views
Jana kulikuwa na Darby ya wanawake Yanga princess vs Simba Queen. Simba iliweza kuibamiza Yanga kwa mabao 4. Kitu nilichokiona wachezaji wengi wa Yanga princess wamekomaa sana nyuso zao...
2 Reactions
33 Replies
4K Views
Leo majira ya saa mbili na robo usiku kutakuwa na mtanange wa kukata na shoka kati ya Simba Vs Namungo katika nusu fainali ya pili ya Mapinduzi Cup. Tujumuike wote hapa muda ukifika
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari ndio hiyo....😁😁🤣🤣🤣😅😅😁😁😁😆😆😆
2 Reactions
11 Replies
1K Views
naomba tuonane kesho nikiwa nakunywa kili na supu yangu. gnite
1 Reactions
2 Replies
473 Views
Mpira ni mchezo wa kihuni utake usitake. Siku mtoto wa mjini Zachary Hans Pope anafariki nikajua ubingwa basi tena. Mpira unataka wahuni na watoto wa mjini wenye uwezo wa kupora mchezaji...
2 Reactions
16 Replies
997 Views
"Unamkuta mwana Yanga kama Frank Wanjiru na Daudi Mchambuzi wanaropoka sana huko Redioni, katika Runinga ba Mitandaono kuisema vibaya Yanga SC yetu ila ukiangalia kama Mwanachama amechangia Pesa...
12 Reactions
30 Replies
2K Views
Kwa clip aliyoipost katika ukurasa wake wa Instagram, naziimba mamlaka za nchi hii zimpime akili kijana huyu maana tunaweza tukawa tunacheka na kufurahi kumbe tunampiteza mwenzetu! Apimwe kwa haraka..
4 Reactions
52 Replies
5K Views
NI kitambo, Simba haikuwa na MKuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano, tangu alipojiuzulu na kuhamia Jangwani, Haji Manara. Ndio, nafasi hiyo ya Manara ilikaimiwa na Ezekiel Kamwaga kwa muda wa...
4 Reactions
3 Replies
2K Views
Mtandao wa GiveMeSport wametoa kikosi bora cha wachezaji ambao wamewahi kucheza Afcon mbalimbali. Je unaungana nao au unapingana nao? Kama unapingana nao, tuambie ni mchezaji gani amekosekana...
6 Reactions
46 Replies
3K Views
Hassan Dilunga, Peter Banda na Yusuph Mhilu wana uwezo mkubwa kuliko huyu Chitec Moukoro wenu ( Raia wa Ivory Coast ) hivyo wala msithubutu au kupoteza muda Wenu Kumsajili kwani kwa Jicho langu...
7 Reactions
20 Replies
2K Views
Hivi kwa kuanzisha kipindi hiki cha kila Jumapili asubuhi na hivi ninavyoandika kinaendelea mlikuwa na lengo gani? Bin Zubbery mwenyewe na wageni wake wako biased dhidi ya timu ya Yanga...
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Ninakiri kuwa sizifahamu kwa kuwa nilishaacha kusikiliza vipindi vya michezo kwa kuwa vimejaa wachambuzi kanjanja wa michongo tu. Kuna niliokuwa nawa follow insta wote nime wa unfollow. Angalau...
2 Reactions
8 Replies
697 Views
Back
Top Bottom