Mbona hachezi wala kuwepo kwenye benchi, Anaumwa nini hadi lini? ameuzwa wapi? ametolewa kwa mkopo timu gani?, mmeshindwana mshahara? Kiwango chake kiko chini?
Haya ni maswali sisi wadau tunajiuliza
Kila kitu na zama zake na huu ni wakati wa Yanga kuwa katika zama zake. Shukrani kwa GSM ambaye anasababisha mashabiki wa yanga tunasonga ugali tu mboga utaipata kwenye mechi yanga wanavyosakata...
Mimi huwa navutiwa sana na Gentamycine hapa jukwaani , kwa mwaka huu 2020 kautendea haki hasa sisi tunaopenda soka la nyumbani. Japo kuna stori zake nyingine huwa ni za kutunga hasa za kumfagilia...
Tukiachana na Tuisila kisinda, Serge mukoko wachezaji walionesha kiwango kikubwa kwa muda mfupi.
Unaongeleaje usajili wa yanga kwa huyu jamaa
Tanzania 0 vs 1 Burundi
Comoro 1 vs 1 Burundi
Burundi...
Mods tafadhali msiunganishe uzi huu na mwingine wa kuhusu PELE`
Jamani hamna wa kulinganishwa na Pele` wa Brazil. Hamna wa kumfikia Adson Arantes Dos`Nacimento(PELE).
Pele wa Brazil ndiyo...
Kwa muda mrefu Afrika imekuwa ikitoa viungo, washambuliaji na mabeki wazuri wanaotamba kwenye ligi mbalimbali barani ulaya. Toka enzi za akina George Weah, Samuel Etoo, Jayjay Okocha, Michael...
Naona kipindi cha kwanza tu kashamchapa mtu 2 kavu nimeamini hizi timu zetu za asili ( simba na yanga) yawezekana zikawa kikwazo kwa maendeleo yetu ya soka
Sent from my Infinix X680 using...
Azam imempokea Mpiana Moziz kutoka FC Lupopo kuziba pengo la mcameroon Thiery Akono aliyeuzwa Malaysia. Imefanya mapokezi yasiyokuwa na 'mbwembwe'.
Wakati ikiendelea kujiimarisha Azam imeshindwa...
FACT :D:D
Je, wajua beki wa Yanga SC. Lamine Moro ana magoli mengi (3) kuzidi jumla ya magoli ya Bwalya, Mkude, Ajibu, Morrison, Kahata, Ilanfya?
FACT :D:D
Je, wajua Bernard Morrison tangu...
INAELEZWA kuwa Kiungo bora kwa msimu wa mwaka 2018/19 alipokuwa Simba, James Kotei yupo kwenye mazungumzo na Uongozi wa Yanga ili ajiunge na mabingwa hao wa kihistoria waliotwaa ubingwa mara 27...
Zikiwa zimebaki mechi tatu kwa kila timu ya ligi Kuu ya Uingereza, Ligi hiyo inaenda ukingoni kuhitimisha msimu wa 2018/19.
Ni msimu wa aina yake, kwani mpaka kufikia sasa bado bingwa...
kuna kila dalili Engineer Hersi ananunua matokeo. hii hapa chini ni picha akiwa na bahasha za kaki katika moja ya mechi za ligi kuu ambazo ni yeye tu anaweza kutueleza kama humo ndani katia...
Hii timu ilikuwepo kwa ajili ya kuipa yanga point. Timu ya kijinga mno.Timu iliyokuwa tayari kushuka daraja kwa ajili ya kuibeba yanga?!!
Nimeshangaa kumbe imeshashuka hadi daraja la tatu!
Yaani...
Tangu niliposikia tumeingia fainali ya under 17 na Uganda nilijua tuna nafasi ya asilimia 30 tu za kushinda, na kweli tumebamizwa 3 na hii ni baada ya juzi juzi tena kupoteza fainali nyingine kwa...
Hivi ni kweli mchezaji wa KMC alishika mpira kwenye mechi ya Simba vs KMC?
TFF mnangoja nini kitokee kabla ya kuchukua hatua? Nini kinashindikana kumwambia Azam tv afanye marudio kwenye matukio...
Ambazo Kwa Sasa Ziko Sokoni ,, Hili Linakuja Mara Baada ya Mashabiki wa Yanga Hususani Wanawake Kusema Kuwa Wao ni kama wanatengwa katika Jezi Kwani Wanahitaji Waletewe Madela Ikiwa kama Jezi Kwao...
Kwa wale wenye umri mtakuwa mnamkumbuka pele wa Brazil miaka ya 60 na 70, lakini baadae miaka ya 80 aliibuka Maradona.
Miaka ya hivi karibuni akatokea De lima,Ronadinho, kaka nk.Sasa hivi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.