Gazeti la Cadena SER kutoka nchini Hispania, limeripoti kwamba taarifa za uhakika kutoka ndani ya Klabu ya Real Madrid ni kwamba Kocha Zinedine Zidane 'Zizzou' (45), amejiuzulu nafasi ya...
Mchezaji wa nafasi ya kiungo, ambaye pia alikuwa nahodha wa Azam FC Himid Mao Mkami (Ninja), amesaini mkataba wa miaka mitatu kuitumikia Klabu ya Petrojet inayoshiriki ligi kuu nchini Misri.
Sitaki akili yangu wala ya msomaji yeyote itilie manani juu ya uwezo wako kichwani, elimu yako, makuzi yako wala jamii yako.
Itoshe tu kusema staha ni jambo muhimu sana kwa binaadamu yeyote yule...
ARGENTINA
Boca Juniors
River Plate
Newell's Oldboys
Argentinos Juniors
Chacarita Juniors
Godoy Cruz
Rosario Central
San Lorenzo
Atletico Tucuman
Banfield
Lanus
Arsenal de sarandi.
Estudiantes...
Kwanza Na declare interest.Mimi ni Mshabiki wa Manchester United, Real Madrid kwa Spain Pa1 na huyu Mnyama Christiano Ronaldo toka enzi.
Pa1 na kua kinara wa Upachikaji magoli UEFA iliyoisha...
Naomba maoni yangu yaheshimiwe kama ambavyo nami pia nitayaheshimu yenu ambayo mtayatoa katika Kuchangia hili ambalo naenda kuligusia hapa kwani naona kuna ' Wapuuzi ' fulani ndani ya Simba SC...
Sijajua wenzangu huwa munatizama nini katika Soka, Siku Niyonzima anasaini
Msimbazi ilikuwa habari ya mjini na tena ya kuhuzunisha kwa Wanayanga. binafsi
Niyonzima alikuwa mchezaji mzuri lakini wa...
AFRICA ILIPOISHANGAZA DUNIA
Sasa ni zamu ya kushabikia teams zetu za Africa maana tulifanikiwa katika miaka kudhaa nyuma na kuishangaza dunia.
Ikumbukwe kombe la dunia la mwaka 1998 liliisha kwa...
Kikosi kamili cha Yanga Sports Club kilichoelekea nchini Kenya kwenye michuano ya SportPesa Super Cup .
Vikosi cha Yanga ,Simba, JKU cha Zanzibar vimeondoka nchini kwenda Nairobi nchini...
Wito wangu kwa uongozi wa Yanga ni mmoja tu.
wawe waadilifu na kuhakikisha Yanga inarejea kwenye hali yake ya kawaida.
Uhujumu dhidi ya timu hauwezi kubadilisha msimamo wa Serikali dhidi ya...
Klabu ya soka ya Singida United imetangaza kuwasajili wachezaji wapya watatu, akiwemo mshambuliaji kutoka Ivory Coast na mwingine kutoka Brazil
Mkurugenzi Singida United, Festo Sanga amewataja...
Kabla ya kutaka kubet, nimejaribu huu mchezo wa p12 ili nione nafasi (chances) za mimi kushinda mechi zote. ufafanuzi ni kama ifuatavyo
kila mechi ina matokeo matatu. kwahiyo uwezekano...
Leo timu ya Yanga imethibitisha kumsajili tena Mrisho Ngassa akitokea Ndanda Fc.
Yanga kwenye hili wamechemka kwani muda umeshamtupa mkono 'Anko Ngassa'
"Mtoto yatima hadeki"
UPDATES:
Uongozi...
Kiungo wa zamani klabu ya Chelsea, Frank Lampard(39) amethibitishwa leo Mei 31, 2018 kuwa Kocha wa timu ya Derby County akichukua nafasi ya Gary Rowett aliyeenda kufundisha timu ya Stoke City...
Msambuliaji wa Ubelgiji, Romelu Lukaku awaponda raia wa nchi hiyo kwa kutompatia heshima anayostahili pamoja na kumuunga mkono ipasavyo
Malalamiko haya ya Lukaku yanahofiwa kuwa yanaweza...
Mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Misri na Klabu ya Liverpool ya Uingereza, Mohammed Salah anatarajiwa kupona majeraha yake na kushiriki Kombe la Dunia linaloanza Mwezi ujao nchini Urusi...
Shirikisho la Mpira wa Miguu Dunia, FIFA limemuondoa Refa Fahad Al-Mirdasi na timu nzima ya Marefa kutoka nchini ya Saudi Arabian katika orodha ya Marefa watakaochezesha mechi za Kombe la Dunia...