Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Habari! Kwa maelezo ya huyo msemaji na mbwambwajaji wa watani zetu ukiyafanyia kazi kama yalivyosema unaona kabisa pale wana mropokaji kiwango cha lami. Mara watani wanajikuta wapo wenyewe si...
4 Reactions
30 Replies
3K Views
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amemhakikishia Pierre Gumbo(Liquid) kuwa kuna tiketi yake kwa ajili ya kuambatana na Taifa Stars kuelekea Misri. Waziri Mkuu ameyasema hayo alipozungumza na Pierre...
20 Reactions
104 Replies
14K Views
Natumaini wote mu wazima, Mama lao sina maneno mengi ila tuseme tu ukweli Kili Marathon ishapoteza mvuto sio kama zile Kili za zamani tulizokuwa tunazosikiaa kipindi hicho. Kili Marathon ya siku...
27 Reactions
281 Replies
36K Views
Shirikisho la Mpira wa Miguu limesema Shabiki yeyote anaruhusiwa kuingia kwenye mechi ya mpira, ikiwa havunji taratibu za mchezo huo TFF imekemea kauli zinazolenga kuzuia haki ya mashabiki...
5 Reactions
92 Replies
6K Views
Leo Dimbani Ni Simba VS Plateus United Hapa tupeane matokeo pamoja na matukio yanayo jili Katika uwanja wa Benjamin Mkapa Stadium Ni Uwanja wako sasa kutoa updaUpd Zote.
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Klabu ya Simba imesema kauli ya kubagua mshabiki katika mechi kati ya Simba na Plateau United haikutolewa kwa maelekezo ya Klabu ya Simba Desemba 2, Msema wa Klabu ya Simba, Haji Mnara alitoa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hawa wote wamesajiliwa majira haya ya kiangazi, Pepe akitoka Lille kwenda Arsenal kwa usajili wa rekodi ya klabu. Wakati James akitoka Swansea kwenda Man Utd. Ukiambiwa chagua mmoja kati yao...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Najaribu kujihoji na kutafakali kwa kina sipati majibu Hivi plateau wanajiamini Nini kuja siku moja kabla ya mechi na simba ambayo kuifunga kwa mkapa Hadi ufanye kazi nzito *Wamekata tamaaa *Ni...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
By Polycarp Auta Jos, Dec. 2, 2020 A 45-man contingent of Plateau United FC of Jos has departed for Dar Es Salaam to face Simba SC of Tanzania. This is for the return leg of the first round of...
0 Reactions
4 Replies
885 Views
Ama kweli tenda wema nenda zako, na Fraga alitenda wema kaenda zake, na sasa anahangaika kujitibu yeye na familia yake huku club ya Simba ikiwa imemtelekeza, kwa kweli hii ndio tabia ya Wahindi...
7 Reactions
47 Replies
5K Views
Ikumbukwe baada ya Hans Pop kuwashutumu baadhi ya wachezaji kucheza chini ya kiwango Mo alisema hakuna kiongozi yeyote atakae ruhusiwa kuingelea Simba bila kupata ruhusa yake. Je, yaliomo yamo,na...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Klabu ya Arsenal imeruhusu mashabiki 2,000 katika Uwanja wa Emirates kushuhudia mechi yao dhidi ya Rapid Vienna jana. Hii ni mara ya kwanza kwa mashabiki kuruhusiwa katika mechi kubwa tangu Machi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Klabu ya Soka ya Simba imesema haitaruhusu Shabiki wa Klabu ya Yanga kuingia katika mchezo wao wa mkondo wa pili wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Plateau United mchezo utakaopigwa katika dimba...
5 Reactions
76 Replies
10K Views
Kwa Tanzania imekuwa kama utamaduni. Ushirikina umeshika chat sana katika mpira wetu. Mbaya zaidi ni wachezaji wa Team mmoja kufikia hatua nao wanarogana wakigombea namba. Team moja kubwa hapa...
10 Reactions
60 Replies
5K Views
Kuelekea mchezo wa Marudio kati ya simba na plateu ya Nigeria kombe la Klabu bingwa Afrika. 1. Aishi Manula. 2. Shomari Kapombe. 3. Mohamed Hussein. 4. Pascal Wawa. 5. Joash Onyango. 6. Erasto...
4 Reactions
13 Replies
2K Views
Karibu katika Uzi maalumu wa kilabu ya mpira wa miguu ya Ndada toka Mkoani Mtwara. Jina la timu: Ndanda Fc Jina la utani: Ndanda Kuchelee Uwanja: Nangwanda Sijaona Watazamaji:15000 Mkoa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Naomba uongozi wa Simba hii mechi inayokuja watangaze kabisa kabla watu hawajanunua tickets kwamba hakuna kuingia bila jezi ya Simba au nguo nyekundu, itangazwe kwamba hakuna kuingia ukivaa njano...
2 Reactions
40 Replies
4K Views
Tuwapongeze tu vijana wetu kwa kupata nafasi ya kuiwakilisha nchi Kwenye mashindano ya afcon,naona wadau mpo kimia sana mpo na simba na yanga
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Inakuwaje? Shaktar Donetsk inaongoza sasa hivi goli 1 bila dhidi ya Madrid na wabane hivo hivo hadi kipenga cha mwisho halafu baadaye Inter iichape moncheglabad ya Ujerumani itakuwa safi sana...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
CEO wa Simba SC Barbara (Babra) Gonzalez katika Kurasa zake za Mitandao amesema kuwa wamejitahidi vya kutosha tena kwa Kuhangaika huku na kule ile Mechi ya Simba SC na Plateau United unaochezwa...
9 Reactions
82 Replies
9K Views
Back
Top Bottom