Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

The Argentine is typically associated with scoring goals rather than saving them, but he shows in this image that he's no slouch between the sticks, either Mguu...
0 Reactions
1 Replies
862 Views
Baada ya kuzindua kituo cha tv (simba tv) kinachurushwa na clouds tv, sasa club ya simba inazidi kuchanja mbuga na kuzipiga bao club nyingine za africa na sasa ipombioni kuzindua redio yao binafsi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Je mchezaji Athman Idd(Chuji) alikuwemo katika kikosi kilichocheza na Azam Jumamosi March 10? Chuji amekuwa akitajwa mara kadhaa kuwa mtovu wa nidhamu, katika vurugu zilitokea kwenye mchezo huo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mwamuzi kapigwa kama kibaka baada ya mechi ya ligi z'bar,kati ya zimamoto, ilochezwa uwanja wa mao tsetung. Sourc itv.
0 Reactions
0 Replies
878 Views
Yaani mwamuzi wa mechi ya leo ligi kuu z'bar uwanja wa mao tsetung kati ya zimamoto na kikwajuni kakimbia kama kibaka baada ya kipondo kikali! Source. Itv.
0 Reactions
0 Replies
957 Views
Kutokana na dalili za TFF zilizoonekana wazi kuzibeba timu za simba na Azam,na kutuharibia soka letu tunapenda kuwataarifu mashabiki wa Yanga kutoiunga mkono timu ya Taifa starz kwa namna yoyote...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
This is play-off to reach champions league group stage ODENSE vs VILLARREA FC TWENTE vs BENFICA ARSENAL vs UDINESE BAYERN MUNICH vs FC ZURICH LYON vs RUBIN KAZAN WASLA KRAKOW vs APOEL...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Jamani naomba msaada kuhusu wachezaji wafuatao nani zaidi, MBWANA SAMATA,na EMANUEL OKWI Tukiacha interest zetu za ushabiki
0 Reactions
9 Replies
1K Views
gonga hapa Messi - what was said on Twitter - Football news | MSN Sport UK usome jinsi waliyosema akina garry lineker, demba ba, wayne rooney, sep blatter, etc baada ya lionel messi kupiga goli 5...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
29' [1 - 0] D. Drogba 43' F. Lampard 48' [2 - 0] J. Terry 53' P. Cannavaro 55' [2 - 1] G. Inler 68' A. Dossena 75' [3 - 1] F. Lampard...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Leo wachezaji wa yanga Mwasika,Nurdin na kanavaro wameonesha jinsi gani hata masumbwi wanayajua pale walipoamua kumpiga refa wakigomea kadi nyekundu,hii inadhihisha jinsi gani wachezaji wetu...
0 Reactions
272 Replies
27K Views
leo gomez kaonesha kuwa kufunga magoli zaidi ya matatu katika mechi moja inawezekani ni baada ya kushusha kisago kwa wababe wa manure, fc baseball.. bayern kashinda 7 bila.. yeye katika uefa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
nafungulia tv yangu hapa!naona steven gerrard anatoka uwanjani anafuraha sana!nikiangalia tumbo lake naona kubwa kama mjamzito!nijuzeni wakuu!maana nimezima tv ghafla kwa kuogopa!
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nugu zangu watani wangu kina chisora ndio mpira gani tena mnataka ku u introduce nchini mwetu? ndungu zetu mmeugeuza mpira kuwa uwanja wa vita? nafasi za jeshi zipo kibao...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
KENYAN GOLDEN GIRLS SOUND OLYMPIC ALARM!!! Kenya's Pamela Jelimo celebrates after winning the women's 800m final at the 2012 IAAF World Indoor Athletics Championships at the Atakoy Athletics...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
wanajamvi mliopo uwanjani tuhabarisheni kinachoendelea kwenye hii mechi hivi sasa. kule simba thread na ligi kuu thread hakuna updates zozote hadi sasa
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Yanga 0 ~ 1 Azam Baada ya Niyonzima kutolewa kwa kadi ya pili ya njano iliyozaa red card Wachezaji wa YANGA wamemvamia Refa na kumtwisha MINGUMI ya kutosha waliompiga refa ni pamoja na Canavaro...
2 Reactions
36 Replies
5K Views
Hallo wanaJF, Kamati ya uchaguzi ya TFF imemuangushia rungu zito mwana michezo M.Wambura kutogombea nafasi yoyote kwenye uongozi wa michezo maisha yake yote.Hii inatokana na tuhuma mbalimbali...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu ni kipa gani mzembe zaidi kati ya hawa no 1 http://youtu.be/jxm0MPv90yU no 2 http://youtu.be/MAaXQRt39d4 no 3 http://youtu.be/NyehinMg-r8 no 4 http://youtu.be/kF_6ZMuoIDY no 5...
0 Reactions
4 Replies
983 Views
ZITTO ATAKA STARS IVUNJWE, POULSEN ATIMULIWE KIWANGO kilichoonyeshwa na timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, katika mechi dhidi ya Msumbiji, kimesababisha Mbunge wa Kigoma...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…