Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Wakati pazia la ligi linafunguliwa kila kocha alijawa na matumaini ya timu yake kufanya vizuri katika harakati za kuchukua kombe, lakini wakati timu zimecheza mechi chache tu za ligi kuu hali...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Toka michuano ianze marefari ni waarabu tu na wanafanya maamuzi ya kijinga kweli Watu weusi hamuwezi kuwachalenji Hawa wajinga kwanini msiwasusie tuone watachezaje peke yao Yaani Africa mpo...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu Habari zenu ? Naona kuna marekibisho ya sheria Za uwanjani msimu wa 2019/2020 kwenye epl.hizo hapo chini.
4 Reactions
13 Replies
3K Views
Kama wewe ni mfuatiliaji wa Afcon huko misri hautapingana na hili kuanzia mechi za mtoano kuelekea Robo fainali zianze Karibia timu zote zilizovaa jezi Nyekundu hazijafanikiwa kufuzu kuelekea Robo...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Madagascar wanashiriki AFCON kwa mara ya kwanza,wamemtoa jasho GUINEA na leo wanamtoa Jasho Nigeria,hope watashinda.Wao kazi yao ni moja tu kusukuma ball haijalishi aliye mbele yao ni Nigeria ama...
17 Reactions
78 Replies
6K Views
Habari wanabodi. Wadau bila kupoteza muda nilikuwa naomba kujuzwa kuhusu zile tetesi za Mo kutaka kuondoka katika club ya Simba. Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. kiukweli nilifurahi sana...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Burian Dr congo pole Mwinyi Zahera
3 Reactions
24 Replies
3K Views
Habari wadau Naomba nilete kwenu uzi ambao utawaisaidia kuwapa hamasa watanzania wenzetu kwenda kucheza mpira nje mfano akina SAMATTA,msuva na awengineo wengi ili kutoa hamasa kwa wengine eaone...
0 Reactions
1 Replies
748 Views
Si mchambuzi mahiri wa soka,lkn napenda kuchambua matatizo,sababu,na njia ya kufanya pengine tutoke tuliko kwama,ili tufanikiwe katika soka lazima tuwe na wachezaji wenye vipaji,na pia tuwe na...
0 Reactions
0 Replies
790 Views
Wachezaji wa timu ya taifa wanatoka kwenye vilabu za ligi kuu. Je, ligi yetu inayo hadhi ya kutoa wachezaji Bora wa timu ya taifa itakayoifunga Algeria na Senegal kwenye mashindano? Ligi yetu...
0 Reactions
0 Replies
448 Views
Taarifa za kuaminika zinasema kua kufatia matokeo mabaya walio yapata Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars katika Fainali za Afcon,zimetosha kua sababu za kumfuta kazi kocha Emmanuel...
1 Reactions
44 Replies
4K Views
Yaicharaza Peru 3 Kwa 1
1 Reactions
20 Replies
2K Views
nilijua usingedumu kuwa kocha. hasa baada ya kumuacha ajibu na mkude. nilistushwa sana na maneno ya kifedhuli ya JUMA nkamia dhidi yako yalinistua sana. nilijua hautakuwa na kibarua tena. kwenye...
0 Reactions
3 Replies
783 Views
Madagascar kwa hapo walipofika tu panatosha sana kutupa funzo kubwa kuwa tunakosea pahala! Leo hii nchi hiyo yenye population ya watu milioni 27...na hata Burundi yenye watu milioni 11..kufikia...
1 Reactions
2 Replies
626 Views
Mwenyekiti wa Simba upande wa wanachama Swedi Mkwabi na mwekezaji Mo Dewji kwa Sasa hawapikiki chungu kimoja na kupelekea sintofahamu ndani ya Simba. Chanza Mo Dewji hana Imani na Mkwabi kutokana...
13 Reactions
112 Replies
14K Views
Haya sasa baada ya Mo kubebebwa mwaka Jana kwenye utaratibu wa kutafuta mwekezaji kwa kuwahonga viongozi wakiokuwa wakiendesha hilo zoezi Mambo yanazidi kuibuka Kutoka jikoni ni kwamba kuna...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Kutafuta kocha mpya
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari iwafikie Taifa Stars na washirika wake wanaosema,tunahitaji uzoefu wakati Madagascar ni mara ya kwanza lakini inasonga,na kuingia robo fainali Tuseme ukweli Tanzania hatuna ile ya kujitoa...
6 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom