Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

UONGOZI wa Klabu ya Yanga umemsimamisha kipa wake, Metacha Mnata kutokana na utovu wa nidhamu alioufanya kwa mashabiki baada ya mchezo wao dhidi ya Ruvu Shooting uliochezwa jana usiku katika...
1 Reactions
8 Replies
37K Views
Kongole kwa wachezaji wetu, Mechi hii imetuonesha KUIMARIKA kwa kikosi chetu kila muda unavyozidi kwenda. Baada ya mpira kuisha ,ilionekana baadhi yetu mashabiki wa kilabu chetu pendwa...
1 Reactions
39 Replies
4K Views
Wagombea nafasi ya Urais Shirikisho la soka Nchini TFF wamekosa wadhamini. Ni mgombea mmoja tu ambae amepata wadhamini ambaye ni Rais aliyemaliza muda wake Ndg Karia. Kwa tafsiri hiyo nafasi ya...
4 Reactions
48 Replies
5K Views
Mshambuliaji wa DC Motema Pembe, Kadima Kabangu amesema anaamini mabingwa watarajiwa wa Tanzania Simba SC watamsaini. Amesema ameshafanya mazungumzo na kocha wa Simba, Didier Gomes na...
7 Reactions
11 Replies
2K Views
Kabangu: Nikicheza na Chama, Luis Nitafunga Sana MSHAMBULIAJI wa DC Motema Pembe ya DR Congo, Kadima Kabangu, amesema ubora walionao viungo wa Simba wakiongozwa na Clatous Chama na Luis...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
"Nilipanga kujizawadia Ferrari na Rolls-Royce, sina budi kuweka mpango huu kapuni kwa sasa na kuelekeza fedha zaidi katika klabu yetu ya @SimbaSCTanzania . Furaha ya @SimbaSCTanzania ni muhimu...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Super MB3 akitoa hamasa kwa watoto mitaani. Wako wapi wanahabari wetu na wachambuzi uchwara. Hawakuona hili?
0 Reactions
2 Replies
648 Views
Habari za saizi wanajamvi, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza ni kwa jinsi gani Vodacom wanapata au walkua wanapata faida toka kwenye vpl?
2 Reactions
9 Replies
898 Views
Nimeamua kuandika habari za mpira wa miguu kwa sababu nyingi lakini za msingi ni kuwa soka ni ajira,biashara,n.k lakini pia ina mipaka yake.mpira wa miguu (Football or soccer) ni biashara kubwa...
0 Reactions
4 Replies
905 Views
Christian Eriksen is unlikely to play football again and Italy may ban the Inter Milan player from competing again if he has suffered a cardiac arrest, according to a leading cardiologist. The...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
" Kinachoendelea Yanga SC na huu mkanganyiko kuhusu wao kucheza au kutocheza Mechi yao na Simba SC tarehe 3 July, 2021 ni Uthibitisho rasmi kuwa Yanga SC sasa imejaa Wahuni na inaongozwa Kihuni...
7 Reactions
26 Replies
3K Views
Mzuka wanajamvi! Tahadhari kama hujui kiingereza vizuri kabisa usiendelee chini kusoma. Nimeamua kutumia taaluma yangu kwenye huu Uchambuzi. Omnipresent N'Golo Kante delivers Munich...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
" Ifike muda sasa tuambiane ukweli tafadhali. Yanga SC waache unafiki na kutaka Kuwahadaa Mashabiki wao kwani wameshakaa na Serikali pamoja na Simba SC na Kukubaliana tena hadi kwa Kusaini kuwa...
8 Reactions
15 Replies
3K Views
Tanzania ni muungano wa nchi mbili yaani Tanganyika na Zanzibar. Hilo halina ubishi kabisa. Pia ni kweli Zanzibar tunacho chama cha soka yaani ZFA. ZFA ni mwanachama wa CECAFA NA CAF lakini...
1 Reactions
33 Replies
4K Views
Hii ndio taarifa aliyoisambaza kwenye vyombo vya habari , anadai amepokea Email kutoka Kamati ya Uchaguzi kwamba Amekatwa. Ameahidi kutoa ufafanuzi zaidi baadaye kidogo
2 Reactions
19 Replies
2K Views
" Wasemaji wakuu Kikatiba na Kiutendaji ndani ya Yanga SC ni Mwenyekiti, Katibu au Kaimu na Msemaji kwa Maelekezo. Ninachojua Yanga SC itacheza Mechi zote ilizopangiwa na TFF na hayo maneno...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Maingizo mapya, Poulsen anatuonyesha Vijana wanaweza kufanya mambo mazuri. Wewe kama mdau una maoni gani?
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Wazee wa klabu namba 74 kwa ubora barani africa yanga sc wamekataa kuingiza team tarehe 3 july.Team hiyo ya mitaa ya twiga na jangwani ambayo kwa mujibu wa shirikisho la soka afrika ni ya tatu kwa...
6 Reactions
46 Replies
5K Views
Wazee wa busara wanawasha moto hatari, kuna kikao kipo underway hapo utopoloni wale wazee ambao juzi walisema hawatapeleka team uwanjani kucheza na simba hawataki kusikia lolote kuhusu mabadiliko...
13 Reactions
30 Replies
3K Views
Hawa watu wana mbinu nyingi sana za ku-survive katika mazingira yoyote kwenye nafasi zao. Sakata la wazee wa Yanga unaeweza kufikiri viongozi hawajui. La hasha! Wanafahamu sana na ukweli...
4 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom