Kariobangi ni timu inayokuja juu hapa afrika mashariki ambapo mapema mwaka huu imetoka sare na Everton na hivi karibuni imetoka sare na YANGA AFRIKA wako vizuri karriobange
Level ya vilabu simba ni timu inayo kuja kwa kasi sana kwenye soko la Digital
Walianza na Page za Instagram twitter na Facebook official mpaka wakapata Verification
Wakatabulisha Chanel yao ya...
Miaka kama 4 nyuma mzee mmoja au mbaba alikuwa anatupigia story na yeye ni mshabiki wa yanga sana ,alisema frank domayo alivyotua yanga wazee walimpa baraka nyingi ndio maana akawa anang'ara sana...
Ndondi ni mchezo uliotoa magwiji wengi walioheshimika duniani kama Muhammad Ally, Mike Tyson, Evander, Lewis, na wengine wengi. Kwa miaka kadhaa mchezo huu uliokuwa maarufu duniani ulionekana...
Abdallah Shaibu Ninja amewasili Marekani na kujiunga na miamba ya MLS, LA Galaxy ambapo amepata fursa sasa ya kucheza pamoja na gwiji Zlatan Ibrahimovich katika klabu hiyo.
KILA LA HERI.
Shirikisho la soka barani Afrika CAF, kupitia ukurasa wake wa Twitter wameipongeza Simba SC na kuongeza kuwa klabu hiyo inaenda hatua nyingine ya kuwa Vigogo wa soka Afrika.
"Hongera Simba SC...
Hata kabla ligi haijaanza huko Catalunya. wanazengo hawamtaki kocha Ernesto Valvede. Yaani mashabiki wamechoka sasa na valvede.
Pia kwenye mitandao jana na juzi mashabiki wengi walipendekeza pep...
Yanga walianza kufunga first half kupitia kwa Deus Kaseke, na baadaye kwenye dakika za lala salama (dk.94) Malindi wakasawazisha na hivyo mpira kuisha kwa magoli 1 - 1.
Niliyobaini kwenye...
Wana yanga wenzangu wenye mapenzi mema na hii team mimi kwa upande wangu aina ya mpira anao ucheza yanga siulewi mimi kwa upande wangu nashindwa kuelewa kama ni mfumo mbovu au tatizo ni nini.
Kwa...
Kulingana na takwimu zilizotolewa na kampuni ya Selcom, Simba imevuna zaidi ya Milioni 376 kupitia Tamasha lake la Simba Day lililohitimishwa uwanja wa Taifa juzi
Mashabiki zaidi ya 58,000...
ile haikuwa na namna lengo ni kushindana na Yanga eti,maonesho yooote ni kujisumbua kushindana na Yanga,lililokuwa linawakaanga na kuwakereketa moyoni na mashabiki wao.wao Yanga wala hawana...
Michezo ya nyoka kwa sasa imekua maarufu saaana, na watu hupenda kuiangalia saaaana hasa michezo ya chatu,
Lakini kwa hii michezo ya kurushiana nyoka hivi imeonekana kuua watu wengi kwa presha...
Vipi betting ni hasara au faida?
Yupo mtu anayeweza tengeneza steady flow ya income kwenye football betting pekee?
Yaan siyo kuwin huge amount au jackpot bali kutengeneza steady flow income Na...
Mabingwa wa watarajiwa wa CAF Championship leo wanahitimisha Simba Day,This is Next Level.
Shamrashamra zimeendelea mitaa yote ya Dar na mikoani kuelekea jioni ya leo kushuhudia kandanda saaafi...
Matunda yote haya yote ni kutokana na uwekezaji mdogo wa Simba msimu uliopita, leo tunaona watani wetu nao wakifaidi matunda.
Sasa leo ntapiga hesabu ndogo tu kukuhakikishia kwamba mpira wa leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.