Katika siku za hivi karibuni kumetokea wachambuzi wengi katika soka letu la Tanzania, ambapo wengi wao wanatumia forum ya Azam Tv katika kujitafutia umaarufu wakati katika jamii ni watu ambao...
lets go champs,lets go boys,captain boko ongea na wenzako waambie tunataka furaha tu nothing else TUPO NYUMA YENU HADI MR KISHINGO TUPO NYUMA YAKE TUTAENDELEA KUGOMBANA NAYE BAADA YA HAPO ILA...
Ni 5G. Pongezi Gadiel Michael Kamagi, C. Mugalu,Moquisone, M.Kagere na beki kitasa Ame.
Kongole kwa S.Ndemla kwa attempts za hatari..S.S.C na sisi mashabiki tunajivunia Kahata, Ajib kwa zile...
Efe Ajagba bndia Mnaijeria anayeishi Texas Marekani kwa sasa ni bondia aliyepata ushindi sekunde moja baada ya pambano kuanza
Ilikuwa Agosti 24, 2018 Minneapolis Marekani ambapo alikuwa...
Timu zetu za VPL zimejaa vijana wengi wanaocheza kwenye viwanja vibovu sana. Vijana hawa wanapambana ili kupata nafasi ya kucheza Simba na Yanga na pengine Azam na nje ya nchi.
Simba kuna hela...
Uongozi wa klabu ya Yanga umetoa taarifa kuhusu maendeleo ya kesi waliyofungua dhidi ya winga wao wa zamani Bernard Morrison.
Akizungumza mapema leo kutoka jijini Mbeya, Makamu Mwenyekiti wa...
Yanga kwa sasa inaweza kukupa burudani ambayo hata mpenzi wako hawezi kukupa, inafurahisha eeh?
Wana umoja, hawakati tamaa kizembe, spirit ya kufight. Na safu nzuri ya ulinzi. Wanapewa sifa wengi...
Tinman Elite professional athlete Sydney Gidabuday took second in the opening section of the men's 10,000 meters in a personal-best 28:15.41 at the Sound Running Track Meet. Gidabuday, who ran his...
Wakuu hawa wazee wa Simba ndo walikuwa wachawi wa kuzuia maendeleo ndani ya Simba,sasa hivi wamekosa nguvu wanatapatapa. Hawa wazee wangejiheshimu na kuacha vurugu Simba isingewatupa. Leo hii...
Tunashukuru leo bwana Mesut Ozil ameshusha mikono chini na kuitakia ushindi Arsenal
Chelsea kama hakuona bac ndio kilichowaponza
Asante Ozil ombi langu nadhani limekufikia
1. Posho ya Wachezaji imekuwa ikipunguzwa na kuna muda hawakupewa kabisa isivyo kawaida na Mo Dewji anafichwa
2. Kuna Mgawanyiko mkubwa baina ya Wachezaji hali ambayo imesababisha Chuki na Majungu...
Wasalaam wakuu.
Nimejaribu njia nyingi, kuangalia tutorials,Kucheza online, kudownload checkers, kucheza na watu lakini mara nyingi naishia kula za uso tu.
Hivi hakuna app ya kunifunza...
Mawazo yangu. Ligi kuu uingereza siyo ligi ya Belgium. Hamna team yakutoa 10m kwa mchezaji wa 25yrs kutoka ligi ya kawaida. He is a winner in a country of less than 3 professionals. Baki Genk piga...
Jana ameiangamiza timu yetu, jana ametuumiza Wanasimba. Na hii si mara yake ya kwanza kutufanyia hivi.
Wale Platinum FC kwa jinsi nilivyowaona si wakali sana wa kututisha (najua game ijayo...
Kutoka siku ya kwanza David Beckham alipopiga mpira kwa miguu yake alionyesha ni mtu bora na mwenye kipaji cha hali ya juu,anaandika Ferguson."Mimi na Beckham tulitandika daruga msimu mmoja huku...
OZIL OZIL OZIL...... [emoji27][emoji27][emoji27]
Brother nmekuita mara tatu [emoji18][emoji17]
Please tunakuomba Wana Arsenal shusha hyo mikono mkuu tumekomaaaaa
Inatosha Ozil tumekubali...
LURAKOZE Shane Tanzania Saido Ntizabazonkiza. Ni Kirundi kinachomaanisha karibu sana Tanzania. Namkaribisha staa mpya wa Yanga.
Hii ndiyo Tanzania na yuko katika jiji ambalo Mkuu wake wa Mkoa...
Yule kocha mtukutu na msema hovyo ambae aliwahi kuwata Watani kwamba Manyani, kauli yake hiyo inaendelea kumtafuna. Baada ya Eymael kutupiwa virago na Vyura wa Bwawa la Jangwani, miezi michache...
CAF CHAMPIONS LEAGUE QUALIFICATIONS.
Raundi ya kwanza, mkondo wa kwanza.
(Oooh, Ataepita mikondo(aggregates) yote miwili ataingia hatua ya makundi moja kwa moja. )
10:00 JIONI: FC Platinum...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.