Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Mzuqa wanaJf Mwenyezi Mungu muweza wa Yote shuka na uiwezeshe Leicester City washinde. Isaidie livaaa watwaee ubingwa. Amen Cc chaliifrancisco
4 Reactions
59 Replies
5K Views
Hakika Viongozi wa Soka Nchini TFF wanapaswa nao wawe na nyuso za aibu kwa Watanzania.Toka Uongozi huu wa TFF umeingia Madarakani tumeshuhudia migogoro badala ya maendeleo ya mpira wetu.Malalamiko...
0 Reactions
4 Replies
897 Views
Baada ya kusemekana Kelvin Yondani, Dante na Juma Abdul kugomea mazoezi kisa kudai malimbikizo ya mishahara kuna taarifa za chini pia zinadai kocha mkuu Mwinyi Zahera naye ameweka mgomo wa kurudi...
1 Reactions
31 Replies
5K Views
Habari wana JF. Leo kuna mechi kati ya Tanzania na Kenya lakini ni mechi ambyo haina mvuto kabisa. Siasa imesababisha hii timu ya mpira ya taifa kupoteza nuru NA LEO SIJUI KAMA UWANJA WA TAIFA...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Jana nikiwa nasikiliza kipindi cha michezo cha Clouds FM saa tatu usiku nilifahamu kuwa baadhi ya waandishi wa habari wameamua kuunda kamati ya (eti) kuhamasisha ushindi kwa timu ya miguu ya...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Pambano limepigwa alfajiri ya leo katika ukumbi maarufu wa masumbwi MGM GRAND Nevada, LAS VEGAS. Mpambano ulianza kwa mabondia wote kuviziana na kuchukukua tahadhari zote,lakini mistake ndogo...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Habar wakuu kesho kuna mechi kati ya tanzania na kenyaa!! Kipi kifanyike ili tuweze kushindaa wakuu. Karibuni.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Binafsi namfahamu kidogo tu kama Katibu mkuu wa BMT . Sijui ametokea wapi na wala sifahamu tangu lini ameshika wadhifa huo . Katika siku chache nilizomsikia , kiukweli amenivutia , hasa baada...
1 Reactions
21 Replies
5K Views
Kwako MO Dewji, Kwanza pole kwa jinsi unavyohangaika na wazee wenye "timu yao". Kwa jinsi inavyoonekana watu wamedhamiria kukuondoa kabisa Simba, maana haiwezekani wale wale waliokupigia makofi...
5 Reactions
41 Replies
5K Views
Alipokuwa Simba mnakumbuka gundu lake,akaenda nalo yanga hadi sasa matatizo tu ,simba msimu ulikuwa poa,sasa hivi karudi tu gundu la Kilomoni inaanza ! Huyu jamaa vipi?
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Waziri Mwakyembe amesema wamekutana na viongozi wa TFF na kuweka msimamo kwa wachezaji watakaosajiliwa kuchezea klabu za Soka nchini. "Mwanzo tulipata wakati mgumu kuridhia utaratibu wa wachezaji...
3 Reactions
66 Replies
8K Views
Kama nilivyoanza kwa kujiuliza swali je Simba na Yanga zipo kama mtaji wa kisiasa? Muda mwingi tumekuwa tukilalamika na kulaumu kutokupanda kisoka huku ukweli ni kwamba vijana wengi mtaani...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Nimesikitishwa na mijadala mitandaoni ya kumshutumu Waziri Mwakyembe kwamba ameanzisha utaratibu mpya wa mwekezaji kuwa na 49% na wanachama 51% ya hisa. Ndugu zangu, si kweli. Utaratibu huu upo...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Baada ya Serikali kudai wanahisa wanatakiwa wawe zaidi ya 3 ktk hio 49%, Kitacho tokea ni kwa kuzigawanya hizo familia yake na kampuni yake kisha ye kujitoa na kukaa kando akisikilizia. Ikifika...
4 Reactions
39 Replies
4K Views
NYOTA wa Nkana FC ya Zambia, Walter Bwalya amejiunga na timu ya El Gouna FC ya nchini Misri. Bwalya alikuwa anatajwa kuwindwa na Simba ili kuziba pengo la Emmanuel Okwi ambaye hajaongezewa...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wakuu natumai wote mu wazima wa afya na weekend iko poa kwenu. Nia ya kuandika huu uzi kuomba kujuzwa iwapo mechi kati ya Tanzania na Kenya itarushwa kupitia chaneli gani maana ningependa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu natumai wote mu wazima wa afya na weekend iko poa kwenu. Nia ya kuandika huu uzi kuomba kujuzwa iwapo mechi kati ya Tanzania na Kenya itarushwa kupitia chaneli gani maana ningependa...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwakyembe tumia akili mzee. Unatupa lawama bure vijana tukiporomosha matusi Tanzania inao vijana wangapi nchi za nje wakijitafutia mlo kupitia soka? Je wote wapo Taiga Stars? Kama nchi zingine...
5 Reactions
21 Replies
3K Views
Wengi tulimuonya mo kuwa aache kufanya njia za kihuni kwa kutaka kuimiliki Simba kilazima kwa kuandika check kubwa tofauti na uhalisia kwenda kwenye club ili baadae aje aichukue Simba kwa njia za...
9 Reactions
98 Replies
7K Views
Simba mchakato wao mzuri ila wamekwama walipokuwa wanaupeleka haraka kuna hatua wameziruka Na inaonesha Simba walipokuwa wanabadili mfumo wao na kuwa wa hisa, walikuwa wamemlenga moja kwa moja Mo...
5 Reactions
20 Replies
3K Views
Back
Top Bottom