Nachukua nafasi hii kuwapongeza TOC kwa kufanya Uchaguzi wao kwa mujibu wa katiba yao.
Pili, niwapongeze Shirikisho la Kenya (AK) kwa kutimiza miaka 70 tangu kuanzishwa kwake wakifikia mafanikio...
Wakuu, nakumbuka mheshimiwa Jakaya Kikwete aliwaasa Azam FC kutoendekeza Usimba na Uyanga kama wanataka kufika mbali zaidi kisoka pale alipoalikwa kama mgeni rasmi miaka zaidi ya saba hivi sasa...
Formula 1 world champion Lewis Hamilton has been voted BBC Sports Personality of the Year 2020.
One of F1's all-time great drivers, he equalled Michael Schumacher's record of seven world titles...
Plateau United have blocked Tanzania media house Azam TV from streaming their CAF Champions League preliminary round first leg fixture against Simba SC.
Plateau United (who owns all the media...
Kutokana na sakata la usajili wenye utata wa mchezaji Shiza Kichuya kutoka Misri kwenda Simba, tumeambiwa hapa juzi tu kwamba Simba ilipigwa faini ya takriban milion miatatu na mchezaji tajwa...
GORDON Brown, Waziri Mkuu wa zamani wa England aliwahi kuulizwa ni kitu gani kizuri Waingereza wanazalisha kwa sasa na dunia nyingine inaweza kujivunia. Alijibu kwa maringo yaliyopitiliza. Alijibu...
Mnaacha Kujadili Manchester United nao 'Kufungwa' Bao Sita 'Mishipa' yenu 'imewakakamaa' tu Kuisema na Kuijadili tu Klabu pendwa ya 'Geniuses' wengi duniani Liverpool. Kama FC Barcelona miezi...
Timu ya Gor Mahia Fc inayoshiriki Ligi Kuu nchini kenya imeanza mipango ya kutafuta Saini ya kocha Msaidizi wa sasa wa Simba Selemani Matola.
Hii inakuja Baada ya Mabingwa hao Wa Kenya kukaa kwa...
Hii timu ndio iliaminika kuwa mbadala wa Simba na Yanga katika mfumo mzima wa uendeshaji na ili hilo lithibitike lazima timu iwe competitive, lakini naona kama Azam inakoelekea siko kabisa...
Tumekuwa mashuhuda kwa waamuzi wetu wa ligi ya vpl kwa namna wanavyo fanya upendeleo na makosa ya wazi kwa kisingizio kuwa eti nawao ni binadam!
Kuna makosa ambayo dhahiri yanaoekana wazi lakni...
Wakuuu Habari za wkend,
Kuna hili suala la Wachezaji wanaokaa Benchi pale Simba yaani Akina Ajibu, Ndemla, Morrison, Gadiel nk nk
Lakini kule Yanga napo kuna akina Zawadi Mauya, Ninja, Wazir...
Simba leo imeondoka kuelekea Zimbabwe ,kwenye kikosi cha wekundu wa msimbazi wanaoenda kukabiliana na Platinum ya Zimbabwe Morison hayupo ameachwa Dar es salaam ,pia ikumbukwe aliachwa pia kwenda...
Sio kwa hawa mlio nao aisee. Nimewafuatilia mara nyingi hawana viwango pia wamekuwa wanatabia ya "kucopy na kupaste".
Kwa mfano leo walikuwa na mada ya kwanini ligi yetu inakuwa na magoli...
Ukisikia timu inasajili mchezaji kutoka South Africa,Zimbabwe,au Uganda,utagundua kuwa ina watu wasio na uelewa wa kutosha kuhusu mpira na vipaji vya mpira.
Nasema hivi kwa nini?
Hapa Tanzania...
diramakini.co.tz
Goli la Yanga SC lamng'oa kocha Azam FC
Diramakini
3 minutes
Baada ya ushindi wa Novemba 25, 2020 ambao Yanga SC iliuchukua nyumbani kwa Azam FC katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.