Wale wazee wa mtanange match week 2 Ina endelea leo, vipi umejipangaje? Tuendelee kupeana abc salah nimempa ucaptain leo..
NB: mods mnafuta uzi wetu wa fantasy unashida gani? Nini maana ya jamii...
Leo kama kawa nitakuwa nawaletea updates za pambano hili ambalo kimsingi mmoja ataondoka na gari. Aidha kutakuwa na mapambano kadhaa ya utangulizi.
===
TWAHA KIDUKU AMTWANGA DULLAH MBABE...
LUKAKU ATAKA JEZI ILIYOWAPONZA WENGI CHELSEA
LONDON, ENGLAND. WAKATI Romelu Lukaku anatua Stamford Bridge akirudi kuichezea Chelsea kwa awamu ya pili, kwenye tovuti ya Ligi Kuu England...
Wanasimba tuamke simba yetu inadhalilishwa na matapeli wanaojiita wawekezaji.
Kwa kuwa simba ni timu ya umma sio mali ya mtu binafsi km mwekezaji anavyojaribu kuwahadaa mashabiki mbumbumbu. Ni...
Siyo lazima Simba SC ikienda mahala na Timu zingine Ziige wakati hata Uwezo wa Kipesa hawana.
Simba SC ipo Morocco ya Posta Mpya ila kuna Watu wapo Morocco ya Mlandizi na Wachezaji furaha hawana...
Kwa vyovyote vile kuondoka kwa Moquissone na Chama kumeiumiza Simba, no doubt.
Miquissone alikuwepo na Banda alikuwepo lakini mmoja kaenda Al-Ahly na mwingine kaja Simba. Tusidanganyane, Banda...
Hakika sijawahi kuona upendeleo kama huu kwenye mchezo huu wa ndondi popote, nimeangalia hili pambano nimeona aibu sana kwa matokeo ya uongo kama haya.
Kwa haya yanayofanyika, nchi hii...
TWAHA KIDUKU: MPIGANAJI BORA WA NDONDI KWA SASA TANZANIA.
Leo 21:30 hrs 29/08/2020
Twaha Kiduku mpiganaji mtulivu,mchokozi wa ngumi zitakazo kuweka kwenye kumi na nane yake ambayo itakukutanisha...
Dullah Mbabe atashinda crown leo,Gari halitoenda Morogoro,wale tunawapelekea treni ya mwendokasi.Poleni sana ndugu zangu wa Morogoro,taratibu naomba msivunje TV
Kwanza hatokei Congo
hapaki bleech
Anajua kucheza rafu
anajua kupiga pasi kama dobi
Ni Sadio Mane na Fedric Kanoute kwa pamoja
Ngolo kante simu yake imejaa video clip za sadio
Shoot power...
Hapo awali ilikulikana Kama DTB fc saivi ni Singida Fc itakayoshiriki ligi daraja la kwanza(championship) msimu wa 2021/2022 imekamilisha usajili wa nyota wakubwa ikiwemo.
Amis Tambwe
David...
Nimetafakari kwa muda sababu ya msingi kwanini kocha hakumuingiza Kagere nikapata sababu mbili.
1. Nimehisi sub zinazotakiwa mwisho ni tatu, japo wapo wanaosema sababu ya Corona zinatakiwa sub...
Yanga wamezoea kuishi kwa propaganda kudanganya mashabiki. Kibaya zaidi nao hawana hata akili ya kushtuka. Walidanganywa sana kuhusu Chama, wakadanganywa kuhusu ubingwa VPL na FA. Leo hii bado...
CAS: HAKUNA KESI YA MORRISON NA YANGA
Klabu ya Yanga kupitia kwa Makamu Mwenyekiti wake, Frederick Mwakalebela alisema kuwa wametumiwa barua na CAS wakitaarifiwa kuwa jaji wa kusikiliza shauri...
Wewe ungeweza? Hilo ni swali unalopaswa kujiuliza au kumuuliza shabiki wa soka au mdau anayehoji kuuzwa kwa waliokuwa nyota watatu kwenye Ligi Kuu Bara kina Luis Miquissone na Clatous Chama wa...
Hawa ndio wameaminiwa
Maswali machache
Metacha hana timu?
Magolikipa wa 4 wa kazi gani?
Kaseja yupo wapi?
Mkude je?
Kibu deniss na Dann lyanga hatujaona kazi yao?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.