Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk Harrison Mwakyembe leo ataweka jiwe la msingi uwanja wa klabu ya Simba ulioko Bunju nje kidogo ya jiji la Dar es salaam Hafla hiyo inatarajiwa...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Kwa Uongozi, washabiki na wanachama wa klabu ya Yanga hawanabudi kumshukuru sana Msemaji wa timu ya Simba Haji Manara kwa kuitumia vizuri nafasi yake ya usemaji wa Simba kwa kuitangaza zaidi...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Mchezo wa pili wa kufuzu michuano ya CHAN kati ya #Tanzania na #Kenya unatarajiwa kuanza saa 10:00 jioni katika uwanja wa Kasarani, Kenya‬ Kaimu Kocha Mkuu wa ‘#TaifaStars’ Etienne Ndayiragije...
1 Reactions
133 Replies
15K Views
Mjisikie mko nyumbani,Kenya ni ndugu zetu wa karibu sana. Tunawakaribisha na kuwapa fursa ya kujipigia Yanga. Mashabiki wenu tupo tutakuja kwa wingi kutia hamasa. Ili msivuruge amani ya nchi kwa...
8 Reactions
55 Replies
5K Views
Kwa umati huo pale uwanja wa Taifa kwenye Kongamano la Wananchi lihusulo Klabu ya mpira wa miguu ya Yanga lazima Serikali iingilie kati kwani umati ule hautoshi kuenea hata kwa viwanja viwili kama...
6 Reactions
18 Replies
2K Views
Bilionea Rostam Aziz kupitia kampuni yake ya Taifa Gas ameingia kuidhamini klabu ya Yanga. Kampuni hiyo inatarajiwa kutangazwa Leo kwenye sherehe za kilele Cha wiki ya wananchi itakayofanyika...
7 Reactions
20 Replies
7K Views
Habari za jumapili Nikiwa kama shibiki wa mpira na hasa mipira ya ulaya. Natabiri wazi kua falinal ya uefa itakua ni kati ya liverpool na man city. Tuanze na robo final. Liverpool vs Porto. Hapa...
4 Reactions
91 Replies
9K Views
Mkifungwa msianze kutafuta wachawi.. huyu sijui manager jana anasema eti wachezaji vijana ni watoto.. na leo naona wamemtoa kwenye banch kelvin John.. Huu ni upuuzi na wivu.. Kijana ana 16 mpeni...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habarini wakuu!! Nasikia Simba Mabingwa wa ligi kuu(Msimu uliopita), Wametoa wimbo wao kama wimbo wa Tanzania (Yaani Mungu ibariki). Utakaoimbwa Siku ya Simba(Simba Day) Mwenye nao atuwekee!!
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kati ya timu hizi mbili za Kariakoo, Simba na Yanga, ni timu ipi imetoa jezi nzuri zaidi?
2 Reactions
75 Replies
12K Views
Habari wanamichezo!.. Timu yetu ya Chelsea tumefungiwa kusajili kwa msimu mmoja lakini kikosi kilichopo ni hatari. Yaan Super frank Lampard , ana kazi ngumu ya kupata first eleven, Pulisic ...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Mlioziona Jezi mpya za Yanga SC walizozizindua leo pale Serena Hotel karibuni ili muweze kutupa utofauti wa hizo Jezi na zile ‘ Reflectors ‘ ambazo mara nyingi huwa tunaziona zikitumiwa mno na...
6 Reactions
49 Replies
10K Views
Nimefanya muamala toka mmoja ya mitandao ya simu kwenda Selcom. Kama kawaida imekuja message kwamba hela imeingia account yangu ya Selcom na salio linaonyesha imekatwa tayari. Siku zote hufanya...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Klabu ya Simba SC ambao ni Mabingwa wa Tanzania, katika mwendelezo wao wa kujiandaa na msimu mpya wa TPL, 2019/2020 na michuano ya Kimataifa, pamoja na kuwapa burudani ya kweli kwa Wanasimba wote...
1 Reactions
32 Replies
5K Views
Msimu huu mpya Yanga wamekuja na jezi mpya na nzuri..
5 Reactions
87 Replies
16K Views
Mamilioni yameendelea kumwagika Msimbazi baada ya leo wadhamini wakuu kampuni ya Sportpesa kuwakabidhi mabingwa wa nchi hundi ya Tsh Milioni 100 zikiwa ni fedha za bonus Simba imekabidhiwa fedha...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
aje wadau napenda kuuliza kama simba wamemsajili tena mshambuliaje wa uganda Emanuel Okwi.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu Kwema, Kuna tetesi zinasikika huku mitaani kua Mshambuliaji Hatari wa Timu ya Taifa ya Uganda, "The Uganda Cranes" aliekua akiichezea Club ya Simba, Emmanuel Arnold Okwi amesaini kwa...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Back
Top Bottom