Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kati ya habari zinazo trend Leo Ni kwamba wanajagwani waachana rasmi na Golikipa wao Klause Kindoki ili kuupisha usajili wa mchezaji wa kimataifa (mshambuliaji). Je Okwi kuwa mwana jangwani!?
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Habarini wadau?hivi ile mechi ya marudiano ya klabu bingwa africa ni lini na wapi uwanja teule???
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Uzi tayari.
11 Reactions
68 Replies
14K Views
Mchezaji maarufu hapa nchini ajulikanaye kama Samata a.k.a samagoal amesign mkataba mpaya ndani ya timu yake ya Genk huko ubelgiji
1 Reactions
36 Replies
6K Views
Juzi mechi kati ya Madagascar vs Mozambique (kwa wachezaji wa ndan) iliahirishwa baada ya timu ya Mozambique kufika Ontananarivo bila jezi. Timu ya Mozambique ilisahau jezi kwao kwahiyo mechi...
4 Reactions
19 Replies
2K Views
Wakuu amani amani! Kwa wale wenye kumbukumbu naonmba kujua mchakato wote wa kuajiriwa kocha Amunike na kwamba alishindanishwa na makocha gani hadi akashinda nafasi hiyo. Nawasilisha wakuu maana dah!
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Hi Guys, Nimeona Clouds Media Group katika vipindi vyao vya michezo wakiendesha kampeni ya kiushabiki wa timu zetu hizi mbili zenye mashabiki wengi yani Simba na Yanga, kampeni yenyewe ni hii...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
https://chat.whatsapp.com/3v9Zq2mdhio9n3rBdY4Rca Kwa habari hasa za Klabu yetu na habari nyingine za michezo
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Kama mada isemavyo, bila kupepesa macho naomba tff wamrudishe maximo, Naamini kwa uzoefu wake katika soccer la Tanzania na mpira anaoufundisha wa 50% kushambulia na 50% kuzuia naamini tutafika...
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Mchezaji wa Timu ya taifa ya Senegal na klabu ya Club Brugge ya Ubelgiji, Krepin Diatta mwenye umri wa miaka 20 yupo Jijini Arusha kwa ajili ya mapumziko na kutalii kwa ofa ya waziri Kigwangalla...
6 Reactions
21 Replies
6K Views
Nianze kwa Kuwapongezeni sana kwa Kupanda Ligi Kuu ya Tanzania Bara na hata kwa aina ya Uwekezaji wenu mzuri ambao unaratibiwa Kiustadi kabisa na Mheshimiwa Waziri Mkuu wa sasa Kassim Majaliwa...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu Yanga day Simba ingealikwa uwanja ungejaa,Yanga wameshindwa tu kujiongeza,ingekuwa strategic nzuri sana Yanga kuingiza hela kuliko hata timu za kutoka nje.
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Nimesikia Kauli Mbiu ya simba Sports Club leo kwa mwaka 2019/20. Simba ni timu kubwa na kongwe na hatua iliyofikia ni hatua nzuri na tunaitakia sana maendeleo. Kwa sasa ndiyo Klabu inayoongoza...
3 Reactions
10 Replies
4K Views
jaman wadau naomba mnifahamishe ule wimbo unakuwaga kama soundtrack au backvocal? kwenye mashindano ya uefa champions league ni wa nani umetungwa na nai na unaimbwa lugha gani..nimejaribu kutafuta...
0 Reactions
19 Replies
13K Views
WWE
Ase wale wa mieleka nazungumzia wrestling ,,,yukoo wapiiii HULK HOGAN
0 Reactions
3 Replies
775 Views
Iga ufe ukifufuka unakuta Simba bingwa wa Africa This Simba is Next Level
4 Reactions
9 Replies
3K Views
Kuelekea kufuzu AFCON 2021 yatakayofanyika nchini Cameroon, Tanzania imepangwa na Waarabu 2 Tunisia na Libya pamoja na Equatorial Guinea Kumbuka Ni timu 2 za juu tu zinafuzu kwenda AFCON 2021...
3 Reactions
30 Replies
6K Views
Haya wale wa kulaumu na kuhamisha goli.... Leo tuhamishie lawama kwa nani? Mje! Nani hakuwepo leo?
10 Reactions
47 Replies
6K Views
Hamjambo wadau wa soka. Kwa MAONI yangu ifuatayo ni orodha ya KIKOSI Cha AFCON 2019 kwa MAONI yangu na mchango wa Kila mchezaji alivyocheza. 1. Rais ~ Algeria 2. Ahmad elmohammad~egypt 3. Ismail...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom