Me ni mshabiki wa Simba ila ningependa timu ya yanga ifanye vizuri mechi za caf ili tuwe na timu nyingi za Tanzania lakini pamoja na matamanio hayo ila niliangalia kiuhalisia naiona kabisa ni...
Wakuu Kwema?
Hapo Kabla kwa mara ya kwanza, timu ya Yanga ilifanya tamasha lake la kutambulisha wachezaji wake wapya iliyowasajili msimu huu, pamoja na wanaoendelea. Tamasha hili lilikwenda kwa...
Jakaya Kaamua kufunguka haswaaa! Cheki clip hapo chini. Nimefikiri sana namna mzee wetu alivyofikisha ujumbe kwa Sisi wana yanga.
Safar ya mpira tz bado ndefu.
Mara ya mwisho Dynamo kuchukua ubingwa ni 1991 wakati huo wa uingereza akiwa Leeeds united https://en.wikipedia.org/wiki/Zambia_Super_League
mikia msitupigie kelele
Leo Yanga wanaendelea kucheza mchezo wa kujipima nguvu na kujiandaa na michuano ya klabu bingwa afrika hatua ya awali ambapo watacheza na township rollers tar 10 siku ya jumamosi mpaka naandika...
Wakuu, nimetatizwa na uamuzi wa uongozi wa klabu ya Simba kuandaa mechi ya kirafiki na timu ya AFC Leopards tena ikichezwa hapa nchini wakati timu yetu ya Taifa ikicheza katika mashindano na timu...
Kama Haji Manara hasingekuwepo. Mpira wa nchi hii ungekuwa ulishakufa siku nyingi. Kaburi lake lingekuwa limeota nyasi, na Msalaba wake ungekuwa umeanza kufutika maandishi. Huu ni ukweli mchungu...
Utofauti mkubwa ninaoouna uliopo baina ya timu hizi ni:-
1.Yanga inaviungo ambao si wanyumbufu,hawana ubunifu wa kuutoa mpira eneo la katikati nyuma kwenda mbele.
2 .Hawana umiliki mzuri wa...
Hawa wanacheza zaidi ya nafasi moja uwanjani kwa ubora na ufanisi uleule.
Kwa wastani wachezaji walio wengi wana uwezo wa kucheza nafasi moja tu kwa ufanisi lakini mchezaji kiraka ana uwezo wa...
Kiufupi mechi ilikuwa nzuri na ya kuvutia hasa kwa pande zote mbili yaani Simba na Dynamos.Sharaf shiboub kiungo kutoka Sudan kama ataendelea na performance hii basi tutamsahau kabisa James kotei...
Mi si shabiki wa timu yoyote ile ila kwenye ukweli basi fitna tuweke pembeni, nimeicheki Yanga jana, pia nimecheki game zao za Pre-season, Pia nimecheki kikosi chao kila idara..
Naombeni niwe...
Mara zote tumekuwa tukiaminishwa kuwa serikali haiwezi kuruhusu sherehe, mikutano na maandamano siku na saa za kazi kwa kisingizio watu wafanye kazi ili kujenga nchi ya viwanda! Cha kushangaza...
Kiungo wa kati wa timu ya Kenya Harambee Stars na Tottenham ameishtaki kampuni ya Menengai Oil kwa kutumia picha yake bila ya ridhaa ya mchezaji huyo.
Victor Wanyama sasa anataka fidia !
Hii ndo tofauti kwa Makocha pamoja na mashabiki wa Simba SC na Yanga SC katika kupokea matokeo uwanjani.
••Simba SC ikifungwa mashabiki wa Simba, wanaona ni hali ya mchezo wanakubali na kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.