Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Mzee kilomoni amefanya mahojiano na kuweka bayana kuwa mwekezaji wa Simba Mo ni MTU mjanja mjanja mtu anayetaka kuimiliki Simba kwa kutumia mgongo wa viongozi wabovu walioko Simba wakiongozwa na...
6 Reactions
37 Replies
4K Views
Mzee huyu anaijua simba vizuri na pia ni miongoni mwa waliokabidhiwa timu kutoka mikononi mwa waasisi, si hivyo tu ni mtu mwenye mapenzi ya dhati na timu. Sisi wana SIMBA tunaojitambua tuko bega...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Klabu ya Simba SC, Mohammed Dewji 'MO' leo Julai 27, 2019 amefafanua kuhusu uwekezaji kwenye Klabu ya Simba SC huku akiwahakikishia wanachama na...
8 Reactions
78 Replies
10K Views
Hiki ni kikosi cha Nigeria kilichotwaa ubingwa wa Olimpiki mwaka 1996 pale jijini Atalanta Georgia. Je ni nani hapo unamjua pichani, MTAJE
3 Reactions
34 Replies
4K Views
Na Shabani Rapwi Klabu ya KMC imeibuka na ushinda wa mabao 2-1 katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Kariobangi Sharks ya Kenya mchezo ambao umefanyika leo Jumanne Agosti 6, 2019 asubuhi katika dimba...
0 Reactions
3 Replies
984 Views
Hakika napita shida kujua kwanini Mzee Kilomoni hakubali kuwa yeye si Mdhamini wa Klabu ya Simba.Nasema hivi kutokana na kauli ya RITA kuwa katika orodha ya Wadhamini wa Klabu ya Simba jina la...
7 Reactions
18 Replies
2K Views
Leo tuwataje wachezaji wanaocheza kibabe, wanaocheza rafu na wenye urafiki wa karibu na kadi za njano na nyekundu wawapo dimbani. Mimi naanza na Sergio Ramos.
4 Reactions
46 Replies
5K Views
Naandika hapa nikiwa na hasira na uchungu mwingi. Baada ya Malcolm kuuzwa juzi hapa kwenda zenit St Petersburg ya huko Russia.. Sasa kimeibuka kioja kingine! Mechi yao juzi waliotoka droo...
3 Reactions
33 Replies
3K Views
Salam ndugu zangu. Kabla ya mechi ya Kenya v Tz Afcon kule Egypt kulikuwa na debate Kali Sana humu ndani kila upande ukishabikia kwake. Na hata baada ya matokeo ya 3-2 bado mjadala uliendelea...
1 Reactions
1 Replies
809 Views
MWEKEZAJI wa Simba, Mohamed Dewji amesema watapeleka maombi yao Shirikisho la Soka nchini ili kununua timu ya daraja la kwanza. Timu hiyo itakuwa na wachezaji wanaotoka timu yao ya vijana ya Simba...
3 Reactions
31 Replies
4K Views
Uongozi wa klabu ya Simba umepanga siku ya Jumatatu, August 05 2019 utaweka jiwe la msingi kwenye ujenzi wa uwanja wake unaendelea Bunju, nje kidogo ya jiji la Dar es salaam Akizungumza na...
3 Reactions
30 Replies
5K Views
Acha nikwambie ,ilikua ni hivi Ile inshu ya Paul Dybala, #Manchester_United na #Juventus Inter Milan walikua kwenye mazumgumzo na Manchester united kumsajili Lukaku , mazumgumzo hayo yalitumia...
11 Reactions
17 Replies
2K Views
Beki wa Manchester United Eric Baily na Ivory Coast ameamua kurudi kijijini kwao Guiglo Mara baada ya majeraha kumuandama Mara kwa Mara na kwenda kujitibu huko. Baily ama miaka mingi hajarudi...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Me binafsi ni mshabiki wa Simba lakini kuwa kwangu mshabiki wa Simba hainizuii kuwa mkweli kiukwel huu wimbo wa Simba ni mbaya lakini wasanii walioimba mrisho mpoto na tundaman walikuwa hawana...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
KUELEKEA katika kilele cha Wiki ya Wananchi ya Yanga ambayo itafanyika leo Jumapili uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, mtani wao Haji Manara ambaye ni Ofisa Habari wa Simba ametupa kijembe kwa...
1 Reactions
114 Replies
13K Views
Wakati dirisha linakariBia kufungwa wakuu wengi tunatamani tusikie tunamuona ndgu kipenzicha watz Kyle kwenye elite cup au England. Binafsi popote nitapomuona is OK Kila LA kheri
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Kwa kweli inahuzunisha kwa kitendo TFF walichokifanya kwa timu yetu ya miguu ya taifa dhidi ya Kenya jana tarehe 4/8. Mechi hiyo ilikuwa inajulikana kabisa itachezwa lini lakini cha ajabu TFF...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Tangu nimeanza kushuhudia kabumbu miaka ya 1993 mpaka leo nadiriki kusema hakuna mcheza mpira aliyejaaliwa kupiga mashuti kama Michael Ballack. Mjerumani huyu hana mpinzani kabisa, je...
2 Reactions
75 Replies
7K Views
Daima Mbele, Nyuma Mwiko.
1 Reactions
1 Replies
925 Views
jama haya mafuta ya mgando ya jero jero na dawa za meno ndo NEXT LEVEL iga UFE khaaa
5 Reactions
30 Replies
3K Views
Back
Top Bottom